Taja majina ya kimahaba kwa kabila lenu

teh.teh.. hapa mimi mgeni nilitoka nikijua hiyo ni tabia mbaya! hivyo nimejifunza maneno ya mjini ambayo nayo kwatafsiri ya kiafrika hayana maana kwetu kama:-
  • sweet - ni kama pipi au chingamu utamu ukiisha unatupwa
  • honey- hakuna tofauti na kopo la blue band likiisha linanunuliwa lingine
  • my moyo- wizi mtupu mbona hauko kifuani kwako
  • my baby- hili ndilo baya zaidi dume zima unatumia nepi za kutupa yaani wewe ni mburura hujiwezi kwa lolote yaani unajinyea tu ya yako ni maziwa halafu jitu linafurahi badala ya teni anatoa laki umbwege mtupu.
nakubaliana na hii dia- angalau yenyewe ni dar es salaam international airport yaani wewe ni kila kitu mpaka ndege za magufuli zinatua kwako!
 
Kamusyundankwela-nafikiri tafsiri sahihi ni barafu wa moyo kipepeo cha nafsi! Maana yake kamili ni ngumu kidogo ila kwa ujumla ni neno zito!
 
Back
Top Bottom