KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,517
Huyu bwana anachokisema ni kweli. Kumekuwepo na siasa za kinafiki katika matukio ya mauaji. Lakini kila upande una makosa kwa kuwa wakiuawa wazungu, waarabu wanaona sawa. Wakiuawa waarabu wazungu wanaona sawasawa ni haki yao kufa. Hii dunia tunapoelekea sio kuzuri, kinachotakiwa wazungu waache siasa zao za kinafiki, na waarabu waache kulipiza kisasi.