Simba itaingia fainali ikiwa huko Afrika kusini

Lee Van free

JF-Expert Member
Aug 14, 2024
1,746
5,887
Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.

Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:

Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:

timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.

Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.

Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.

Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.

Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.

Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.

Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.

Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?

Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.

Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.

Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.

Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.

Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.

Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.
 
Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.

Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:

Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:

timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.

Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.

Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.

Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.

Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.

Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.

Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.

Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?

Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.

Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.

Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.

Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.

Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.

Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.
Sahihi kabisa mkuu.

Kingine cha kuzingatia, nasikia jamaa wamepeleka game Durban kwa sababu kuna vishawishi vingi kule. Wachezaji walindwe sana kipindi chote watakapokuwa huko. Watapata muda wa kutosha kufanya starehe kipindi cha likizo baada ya kubeba makombe.

Hatuishii hapa!
 
Mimi nitakuwa Tofauti kidogo.

Natamani simba wafanye Sajili za wachezaji Bora Afrika, sio hawa waliopo leo.

QUALITY YA WACHEZAJI 50% HAWAFAHI KUCHEZA SIMBA.
SIMBA INAZIDIWA QUALITY NA SINGIDA.
QUALITY.
QUALITY.
QUALITY.
 
Mimi nitakuwa Tofauti kidogo.

Natamani simba wafanye Sajili za wachezaji Bora Afrika, sio hawa waliopo leo.

QUALITY YA WACHEZAJI 50% HAWAFAHI KUCHEZA SIMBA.
SIMBA INAZIDIWA QUALITY NA SINGIDA.
QUALITY.
QUALITY.
QUALITY.
Usajili wowote wa wachezaji wazuri unahitaji Pesa.
Tudipende kutaka makubwa wakati uwezo wetu kiuchumi ni mdogo.
Hapa Afrika Kuna timu zina uchumi mkubwa sana kuweza kumsajili mcjezaji yoyote,Kuna timu zina viwanja Yao,Kuna timu zina ndege,Kuna timu zina vitega uchumi na Kuna timu zina wafadhiri wenye pesa nyingi mno.
Hata hivyo usajili wowote mara nyingi huwa ni bahati,unaweza ukamsajili mchezaji aliekua Bora kwao akaja asifanye vizuri kwetu,na ukamsajili mchezaji wa kawaida akaja kuibuka kua mchezaji Bora.
Hebu chunguza timu zenye uchumi mkubwa mara nyingi ndio hupata wachezaji Bora na kupelekea kufanya vizuri kwenye mashindano.

Sasa hayo ya usajili tuyaache kwa Leo maana wachezaji ilionao Simba ndo haohao hatuwezi kuacha kushiriki Kwa vile tuna wachezaji wenye ubora mdogo.
Tuwatumie hawahawa kwa akili ili tufuke fainali.
Lakini Kumbuka Kwamba ni wachezaji hawahawa ndio wameiingiza Simba nusu fainali baada ya miaka karibu 30.
 
Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.

Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:

Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:

timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.

Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.

Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.

Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.

Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.

Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.

Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.

Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?

Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.

Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.

Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.

Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.

Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.

Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.
Kwa mpira mlioshambuliwa jana vile? Yanga peke yake ndiyo anawafungaga watu kwao
 
Tangu msimu unaanza Simba imeonyesha Changamoto kubwa sana kwenye No 10.

Nimepiga kelele na Viongozi Dirisha dogo wasajili quality Walau tatu.
Mpanzu, Kimvuzuidi, Traole. Cha ajabu na kusikitisha wakasajili Mchezaji Mmoja tu mpanzu.
Je hao walikua na wapo sokoni?
Je gharama yake Simba wangeiweza?
Na je nao walikua na utayari wa kuchezea Simba?
Je Simba tulikua na uwezo wa kushindana na ma Giant ambao pengine nao walikua wanawataka?

Mambo haya Yana Siri kubwa sana nyuma ya pazia.

Kumbuka usajili ni gharama ndio maana timu ndogo hua hazipati wachezaji wazuri.

Mfano timu kama kagera,Namungo,Tabora,JKT, Coastal,Azam,Pama, Singida,Mbeya city,Mtibwa n.k haziwezi kushindana usajili na Simba na Yanga hapa nyumbani.

Piq Simba na Yanga haziwezi kushindana usajili na timu kubwa za Afrika kama Al Ahly,Raja Casablanca,Waydad Casablanca,Esparence,Mamelody n.k.
Nazo hizo haziwezi kushindana usajili na timu kama Real Madrid, Barcelona,Arsenal, Liverpool, Juventus,Buyer liverkursen,Buyern Munich,n.k.
Kwa hiyo inawezekana Simba tunataka kuibebesha mzigo isioweza kuubeba kwa uchumi wake.

Hata hivyo bado nasisistiza hawahawa akina Ahoua ndio wameiingiza Simba nusu fainali baada ya miaka 30 na bado haijaisha mpaka iishe .
Nina uhakika Simba inaenda kufuzu.
 
Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.

Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:

Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:

timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.

Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.

Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.

Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.

Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.

Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.

Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.

Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?

Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.

Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.

Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.

Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.

Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.

Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.
Tunaenda hatuishii hapa kombe tunalileta
 
Kwa mpira mlioshambuliwa jana vile? Yanga peke yake ndiyo anawafungaga watu kwao
Uliangalia ball possession?
Nani alishambuliwa sana?
Hiyo ya ga Yako mbona juzi hapa walishindwa kupata goli moja TU ili wamtoe Mwarabu Ili wasonge mbele?
Ndio nimesema kwamba tusiishi kwa kukalili.
Nadhani hujui historia vizuri,Simba aliwahi kumtoa Zamalek bingwa mtetezi wa club bingwa kwao .
 
Tangu msimu unaanza Simba imeonyesha Changamoto kubwa sana kwenye No 10.

Nimepiga kelele na Viongozi Dirisha dogo wasajili quality Walau tatu.
Mpanzu, Kimvuzuidi, Traole. Cha ajabu na kusikitisha wakasajili Mchezaji Mmoja tu mpanzu.
Dah maajabu,hao wachezaji wapo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom