KERO TANESCO kupitisha NGUZO NA WIRE ZA UMEME bila kumshirikisha mwenye shamba ni sawa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

mwandende

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
10,795
20,366
Habari wakuu,

Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..

Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire za umeme shambani kwangu ili kumpatia jirani nafasi ya kujenga eneo lake bila kunishirikisha wala kunijulisha suala hili..

Ipo hivi
Kuna jirani alikuwa anajenga kwenye eneo lake chini ya wire za umeme,, alikuwa na eneo dogo sana, wire wa umeme wa TANESCO ulikuwa unapita juu ya bati lake huyo jirani..

Baada ya kusikia nimesafiri wakaongea na VUSHOKA WA TANESCO wakaja usiku wakahamisha nguzo na kusogeza shambani kwangu na kuipitisha kati kati ya eneo langu bila kunishirikisha.

Walichofanya TANESCO ni uhuni au kuna harufu ya rushwa kwa jambo hili,, itawezekana vp kuhamisha nguzo kuweka kwa mtu mwingiine ili kumpatia nafasi ya mwingiine kufanya ujenzi?

Mbaya Zaidi ni kwamba, kiwanja changu kimefinywa kwa mbele na nyuma kote wamepitisha nguzo na wire za umeme, TANESCO wameniweka mazingira magumu ya kufanya ujenzi kwenye eneo langu..

Je, ni halali TANESCO kuhamisha nguzo ya umeme ili kupitisha kwenye eneo la mtu bila kumshirikisha mwingiine?

Mwenye kuelewa nini cha kufanya ili TANESCO waondowe nguzo tafadhali.

Pia soma:KERO - Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?
 
Sasa si umeshasema shamba, mazao gani yatarefuka mpaka kufikia kwenye waya za umeme?
Kama una wazo la kuja kujenga baadae si utaenda tanesco watazitoa?

Nikushauri tu kama ndugu
-Hii dunia tunapita hapo unapopaona kwako sasa palikuwa pa wengine naleo hawapo kwenye uso huu wa dunia
-Epuka migogoro isiyo ya lazima na majirani maana ndio watakaokusaidia siku ukipatwa na shida ya haraka
-Ishi na watu kwa upendo, ukorofi sio dili
 
Nguzo zinapaswa kupita pembeni ya barabara au kwenye mpaka na sio katikati ya eneo la mtu.

Inawezekana kupitisha mpakani kungemlazimu huyo jirani yako mkorofi kulipia nguzo za zaida.

Walichokufanyia sio sawa. Nenda kaonane na meneja TANECO Kibaha.
 
Sasa si umeshasema shamba, mazao gani yatarefuka mpaka kufikia kwenye waya za umeme?
Kama una wazo la kuja kujenga baadae si utaenda tanesco watazitoa?

Nikushauri tu kama ndugu
-Hii dunia tunapita hapo unapopaona kwako sasa palikuwa pa wengine naleo hawapo kwenye uso huu wa dunia
-Epuka migogoro isiyo ya lazima na majirani maana ndio watakaokusaidia siku ukipatwa na shida ya haraka
-Ishi na watu kwa upendo, ukorofi sio dili
Mkuu shamba limemegwa kati kati na wire wa umeme,
Kwhyo haliwezi kukidhi mahitaji yangu na plani zng za ujenzi.

Ni kwl duniani tunapita na jirani ndy atakayekuja kunisaidia baadae,
Kwhyo kupitisha umeme kwenye eneo langu ndy msaada wenyewe? Au unasema msaada gani mkuu.

Kumbuka eneo sikupewa bure nimenunuwa tangu mwaka 2016.
 
Habari wakuu,

Mimi nina eneo langu kibaha ,maeneo ya serikali ya mtaa viziwaziwa shuleni,, Ukubwa wa eneo ni nusu hekta..

Shida niliyonayo ni kwamba ,,nimekuta TANESCO KIBAHA wamepitisha wire za umeme shambani kwangu ili kumpatia jirani nafasi ya kujenga eneo lake bila kunishirikisha wala kunijulisha suala hili..

Ipo hivi
Kuna jirani alikuwa anajenga kwenye eneo lake chini ya wire za umeme,, alikuwa na eneo dogo sana, wire wa umeme wa TANESCO ulikuwa unapita juu ya bati lake huyo jirani..

Baada ya kusikia nimesafiri wakaongea na VUSHOKA WA TANESCO wakaja usiku wakahamisha nguzo na kusogeza shambani kwangu na kuipitisha kati kati ya eneo langu bila kunishirikisha.

Walichofanya TANESCO ni uhuni au kuna harufu ya rushwa kwa jambo hili,, itawezekana vp kuhamisha nguzo kuweka kwa mtu mwingiine ili kumpatia nafasi ya mwingiine kufanya ujenzi?

Mbaya Zaidi ni kwamba, kiwanja changu kimefinywa kwa mbele na nyuma kote wamepitisha nguzo na wire za umeme, TANESCO wameniweka mazingira magumu ya kufanya ujenzi kwenye eneo langu..

Je, ni halali TANESCO kuhamisha nguzo ya umeme ili kupitisha kwenye eneo la mtu bila kumshirikisha mwingiine?

Mwenye kuelewa nini cha kufanya ili TANESCO waondowe nguzo tafadhali.

Pia soma:KERO - Waziri Biteko, kwanini nguzo moja ya umeme ilipiwe Tsh 515,000/ wakati ni mali ya shirika? Huu unyanyasaji mpaka lini?
Kwanza unapaswa kuelewa tanesco awa vushi nguzo bila nyie watu wawili mjaa afki kwaiyo jran yaweza kuta kasema eneo nilake ongea nae kabla ujafuata sheria kama vp mmalizane
 
Nguzo zinapaswa kupita pembeni ya barabara au kwenye mpaka na sio katikati ya eneo la mtu.

Inawezekana kupitisha mpakani kungemlazimu huyo jirani yako mkorofi kulipia nguzo za zaida.

Walichokufanyia sio sawa. Nenda kaonane na meneja TANECO Kibaha.
Shukran sn mkuu,,
Nitafata maelekezo.

Haiwezekani wapitishe wire kwangu tena bila makubaliano yeyote.
 
Huduma za jamii kama nn labda kwa mfano?
Tunakokwenda Kuna huduma za Maji Safi, Maji taka, mikonga ya mawasiliano, mabomba ya gesi, nyaya za umeme zinazokutoa Imani, Njia za waenda Kwa miguu, na kadhalika, tumejitoa sana ufahamu, wajukuu wetu wataona kama sisi watangulizi wao ni kizazi kilichoshindwa kufikiria
 
Pia ifahamike tanesco ni sehemu kubwa ya tatizo Kwani wanapitisha nguzo zao bila kuzingatia mipango miji, Hawa wamashiriki kiasi kikiwa miji yetu kuwa holela, hapo juu sijawatetea Tanesco ila Najua wao ni taasisi inayofanya vitu bila kuzingatia mipango miji, ukitaka ihame Gharama zao utazimia
 
Tunakokwenda Kuna huduma za Maji Safi, Maji taka, mikonga ya mawasiliano, mabomba ya gesi, nyaya za umeme zinazokutoa Imani, Njia za waenda Kwa miguu, na kadhalika, tumejitoa sana ufahamu, wajukuu wetu wataona kama sisi watangulizi wao ni kizazi kilichoshindwa kufikiria
Kwhyo huduma zote hzo zinakatwa kwenye kiwanja kimoja?

Elewa kwamba huduma za jamii hazipitishwi shambani kwa mtu kama eneo limeshapimwa..

Unless kuwe na makubaliano na mwenye mali,,
Ndy ninachopambania kwa sasa.
 
Pia ifahamike tanesco ni sehemu kubwa ya tatizo Kwani wanapitisha nguzo zao bila kuzingatia mipango miji, Hawa wamashiriki kiasi kikiwa miji yetu kuwa holela, hapo juu sijawatetea Tanesco ila Najua wao ni taasisi inayofanya vitu bila kuzingatia mipango miji, ukitaka ihame Gharama zao utazimia
Hakika mkuu,
Tena kwa hili la kwangu kuna 💯 harufu ya rushwa.
 
Sasa si umeshasema shamba, mazao gani yatarefuka mpaka kufikia kwenye waya za umeme?
Kama una wazo la kuja kujenga baadae si utaenda tanesco watazitoa?

Nikushauri tu kama ndugu
-Hii dunia tunapita hapo unapopaona kwako sasa palikuwa pa wengine naleo hawapo kwenye uso huu wa dunia
-Epuka migogoro isiyo ya lazima na majirani maana ndio watakaokusaidia siku ukipatwa na shida ya haraka
-Ishi na watu kwa upendo, ukorofi sio dili
Watu wengine mna uzezeta wa hali ya juu. Ni ulokole unaharibu hivi akili zako au kuna shida nyingine? Mbona analolalamikia halina uhusiano kabisa na huu uharo wako?
 
Sasa si umeshasema shamba, mazao gani yatarefuka mpaka kufikia kwenye waya za umeme?
Kama una wazo la kuja kujenga baadae si utaenda tanesco watazitoa?

Nikushauri tu kama ndugu
-Hii dunia tunapita hapo unapopaona kwako sasa palikuwa pa wengine naleo hawapo kwenye uso huu wa dunia
-Epuka migogoro isiyo ya lazima na majirani maana ndio watakaokusaidia siku ukipatwa na shida ya haraka
-Ishi na watu kwa upendo, ukorofi sio dili
kwan ww unaish Ulaya ? nyaya ngap zipo kima cha mbuz
 
Back
Top Bottom