Doctor Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,058
- 2,623
- Thread starter
- #21
Eti mbarikiwa? Mbarikiwa wa nini? Huyo mtu ni mwehu na anatengeneza "cult" ya wehu. Naipongeza Serikali kwa hatua madhubuti waliochukua. Naye Kibwetere alianza hivihivi akawateka watu kwa kusingizia dini kisha akawachoma moto.
KUna wehu mbaya kuliko ule wa kuwatoa kafara watu kwenye mkesha wa kukanyaga mafuta?
Think again!