Simba SC yaitisha mkutano na Waandishi wa Habari hivi punde

Yaani simba timu kubwa inalilia points za dezodezo haingii akilini...
Kwanini wasipambane uwanjani mpaka wasubir kukata rufaa poor simba hasa kwa tim kama kagera
Kwani mpaka Simba kuongoza ligi si kwa maana alikuwa anapambana uwanjani.. sasa la ajabu lipi ikiwa katika soka kuna sheria na kanuni zake ambazo lazima zitumike mojawapo ni sheria ya kadi

Endeleeni kuwa na sononeko la moyo
 
Nyie wa matopeni mpira,hamkai muweze izo points za watu rudisheni bhana...mnaogopa kukosa tena ubingwa kwa mara ya 5 mfululizo?
 
Baada ya kuonenaka kuwa TFF ya Malinzi, wana Kagera wenzie ( Wahaya ) na Yanga FC wanataka kuiangamiza Klabu ya Simba juu ya points zake na tayari kukiwa na tetesi kuwa huenda leo mchana maamuzi rasmi yakatolewa na Simba SC kupokwa points Uongozi wa Simba umeitisha mkutano wa haraka sana na Waandishi wa Habari katika wanachosema kuwa TFF, wana Kagera ( Wahaya ) na Yanga FC wameamua kumwaga Ugali sasa Simba SC wao wanaenda kumwaga Mboga, Maji ya kunawa, Chumvi, Pilipili ile tuheshimiane hapa mjini kama siyo nchini.

Mpira wa Bongo umeshaharibika leo ndiyo FIFA na CAF watayajua madudu yote ya Malinzi na Watu wake wa TFF.

Hongereni sana Simba SC kwa kuamua Kukinukisha na leo ndiyo leo!
Mimi ni SIMBA damu lakini namna ulivyowasilisha hoja halafu nikuunge mkono pasipo kukutandika za uso nitakuwa sijajitendea Haki. Simba na yanga ni timu za hovyo na zinaongozwa hovyo hovyo na viongozi tumbo.
Mnashindana kutuletea wachezaji wa nje vilaza halafu mnalalamika. Acha vitimu vya bara vyenye wachezaji wa ndani viwagaragaze. Inekera sana namna mnavyofanya usajili mbovu halafu mnategemea.matokeo mazuri. Nyambafu zenu. Kazi kutuumbia magonjwa ya moyo.
 
Simba wana kikundi kidogo cha viongozi wahuni hao ndo wanatualibia soka letu LA Tzee ,Eti Leo wanadiriki kusema watamwaga mbonga sasa hayo madudu walikua wapi siku zote iwe Leo?Ifike kipindi Viongozi wa Mikia waache Siasa za kuwaongopea wanachama na mashabiki wao maana wamekua ni watu wa kupenda mkatomkato sana kuliko ukweli.Tunajua wanafanya kampeni za kumchafua Jamal Malinzi ila sisi wapenda soka tunaona jinsi Malinzi anavyojitahidi kulipeleka soka letu mbele
 
Mkuu umesahau ile timu imetoka kuongoza moja walipofika kule wakatiwa nne mpaka kupoteana mpaka serikali kutaka kuhamia kwenye sanaa na waziri akasema hana taarifa kuwa wameenda wapi na walikombolewa na mkopo wa malinzi na asingekuwa yeye mngekaa huko mpaka mkome halafu walipotua tu taifa hawakutaka kupanda gari lile la ccm wakapotea kama upepo nadhani ndio aibu kubwa kuliko hii.
Kufungwa ni sehemu ya mchezo na ndio maana sisi baada ya kufungwa tumeludi nyumbani na kuanza kujipanga upya sio kuanza kulialia na kutaka points za mezani
 
Baada ya kuonenaka kuwa TFF ya Malinzi, wana Kagera wenzie ( Wahaya ) na Yanga FC wanataka kuiangamiza Klabu ya Simba juu ya points zake na tayari kukiwa na tetesi kuwa huenda leo mchana maamuzi rasmi yakatolewa na Simba SC kupokwa points Uongozi wa Simba umeitisha mkutano wa haraka sana na Waandishi wa Habari katika wanachosema kuwa TFF, wana Kagera ( Wahaya ) na Yanga FC wameamua kumwaga Ugali sasa Simba SC wao wanaenda kumwaga Mboga, Maji ya kunawa, Chumvi, Pilipili ile tuheshimiane hapa mjini kama siyo nchini.

Mpira wa Bongo umeshaharibika leo ndiyo FIFA na CAF watayajua madudu yote ya Malinzi na Watu wake wa TFF.

Hongereni sana Simba SC kwa kuamua Kukinukisha na leo ndiyo leo!
Sijawahi kuupenda mpira wa bongo
yani soka limejaa figisu figisu za ajabu
af tukishabikia timu za ulaya tunambiwa sio wazalendo
mpira ulaya hata wasemeje tena el classico inakuja kesho kutwa tu
watuache tuenjoi mpira mzuri
 

Mimi kama shabiki wa Simba sikupendele sana hizi Alama za mezani, ningependa Viongozi wetu wajikite zaidi kwenye kucheza mpira na kuisaidia timu kupata matokeo kwenye mechi hizi chache zilizosalia...

Ubingwa hauto noga sana! Kama hizi points zikitusaidia kuwa Mabingwa.
Kama hupendi ni hivi washawishi wadau ili hii kanuni iondolewe au iseme hivi Isipokuwa Kwa club ya simba timu zingine zote zaweza kupewa pointi tatu za meza
 
Hakuna team hisiyofungwa kuna mtu UEFA alichezea mkono Jana MTU kala NNE ndo mpila huo sasa Uwanjani unashindwa unalazmisha za mezani kisa kimipangomipango mi nasema hao ndo wanaturudisha nyuma kwenye soka letu SIO Jamal Malinzi anayepigana kutuundia soka LA Vijana na wanawake wawe tegemeo LA kesho
 
Baada ya kuonenaka kuwa TFF ya Malinzi, wana Kagera wenzie ( Wahaya ) na Yanga FC wanataka kuiangamiza Klabu ya Simba juu ya points zake na tayari kukiwa na tetesi kuwa huenda leo mchana maamuzi rasmi yakatolewa na Simba SC kupokwa points Uongozi wa Simba umeitisha mkutano wa haraka sana na Waandishi wa Habari katika wanachosema kuwa TFF, wana Kagera ( Wahaya ) na Yanga FC wameamua kumwaga Ugali sasa Simba SC wao wanaenda kumwaga Mboga, Maji ya kunawa, Chumvi, Pilipili ile tuheshimiane hapa mjini kama siyo nchini.

Mpira wa Bongo umeshaharibika leo ndiyo FIFA na CAF watayajua madudu yote ya Malinzi na Watu wake wa TFF.

Hongereni sana Simba SC kwa kuamua Kukinukisha na leo ndiyo leo!
Mpira wa bongo ni kama bongo movie tu, mie siku nyingi nilishaachaga kuangalia... bora kucheki mpira ya watu wanaojua sio siasa za kibongo
 
sasa hao simba kama walizitaka sana hizo point 3 kwanini hawakushinda ile mechi? waache upuuzi wakusingizia kadi ili kupewa point za huruma, wathibitishe hiyo kadi ilitolewa mechi gani, mwamuzi alikua nani na ilitoka dakika ya ngapi sio kulialia!
Rejea Real Madrid kilichowakuta kwenye Kombe la Mfalme last se
Season. Kule Spain.
 
Back
Top Bottom