Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila kitu Stellenbosch wameonyesha uwezo

Makavuli

JF-Expert Member
Aug 27, 2024
1,654
2,051
Ule msemo wa uchawi aupandi ndege inawezekana ukaja kutimia kule bondeni kwa madiba!

Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila aina ya ushirikina bado wamepewa mechi ngumu na vijana wa madiba!

Kama kawaida yao na jadi yao ya ushirikina ndio vimewanusuru Leo kupata kigoli cha mazonge mazonge na sio uwezo wa timu!

Uwa nasema mara nyingi Simba inabebwa na mambo ya nje ya uwanja ya ushirikina inapokuwa uwanja wa nyumbani ndio maana ya kale kamsemo ka kwa mkapa atoki mtu wanajua nguvu zao za ulozi ziko apo na aziwezi kufua dafu wanapokwenda ugenini kwakuwa uchawi aupandi ndege!

Ndio maana Leo Mpira umekwisha na mashabiki wao wengi wamekuwa kama wamemwagiwa maji ya barafu na wakati wameshinda wanajua tegemeo lao limeferi la kutumia uwanja wa nyumbani kupata angalau goli 2 wakati kamati ya ufundi imefanya Kila njia imeshindikana sasa kule kwa madiba bila kuwafunga jamaa miguu itakuwaje!

Narudia Tena Simba uwezo wa kikosi chenu ni mdogo sana na apo mnacheza kikombe cha washindwa vipi msimu ujao mkienda kucheza ligi ya mabingwa na kikosi icho si mtatia aibu nyie!

Mchezaji anaumia kocha anashindwa kumtoa kwakuwa wachezaji walioko benchi ni viwango vyao ni tiamaji tiamaji

N:B Kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika
 
Utakufa na kiroho.Mngefanya uchawi kama unasaidia mlipofungwa nyumbani na kushindwa kuqualify hata kwenye makundi. Nyie mnashinda kwa kuhonga marefa na timu pinzani ndio maana mkifika kwenye mashindano ya kimataifa hoi.Rais Jakaya Kikwete hakukosea kusema mnahonga ndani mkifika nje viboko tu
 
Utakufa na kiroho.Mngefanya uchawi kama unasaidia mlipofungwa nyumbani na kushindwa kuqualify hata kwenye makundi. Nyie mnashinda kwa kuhonga marefa na timu pinzani ndio maana mkifika kwenye mashindano ya kimataifa hoi.Rais Jakaya Kikwete hakukosea kusema mnahonga ndani mkifika nje viboko tu
Usilinganishe michuano ya wanaume na michuano ya wakinamama,,kama ilikuwa ni rahisi kufuzu tu kucheza klabu bingwa ulishindwa nini mpaka ukashika nafasi ya tatu na kucheza kwenye michuano ya washindwa?
 
Usilinganishe michuano ya wanaume na michuano ya wakinamama,,kama ilikuwa ni rahisi kufuzu tu kucheza klabu bingwa ulishindwa nini mpaka ukashika nafasi ya tatu na kucheza kwenye michuano ya washindwa?
Hayo unayoita ya wanaume umeingia mara ngapi hata makundi tu? Tusiongelee robo fainali katika miaka 15 iliyopita?
 
Ujanja wa Simba ni kama mpinzani wao ame park bus ila kama anashambulia Simba ni wepesi mno
Ndio nawaambia wanaosema Simba kacheza Mpira wakati mfumo wa mpinzani wake ulikuwa unampa nafasi ya kufanya hivyo,,sasa tusubilie south ndio tutaona mbivu na mbichi
 
Ndio nawaambia wanaosema Simba kacheza Mpira wakati mfumo wa mpinzani wake ulikuwa unampa nafasi ya kufanya hivyo,,sasa tusubilie south ndio tutaona mbivu na mbichi
Mmekuja na hizi ngonjera tokea gemu na Al Ahli Tripoli hata kama ni repetition imeanza kukwaruza.Tafuteni jipya.
 
Back
Top Bottom