KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 28,712
- 64,897
Hospitali zipo zitaungwa tu!Unazidi kunivunja mbavu.
me sielewi kwanini watu wanaogopa kifo! wkt kinafaida
Hospitali zipo zitaungwa tu!Unazidi kunivunja mbavu.
Uwoga hasa wa kifo kwa mwanadamu unasababisha watu kutenda dhambi. Death is inevitable.Hospitali zipo zitaungwa tu!
me sielewi kwanini watu wanaogopa kifo! wkt kinafaida
Kama ni mimi nitafanya yafuatayo, nitawatafuta wote niliowakosea na kuwataka radhi kama wangali hai, nitatubu dhambi zangu zote hadharani na kusamehe wote ili nipate amani ya moyo. Madeni kama ninayo nitalipa kwa kadri ya uwezo wangu. Kama nina watoto nitawafundisha hekima ili waishi vyema mara baada ya mimi kwenda kusiko julikana.
Nitamwomba mola anisamehe makosa yangu kama ambavyo mimi nimesha tubu na kusamehe. Baada ya hapo nitaitafuta njia ya kweli na kufanya kazi kwa bidii bila kusahau ibada.
"Matendo yao hayatawaacha kumgeukia Mungu wao maana roho ya uzinzi imo ndani mwao"Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Sasa mkuu utajizimisha kwa namna gani?mimi ntakuwa nazimia kila mara ili kujizoeza kifo kabla hakijanikuta..!
it's just a joke..
si kuna nusu kaputiSasa mkuu utajizimisha kwa namna gani?
Nusu kaputi haiuzwagi mkuu. Labda uwe doctor uibesi kuna nusu kaputi
Mkuu inaelekea unapenda papuchi sana...Nitafungulia zipu bila kuogopa ukimwi, nitaonja kila aina ya papuchi
Hata sasa mbona wewe ni mtakatifu?nitakuwa mtakatifu huku nikifanya yale yanaynifurahisha kwa gharama yeyote bila kujali
sasa hivi si kweli aisee,, nafigisu figisu nyingiHata sasa mbona wewe ni mtakatifu?
tengeneza na Mungu wako upesi kabla hujatwaliwa kutoka katika ulimwengu huusasa hivi si kweli aisee,, nafigisu figisu nyingi
itapatikana tu njia ya kujizimisha..Nusu kaputi haiuzwagi mkuu. Labda uwe doctor uibe
hujui hako ni kamtaa ka mtakuja!Mkuu inaelekea unapenda papuchi sana...
Mkuu,mbona naona kama yule mtoa roho amepanda gari na anaulizia ashuke wapi ili akupate??sasa hivi si kweli aisee,, nafigisu figisu nyingi
Mwambie apite sipo tayariMkuu,mbona naona kama yule mtoa roho amepanda gari na anaulizia ashuke wapi ili akupate??