Tafsiri rahisi 3 za kutoonekana kwa jina la David Kafulila katika teuzi za Wakuu wa Mikoa Julai 28, 2022

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake ni either :-

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi au

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona au

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake:

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi .

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Zote ni tafsiri potofu
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake:

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi .

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Sukuma Gang kubalini matokeo wacheni kulialia.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake:

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi .

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Kwa hiyo akirudishwa katika nafasi ya juu itafuta "Serikali ya vibaraka wa mafisadi!" Kumbe hizo tuhuma zako ni imagination tu hazina uhalisia wowote.

Pili, mbona hukujiuliza hiyo Serikali unayoituhumu kitoto ndiyo ilimteua na kumpa nafasi ya kuongoza mkoa?
Tatu, unajua cheo cha umma ni dhamana? Leo wewe na kesho yule?
#Tuheshimu mamlaka ya uteuzi.🙏🙏🙏
 
Kwa hiyo akirudishwa katika nafasi ya juu itafuta "Serikali ya vibaraka wa mafisadi!" Kumbe hizo tuhuma zako ni imagination tu hazina uhalisia wowote.

Pili, mbona hukujiuliza hiyo Serikali unayoituhumu kitoto ndiyo ilimteua na kumpa nafasi ya kuongoza mkoa?
Tatu, unajua cheo cha umma ni dhamana? Leo wewe na kesho yule?
#Tuheshimu mamlaka ya uteuzi.🙏🙏🙏
mkuu mojawapo inaweza kuwa tafsiri sahihi
 
Tumbili hatabiliki..
Ila yawezekana point ya tatu inamashiko zaidi kulingana na utawala wa walamba asali uliopo awamu hi.

#MaendeleoHayanaChama
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Tumbili hatabiliki..
Ila yawezekana point ya tatu inamashiko zaidi kulingana na utawala wa walamba asali uliopo awamu hi.

#MaendeleoHayanaChama
kwangu mimi sijaona kosa kubwa la kumtoa labda kama anaandaliwa ukatibu na uwaziri
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake ni either :-

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi au

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona au

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Nafikiri hii ya tatu ipo sahihi sana
 
Kwakuwa hii sio serikali ya wapiga dili kama ilivyokuwa huko nyuma,

Naamini Rais hawezi kumwacha Kafulila
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake ni either :-

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi au

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona au

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Waziri ajaye
 
Kuna kitu kinaitwa life style audit. Ukiishi kama bashite wakati mshahara wako ni wa mwalimu lazima upumzike tukuhoji
 
Habari JF,

Kwa kusema ukweli kila mwananchi mzalendo alifurahiswa na kasi ya utendaji kazi wa aliyekuwa mkuu wa Mkoa Simiyu David Kafulila.

Hivyo hizi ndizo tafsiri 3 za kukosekana kwake ni either :-

1. Kutokana na utendaji wake amaandaliwa Uteuzi wa Juu zaidi au

2. Ameachwa kutokana na utendaji mbovu ambao wananchi ilikuwa Ngumu kuuona au

3. Serikali ya Awamu ya Sita ni vibaraka wa Mafisadi hivyo alikuwa anazuia upigaji usifanyike.

Ni hayo tu, God bless Tanzania.
Hoja kuu ni kupambania KATIBA mpya, itokanayo na RASIMU alosimamia Judge WARIOBA kabla haijachakachuliwa kuwa Katiba pendekezwa.

Watumishi waendelee kupaza sauti zao,

Wananchi tuendelee kupaza sauti juu ya mfumuko wa Bei za bidhaa na kupaa Kwa Bei za mafuta.

Mungu ibariki Tanzania. Amen
 
Back
Top Bottom