KERO TANESCO kupitisha NGUZO NA WIRE ZA UMEME bila kumshirikisha mwenye shamba ni sawa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Habari wakuu,

Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..

Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire za umeme shambani kwangu ili kumpatia jirani nafasi ya kujenga eneo lake bila kunishirikisha wala kunijulisha suala hili..

Ipo hivi
Kuna jirani alikuwa anajenga kwenye eneo lake chini ya wire za umeme,, alikuwa na eneo dogo sana, wire wa umeme wa TANESCO ulikuwa unapita juu ya bati lake huyo jirani..

Baada ya kusikia nimesafiri wakaongea na VUSHOKA WA TANESCO wakaja usiku wakahamisha nguzo na kusogeza shambani kwangu na kuipitisha kati kati ya eneo langu bila kunishirikisha.

Walichofanya TANESCO ni uhuni au kuna harufu ya rushwa kwa jambo hili,, itawezekana vp kuhamisha nguzo kuweka kwa mtu mwingiine ili kumpatia nafasi ya mwingiine kufanya ujenzi?

Mbaya Zaidi ni kwamba, kiwanja changu kimefinywa kwa mbele na nyuma kote wamepitisha nguzo na wire za umeme, TANESCO wameniweka mazingira magumu ya kufanya ujenzi kwenye eneo langu..

Je, ni halali TANESCO kuhamisha nguzo ya umeme ili kupitisha kwenye eneo la mtu bila kumshirikisha mwingiine?

Mwenye kuelewa nini cha kufanya ili TANESCO waondowe nguzo tafadhali.

Pia soma:KERO - Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?
Andika barua ya malamiko ndani y mwezi mmoja. Iwasilishe kwao. Wasainishe dispatch ili wasije kukukana. Then subiria majibu yao .
 
Una hati / document za eneo lako na mipaka husika kama unavyo na umeacha mita moja na nusu na yeye ameacha hizo mita moja na nusu hizo nguzo ziwekwe kwenye hilo eneo na sio kwako
 
Una hati / document za eneo lako na mipaka husika kama unavyo na umeacha mita moja na nusu na yeye ameacha hizo mita moja na nusu hizo nguzo ziwekwe kwenye hilo eneo na sio kwako
Mkuu hizo wire mwanzo zilikuwa zinapita juu ya bati la huyo jirani,
Baadae ndy akasogeza nguzo ingine ili wire upite kwngu,,kahamisha toka kwenye bati lake usipite akaelekeza shambani kwngu,
Ila mimi sina tatizo na wire ukipita mpakani na sio Kati kati ya shamba langu

Eneo halina hati ila lilmepimwa na mawe ya ardhi yapo.
 
Habari wakuu,

Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..

Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire za umeme shambani kwangu ili kumpatia jirani nafasi ya kujenga eneo lake bila kunishirikisha wala kunijulisha suala hili..

Ipo hivi
Kuna jirani alikuwa anajenga kwenye eneo lake chini ya wire za umeme,, alikuwa na eneo dogo sana, wire wa umeme wa TANESCO ulikuwa unapita juu ya bati lake huyo jirani..

Baada ya kusikia nimesafiri wakaongea na VUSHOKA WA TANESCO wakaja usiku wakahamisha nguzo na kusogeza shambani kwangu na kuipitisha kati kati ya eneo langu bila kunishirikisha.

Walichofanya TANESCO ni uhuni au kuna harufu ya rushwa kwa jambo hili,, itawezekana vp kuhamisha nguzo kuweka kwa mtu mwingiine ili kumpatia nafasi ya mwingiine kufanya ujenzi?

Mbaya Zaidi ni kwamba, kiwanja changu kimefinywa kwa mbele na nyuma kote wamepitisha nguzo na wire za umeme, TANESCO wameniweka mazingira magumu ya kufanya ujenzi kwenye eneo langu..

Je, ni halali TANESCO kuhamisha nguzo ya umeme ili kupitisha kwenye eneo la mtu bila kumshirikisha mwingiine?

Mwenye kuelewa nini cha kufanya ili TANESCO waondowe nguzo tafadhali.

Pia soma:KERO - Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?
Kawashitaki ulipwe.. hawajakushirikisha ni eneo lako chochote kikitokea hapo mhusika ni Tanesco
 
Ni kutoa taarifa kwa meneja wa sehemu husika. Labda ukute meneja ana undugu na mwenye kaeneo, hii ni Tz bwana.
 
TANESCO wajinga, waliwahi pitisha nguzo kati kati ya kiwanja kina nyumba eti wanawasogoezea watu umeme, tena wakasema eti sio ubinaafamu utazani hilo ni suala langu. Nilochofanya niliweka msingi nikapandisha boma nikaezeka, waya zilikuwa na magamba nikazipush pembeni zokakaa zina bembea kwenye nyumba wakaja kutoa wenyewe.
 
Mkuu hizo wire mwanzo zilikuwa zinapita juu ya bati la huyo jirani,
Baadae ndy akasogeza nguzo ingine ili wire upite kwngu,,kahamisha toka kwenye bati lake usipite akaelekeza shambani kwngu,
Ila mimi sina tatizo na wire ukipita mpakani na sio Kati kati ya shamba langu

Eneo halina hati ila lilmepimwa na mawe ya ardhi yapo.
Kuna kuna vipimo inatosha wasiliana na mamlaka husika hizo nguzo ziwekwe kati ya mpaka wako na mpaka wake nyote mkiacha 1.5m hata sisi wapita njia mtatusaidia kupita na hizo nguzo na huduma za kijamii zitawekwa hapo na mtapunguza mifarakano inayoweza kutokea
 
Kuna kuna vipimo inatosha wasiliana na mamlaka husika hizo nguzo ziwekwe kati ya mpaka wako na mpaka wake nyote mkiacha 1.5m hata sisi wapita njia mtatusaidia kupita na hizo nguzo na huduma za kijamii zitawekwa hapo na mtapunguza mifarakano inayoweza kutokea
Jamaa hana eneo tena hata mguu 1,
ameshamaliza kwa ujenzi,
Ndy sababu ya kuhamishia kwangu.
 
Habari wakuu,

Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..

Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire za umeme shambani kwangu ili kumpatia jirani nafasi ya kujenga eneo lake bila kunishirikisha wala kunijulisha suala hili..

Ipo hivi
Kuna jirani alikuwa anajenga kwenye eneo lake chini ya wire za umeme,, alikuwa na eneo dogo sana, wire wa umeme wa TANESCO ulikuwa unapita juu ya bati lake huyo jirani..

Baada ya kusikia nimesafiri wakaongea na VUSHOKA WA TANESCO wakaja usiku wakahamisha nguzo na kusogeza shambani kwangu na kuipitisha kati kati ya eneo langu bila kunishirikisha.

Walichofanya TANESCO ni uhuni au kuna harufu ya rushwa kwa jambo hili,, itawezekana vp kuhamisha nguzo kuweka kwa mtu mwingiine ili kumpatia nafasi ya mwingiine kufanya ujenzi?

Mbaya Zaidi ni kwamba, kiwanja changu kimefinywa kwa mbele na nyuma kote wamepitisha nguzo na wire za umeme, TANESCO wameniweka mazingira magumu ya kufanya ujenzi kwenye eneo langu..

Je, ni halali TANESCO kuhamisha nguzo ya umeme ili kupitisha kwenye eneo la mtu bila kumshirikisha mwingiine?

Mwenye kuelewa nini cha kufanya ili TANESCO waondowe nguzo tafadhali.

Pia soma:KERO - Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?
andika barua kwa Meneja Mkoa ukielezea scenario vizuri na weka na sketch map ya kilichofanyika. make copies to higher authorities , MD, ....
 
TANESCO njooni mtoe majibu yenu mepesi kama kawaida ya tutumie jina lako, namba ya simu na mita namba. Maana nyie ni maboya kiasi mmekariri jibu moja tu bila kuchukua hatua zozote.
 
Watu wengine mna uzezeta wa hali ya juu. Ni ulokole unaharibu hivi akili zako au kuna shida nyingine? Mbona analolalamikia halina uhusiano kabisa na huu uharo wako?
Sawa wewe utaishi milele endelea tu kujifanya mbabe
 
Sawa wewe utaishi milele endelea tu kujifanya mbabe
Unatishia watu na mikwala ya kizamani kweli wewe. Kuishi milele hakuna uhusiano wowote na kutenda mema. Binadamu tunatakiwa kutenda mema hata kama maisha yetu ni mafupi kiasi gani. Au hata kama kungekuwa kuna uwezekano wa kuishi milele basi bado tungetakiwa kutenda mema. Back to the topic. Jamaa kasema Tanesco wamepitisha nguzo kwenye kiwanja chake na inamsumbua. Wewe unaanza kumtishia na mambo ya kutoishi milele. Wap akili? Unajua madhara ya kupisha nguzo karibu na nyumba? Kwa nini wasifuate utaratibu?
 
Watu wengine mna uzezeta wa hali ya juu. Ni ulokole unaharibu hivi akili zako au kuna shida nyingine? Mbona analolalamikia halina uhusiano kabisa na huu uharo wako?
Mtu kichaa kama wewe huwezi elewa comment yangu, uhusiano wa nilichoandika na alichoandika mtoa mada anayeweza kuelewa ni mtu mwenye ufahamu wa maisha sio wewe kula kulala kwa shemeji yako.

Nyaya za umeme zinahamishika muda wowote, eneo la jamaa liko wazi tena sio kiwanja ni shamba tu tena eneo ambalo halijapimwa ulitaka tanesco wapitishe nyaya matakoni mwako?
 
Back
Top Bottom