Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,746
- 5,887
Wala Sina mashaka na haya niliyoyaandika.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.
Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:
Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:
timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.
Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.
Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.
Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.
Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.
Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.
Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.
Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?
Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.
Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.
Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.
Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.
Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.
Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.
Simba inaenda kufunzu kuingia fainali mbele ya Stellenbosch Tena akiwa kwao.
Ndugu zangu Tuache kukalili kua kucheza nyumbani ndio kigezo Cha ushindi.
Ukweli ni kwamba katika soka matokeo ni popote pale.
Hivyo mechi ya marudiano Simba anaenda kumtoa Stellenbosch kwa namna yoyote Ile,iwe ni kwa kumfunga goli jingine au magoli zaidi au hatua ya penati.
Siongei kama mtabiri Bali mtafiti.
Sababu zangu za Simba kusonga mbele ni hizi:
Kwa kuangalia harakaharaka hua tunaona kucheza nyumbani ni faida,lakini ukweli kucheza nyumbani pia ni hatari sana:
timu hua inatakiwa icheze kwa tahadhari sana isiruhusu goli na ipate magoli,Sasa hii hua sio rahisi na inapelekea kufanya makosa mengi na kusababisha timu kufungwa.
Stellenbosch anayo kazi hapa.
Hakuna ushahidi kua tumu ikicheza nyumbani ni lazima ishinde,Kuna timu nyingi zimefungwa ama zimetolewa kwao,mfano Yanga wametolewa juzi TU hapa.
Simba tulitolewa na Waydad hapa,
Simba tulitolewa na timu ya Botswana hapa.
Zamalek tuliitoa kwao,na Zamalek imetolewa na Stellenbosch kwao.
Kwa viwango vya Simba safari hii inao uwezo wa kuforce droo ya bila kufungana kwao.
Stellenbosch ni timu Bora saizi ya Simba,lkn sio timu ya ngumu na ya kutisha kiasi hicho,Simba wanawaweza.
Simba alikua ana kazi sana Jana ya kujilinda na kuhakikisha anapata ushidhi,hapa ameweza, akienda huko ni kama vile Hana Cha kupoteza,anauwezo wa kuwakeep bize Stellenbosch kwa kuwashambulia mfululizi na kujilinda,ambao muda wote nao watakua wanajilinda kuepuka kufungwa Tena.
Simba hii inauwezo wa kupata goli zaidi ya moja huko, huko,kosakosa zilizotokea Jana ni sababu ya Presha na inaonesha defense ya Stellenbosch inapenyeka na kosakosa hizi zinarekebishika.
Kama wao waliweza kuwafunga Zamalek kwao,kwa Nini Simba tushindwe kuwafunga wao kwao?
Kwani wao Wana ukubwa Gani wa kushindwa kufungwa kwao?
Simba mchezo huu wa marudiano wataucheza kama Fainali yenyewe, maana Wana akiba ya goli moja mikononi,mwenye Hali ngumu ni Stellenbosch.
Simba inauzoefu wa kucheza popote Afrika.
Zamani tulipokua tukizifunga kwa Mkapa timu za Kaskazini,walikua wakitufunga mengi kwa hila tukienda kwao.
Lakini Siku hivz timu zetu ziligundua fitina,njama na hujuma zote hizo. Tumejifunza na hii imetupa uzoefu.
Kuwa na kocha kutoka SA nayo ni faida nyingine Kwa Simba kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na hujuma nje ya uwanja,kuyajua mazingira na kuwatia moyo wachezaji wa Simba.
Haihitaji kupokelewa na wapinzani wa Stellenbosch wa huko,kama vile wanavyofanyaga wapinzani wa Simba pale timu za nje zikija kwetu, bali Fadlu na wasaidiIzi wake wanatosha.
Kumbuka Fadlu ana jamaa zake huko.
Bila kusahau Kuna Watanzania wengi wanaishi SA kwa ajili ya sapoti,hivyo Simba hawatakua wanyonge.
Nawaona maelfu ya Wanasimba wakiwa uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere wakiipokea timu ya Simba wakitokea Afrika kusini kwa kishindo.
Wanasimba wenzangu hii tutasonga mbele.