mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,770
- 7,122
Polisi, Uhamiaji, Magereza na Zimamoto. Wote ni wizara moja. Sayansi mliyotumia inashangaza.
Hivi mnajua kwamba tunao-graduates wanauza chai kwenye vihoteli vidogo?
Mnajua kwamba kuna graduates wanaendesha bodaboda? Mnajua kuwa form six leavers wanauza matunda stendi na wengine ni vibarua wa ujenzi?!
Hamjui kwamba ktk ukosefu wa ajira hatuchagui kazi?
Kwanini msingewafanyia usahili halafu mkawauliza na kuwapa masharti yenu, ili watakaokubali muwape nafasi?
Kujiendeleza ni fursa ambayo ikitokea kazini mtu anachukua maamuzi. Kuna graduate ni dreva wa tajiri mmoja hapa nilipo, cheti kaacha nyumbani ili familia ipate kula.
Serikali, kama hamtaki wasomi mnasomesha wa nini? Mnavijua vyanzo vya upotevu wa amani? Sikuipenda na sitaopenda kamwe
Mtoto hachagui mbeleko, hata uzi waweza kumfaa
Hivi mnajua kwamba tunao-graduates wanauza chai kwenye vihoteli vidogo?
Mnajua kwamba kuna graduates wanaendesha bodaboda? Mnajua kuwa form six leavers wanauza matunda stendi na wengine ni vibarua wa ujenzi?!
Hamjui kwamba ktk ukosefu wa ajira hatuchagui kazi?
Kwanini msingewafanyia usahili halafu mkawauliza na kuwapa masharti yenu, ili watakaokubali muwape nafasi?
Kujiendeleza ni fursa ambayo ikitokea kazini mtu anachukua maamuzi. Kuna graduate ni dreva wa tajiri mmoja hapa nilipo, cheti kaacha nyumbani ili familia ipate kula.
Serikali, kama hamtaki wasomi mnasomesha wa nini? Mnavijua vyanzo vya upotevu wa amani? Sikuipenda na sitaopenda kamwe
Mtoto hachagui mbeleko, hata uzi waweza kumfaa