Uchaguzi 2020 Sheria ya Gharama za Uchaguzi inasemaje? Nimepata mashaka baada ya CCM kufika Kigoma

Gharama za uchaguzi haziihusu CCM, vyama vya upinzani vinatakiwa kuzingatia kikomo kilichowekwa na NEC vinginevyo vitachukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kupoteza sifa za kugombea.
Siku CCM wakitoka madarakani ndiyo tutaanza kujua ni vipi CCM wametuonea na kutunyanyasa kwa muda wa miaka 60. Kwa Sasa ni vigumu mno watu kuona au kuelewa hilo ingawa Lissu na CDM wanajitahidi kuwasomesha wananchi.
 
Gharama za uchaguzi ni kwa vywama vywa upinzani tu brother wala usiumize kichwa ccm haiwahusu ndiyo nchi hii tena awamu hii ilipo tufikisha
 
Gharama za uchaguzi ni kwa vywama vywa upinzani tu brother wala usiumize kichwa ccm haiwahusu ndiyo nchi hii tena awamu hii ilipo tufikisha
Huo ni ukweli ulio wazi,tunatakiwa kuukomesha kwa kuchagua viongozi mbadala wa CCM.Walishajimilikisha mali za umma na Watanzania(wenye nchini yao).
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Hizo gharama zinawahusu wapinzani.

Unadhani pale NEC nani mwenye msuli wa kumkosoa Meko anapofanya makosa, ndio maana uwepo wa Lissu una umuhimu sana ili kwenda nao sawa hawa mabeberu.
 
Sasa katika maadili ya uchaguzi kwanini kuna kifungu cha gharama za uchaguzi?Kipo kama pambo tu?
Imagine wewe unammiliki hotel kama Malaika pale Mwanza, au Una mabasi ya abiria kama Yule mbunge msukuma wa Geita, au wewe ni Babu Tale(manager wa wasanii wanaotoa burudani kwenye kampeini) au ni Tabasamu(supplier Mkubwa wa Mafuta)ni kiasi gani utawacharge CCM Kwa services utakazowapatia?!
 
Imagine wewe unammiliki hotel kama Malaika pale Mwanza, au Una mabasi ya abiria kama Yule mbunge msukuma wa Geita, au wewe ni Babu Tale(manager wa wasanii wanaotoa burudani kwenye kampeini) au ni Tabasamu(supplier Mkubwa wa Mafuta)ni kiasi gani utawacharge CCM Kwa services utakazowapatia?!
Diamond na Alikiba walikuwa wanapewa mil 15 kwa mkutano mmoja mwaka 2015!Kwa sasa sijui wanalipwa ngapi!
Huku kigoma nimesema nina mtu ninayefahamiana naye ambaye magari yake yalikodiwa!
 
Diamond na Alikiba walikuwa wanapewa mil 15 kwa mkutano mmoja mwaka 2015!Kwa sasa sijui wanalipwa ngapi!
Huku kigoma nimesema nina mtu ninayefahamiana naye ambaye magari yake yalikodiwa!
Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..
 
Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..
That means Kwa kampeini ya wiki 3 tuu wanalipwa pesa nyingi kuliko kiinua mgongo cha Mbunge wa Jamuhuri anayefanya KAZI miaka 5...kuwa msanii ni Bora zaidi kuliko KAZI za kuomba miongozo.
 
Hili swali halikuwahi kunifika mpaka mgombea urais wa CCM kufika Kigoma. Mambo yalikuwa hivi:

*Magari kama Coaster na mabasi yalikodiwa kuchukua wananchi kutoka vijiji mbalimbali. Nina rafiki yangu ambaye gari zake zote zilikodiwa kwa kazi hiyo!

* Wananchi wote waliopakiwa kwenye magari hayo kwenda kwenye uwanja wa kampeni waligawiwa tshirt na vipepereshu vya CCM bure!

* Boda boda walipewa T-shirt na namba ambayo waliitumia kujazia mafuta kwenye sheli!

* Wasanii hulipwa kiasi gani kwa mkutano mmoja? Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, 2015 diamonda na alikiba walikuwa wanapata mil 15! Sijui na wasanii wengine mil 5 kwa mil 2 kulingana na ukubwa wao,sijui kwa sasa wanalipwaje.

* Nimeshuhudia msafara wa magari zaidi ya 60 katika msafara wa mgombea urais.

* Mengine unaweza ukaongeza wewe kama vifaa,chakula,posho za msululu wa watu nk.

Hivi kweli gharama za uchaguzi zinazingatiwa na kwa mujibu wa NEC. Gharama hizi zinapaswa zisizidi kiasi gani kwa mwaka huu wa uchaguzi?
Gharama haipo fixed, kinachoangaliwa zisitumike gharama tofauti na muda wa campaign (any amount of money is applied during campaign period) ndio maana vyama vinaruhusiwa kuchangisha wananchi (harambee)
 
Hivi Singeli ya Ziara ya Rais wa Burundi imekwendaje huko au Zuchu kazingua?
 
Hata hizo nadharia zipo kisheria na NEC inajukumu la kuweka viwango vya matumizi,hicho kiasi au aina ya gharama zimewekewa ukomo.Mleta mada alimaanisha ukubwa wa matumizi yanayoendelea sasa kwenye kampeni za watawala,ukubwa wake ni halali bado kwa mujibu wa maadili ya uchaguzi?
Huu siyo ufujaji wa Mali ya umma?Tumeona viongozi wa serikali wakiwa ndani ya hizi kampeni huku wakitumia raslimali za umma siyo upendeleo?
Naamini hawatamjibu mleta mada.
Mbona NEC ilishasema gharama isizidi 16 Trillion mkuu!
 
Gharama haipo fixed, kinachoangaliwa zisitumike gharama tofauti na muda wa campaign (any amount of money is applied during campaign period) ndio maana vyama vinaruhusiwa kuchangisha wananchi (harambee)
Aisee sijui na wewe umeandika nini!Hebu jisome halafu ujiicheke mwenyewe!
 
Million 15 Kwa show Ile?.. basi CCM wanapesa ya kuchezea..
Wewe unadhani kwanini Bashiru alisema safari hii hawatatumia wasanii kufanya kampeni?Pesa ni nyingi inakwenda!
Wewe unadhani kumchukua Diamond umtoe Dar umpeleke Mikoani,utamlipa kiasi gani?
CCM ndio inapesa,pesa kutoka maeneo mbalimbali serikalini kama vitambulisho vya machinga na mafungu yasiyokaguliwa!
 
Back
Top Bottom