Serikali ya Samia imejipangaje kukabiliana na mathara ya mfumuko wa bei ya mafuta ili yasije kujirudia yaliyotokea kipindi cha Awamu ya kwanza?

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,088
8,003
Kwa wale wahenga nafikiri wote tutakuwa tunakumbuka kilichotokea Mashariki ya Kati tarehe 7 Oktoba mwaka 1973 katika vita iliyojulikana kana Yom Kippur war auvita ya Oktoba ambapo Egypt, Syria, na mataifa mengine ya kiarabu walipoamua kuivamia Israeli kwa kushtukiza.

Mgogoro huo ulikuwa na madhara makubwa sio tu kwa mataifa hayo yaliyokuwa yakipigana, lakini pia kwa karibu dunia nzima, hasa baada ya baada marekani kuamua kuisadia Israeli. Madhara hayo ni kama ifuatavyo;

i).Vikwazo vya mafuta( oil embargo): Tarehe 17 Oktoba 1973, Jumuiya ya mataifa ya nchi za Kiarabu zinazouza mafuta zaidi duniani (OAPEC) kama Saudi Arabia, Kuwait nk. kama kuonyesha kuchukizwa na hatua ya Marekani kuamua kuisadia Israeli, waliamua kuziwekea vikwazo vya kuizuia mafuta Marekani na washirika wake. Marufuku hii ilihusisha kupunguza uzalishaji na mauzo ya mafuta kwa nchi hizi.

ii).Kuhathiriwa kwa minyororo ya ugavi wa mafuta (supply disruptions of fuel). Kulitokea usumbufu mkubwa katika usambazaji wa mafuta duniani maana mapigano yalisababisha kupungua kwa uzalishaji na usafirishaji wa mafuta.

iii). Mtikisiko kwenye soko la mafuta duniani: Marufuku ya OPEC na kuathirika katika minyororo wa usambazaji mafuta duniani ulisababisha hofu kwenye soko la mafuta ulimwenguni. Wasiwasi kuhusu upungufu wa mafuta na usumbufu katika minyororo ya usambazaji wa mafuta ulisababisha ununuzi wa kubahatisha na kuongezeka kwa haraka kwa bei ya mafuta duniani.

Madhara haya yote kwa pamoja ndani ya miezi michache tangu kuanza kwa mzozo huo yalipekea kuongezeka kwa bei ya mafuta mara nne zaidi. Hapa kama mtakumbuka vizuri nchi maskini zaidi duniani, kama vile za barani Africa haswa zinazopatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara, mfano, Tanzania, ziliadhirika vibaya mno. Bidhaa zote zilipanda bei. Seriakli ya Mwalimu ikashindwa hata kuagiza madawa, vipuli vya mashine na bidhaa nyingine muhimu. Uchumi wetu uliokuwa ukikua vizuri ghafla ukaporomoka. misaada nayo ikapungua kutoka nchi wafadhili na marafiki wa Tanzania, mfano Nordic countries kama vile Norway, Dernmark na Uholanzi.

Sasa kinachoendelea sasa hivi huko Israeli kinafanana kwa kiasi kikubwa kabisa na hayo yaliyotokea miaka 50 iliyopita. Tiyari United States Secretary of Defense Lloyd Austin ameshatimiza ahadi yake aliyoitoa kwa Israeli kwa kupeleka silaha. Hamas’s Gaza commander Deif keshawasihi nchi za kiarabu Arabs kuungana kumpiga Israeli, wakati waajemi wao wamewapongeza na wametangaza kuwa watawasapoti wapalestina.

Wakati hayo yakitukia, leo hii taarifa kutoka BBC inasema tiyari bei ya mafuta katika sokola dunia imeshaongezeka kwa asilimia 4. (oil prices surge 4% following Israel Plestine conflict).

Je wachumi, wizara ya nishati, na serikali ya wamu ya sita kwa ujumla wamejipangaje katika hili ili yasije kutokea yaliyotokea awamu ya kwanza tena?
 
.....................Ila ya kukimbiza mwenge hayatakosa hayo mengine sio kipaumbele cha ccm, wao kinacho wawangisha kichwa ni namna gani waendelee kubaki madarakani. Period.
 
Kwa wale wahenga nafikiri wote tutakuwa tunakumbuka kilichotokea Mashariki ya Kati tarehe 7 Oktoba mwaka 1973 katika vita iliyojulikana kana Yom Kippur war auvita ya Oktoba ambapo Egypt, Syria, na mataifa mengine ya kiarabu walipoamua kuivamia Israeli kwa kushtukiza.

Mgogoro huo ulikuwa na madhara makubwa sio tu kwa mataifa hayo yaliyokuwa yakipigana, lakini pia kwa karibu dunia nzima, hasa baada ya baada marekani kuamua kuisadia Israeli. Madhara hayo ni kama ifuatavyo;

i).Vikwazo vya mafuta( oil embargo): Tarehe 17 Oktoba 1973, Jumuiya ya mataifa ya nchi za Kiarabu zinazouza mafuta zaidi duniani (OAPEC) kama Saudi Arabia, Kuwait nk. kama kuonyesha kuchukizwa na hatua ya Marekani kuamua kuisadia Israeli, waliamua kuziwekea vikwazo vya kuizuia mafuta Marekani na washirika wake. Marufuku hii ilihusisha kupunguza uzalishaji na mauzo ya mafuta kwa nchi hizi.

ii).Kuhathiriwa kwa minyororo ya ugavi wa mafuta (supply disruptions of fuel). Kulitokea usumbufu mkubwa katika usambazaji wa mafuta duniani maana mapigano yalisababisha kupungua kwa uzalishaji na usafirishaji wa mafuta.

iii). Mtikisiko kwenye soko la mafuta duniani: Marufuku ya OPEC na kuathirika katika minyororo wa usambazaji mafuta duniani ulisababisha hofu kwenye soko la mafuta ulimwenguni. Wasiwasi kuhusu upungufu wa mafuta na usumbufu katika minyororo ya usambazaji wa mafuta ulisababisha ununuzi wa kubahatisha na kuongezeka kwa haraka kwa bei ya mafuta duniani.

Madhara haya yote kwa pamoja ndani ya miezi michache tangu kuanza kwa mzozo huo yalipekea kuongezeka kwa bei ya mafuta mara nne zaidi. Hapa kama mtakumbuka vizuri nchi maskini zaidi duniani, kama vile za barani Africa haswa zinazopatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara, mfano, Tanzania, ziliadhirika vibaya mno. Bidhaa zote zilipanda bei. Seriakli ya Mwalimu ikashindwa hata kuagiza madawa, vipuli vya mashine na bidhaa nyingine muhimu. Uchumi wetu uliokuwa ukikua vizuri ghafla ukaporomoka. misaada nayo ikapungua kutoka nchi wafadhili na marafiki wa Tanzania, mfano Nordic countries kama vile Norway, Dernmark na Uholanzi.

Sasa kinachoendelea sasa hivi huko Israeli kinafanana kwa kiasi kikubwa kabisa na hayo yaliyotokea miaka 50 iliyopita. Tiyari United States Secretary of Defense Lloyd Austin ameshatimiza ahadi yake aliyoitoa kwa Israeli kwa kupeleka silaha. Hamas’s Gaza commander Deif keshawasihi nchi za kiarabu Arabs kuungana kumpiga Israeli, wakati waajemi wao wamewapongeza na wametangaza kuwa watawasapoti wapalestina.

Wakati hayo yakitukia, leo hii taarifa kutoka BBC inasema tiyari bei ya mafuta katika sokola dunia imeshaongezeka kwa asilimia 4. (oil prices surge 4% following Israel Plestine conflict).

Je wachumi, wizara ya nishati, na serikali ya wamu ya sita kwa ujumla wamejipangaje katika hili ili yasije kutokea yaliyotokea awamu ya kwanza tena?
Hapo juu kuna serikali au kuna mapanya book
 
Kwa upande mwingine,

Kwa level ya sayansi na teknolojia ilivyo ongezeka, ilitakiwa dunia kwa sasa tuwe tumesha ondokana na utegemezi kwenye mafuta kama tulivyo ondokana na makaa ya mawe..! Ni aibu sana kama miaka 50 iliyopita tatizo kama hili lilijitokeza na leo hii lije lijirudie tena 50 years later, ina maana dunia bado iko palepale tunategemea aina ile ile ya fuel tangu 1970s! Ni wakati sasa tuwaachie waarabu mafuta yao na mavita yao sisi tusonge mbele na mambo mengine.
 
Kwa wale wahenga nafikiri wote tutakuwa tunakumbuka kilichotokea Mashariki ya Kati tarehe 7 Oktoba mwaka 1973 katika vita iliyojulikana kana Yom Kippur war auvita ya Oktoba ambapo Egypt, Syria, na mataifa mengine ya kiarabu walipoamua kuivamia Israeli kwa kushtukiza.

Mgogoro huo ulikuwa na madhara makubwa sio tu kwa mataifa hayo yaliyokuwa yakipigana, lakini pia kwa karibu dunia nzima, hasa baada ya baada marekani kuamua kuisadia Israeli. Madhara hayo ni kama ifuatavyo;

i).Vikwazo vya mafuta( oil embargo): Tarehe 17 Oktoba 1973, Jumuiya ya mataifa ya nchi za Kiarabu zinazouza mafuta zaidi duniani (OAPEC) kama Saudi Arabia, Kuwait nk. kama kuonyesha kuchukizwa na hatua ya Marekani kuamua kuisadia Israeli, waliamua kuziwekea vikwazo vya kuizuia mafuta Marekani na washirika wake. Marufuku hii ilihusisha kupunguza uzalishaji na mauzo ya mafuta kwa nchi hizi.

ii).Kuhathiriwa kwa minyororo ya ugavi wa mafuta (supply disruptions of fuel). Kulitokea usumbufu mkubwa katika usambazaji wa mafuta duniani maana mapigano yalisababisha kupungua kwa uzalishaji na usafirishaji wa mafuta.

iii). Mtikisiko kwenye soko la mafuta duniani: Marufuku ya OPEC na kuathirika katika minyororo wa usambazaji mafuta duniani ulisababisha hofu kwenye soko la mafuta ulimwenguni. Wasiwasi kuhusu upungufu wa mafuta na usumbufu katika minyororo ya usambazaji wa mafuta ulisababisha ununuzi wa kubahatisha na kuongezeka kwa haraka kwa bei ya mafuta duniani.

Madhara haya yote kwa pamoja ndani ya miezi michache tangu kuanza kwa mzozo huo yalipekea kuongezeka kwa bei ya mafuta mara nne zaidi. Hapa kama mtakumbuka vizuri nchi maskini zaidi duniani, kama vile za barani Africa haswa zinazopatikana Kusini mwa Jangwa la Sahara, mfano, Tanzania, ziliadhirika vibaya mno. Bidhaa zote zilipanda bei. Seriakli ya Mwalimu ikashindwa hata kuagiza madawa, vipuli vya mashine na bidhaa nyingine muhimu. Uchumi wetu uliokuwa ukikua vizuri ghafla ukaporomoka. misaada nayo ikapungua kutoka nchi wafadhili na marafiki wa Tanzania, mfano Nordic countries kama vile Norway, Dernmark na Uholanzi.

Sasa kinachoendelea sasa hivi huko Israeli kinafanana kwa kiasi kikubwa kabisa na hayo yaliyotokea miaka 50 iliyopita. Tiyari United States Secretary of Defense Lloyd Austin ameshatimiza ahadi yake aliyoitoa kwa Israeli kwa kupeleka silaha. Hamas’s Gaza commander Deif keshawasihi nchi za kiarabu Arabs kuungana kumpiga Israeli, wakati waajemi wao wamewapongeza na wametangaza kuwa watawasapoti wapalestina.

Wakati hayo yakitukia, leo hii taarifa kutoka BBC inasema tiyari bei ya mafuta katika sokola dunia imeshaongezeka kwa asilimia 4. (oil prices surge 4% following Israel Plestine conflict).

Je wachumi, wizara ya nishati, na serikali ya wamu ya sita kwa ujumla wamejipangaje katika hili ili yasije kutokea yaliyotokea awamu ya kwanza tena?
Inaandaa kitita Cha ruzuku.

Kumbe wakongwe mnajua Kuna shida ziliwahi tokea but ikitokea Kwa Sasa awamu ya 6 ni Rais mzembe au siyo? 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa upande mwingine,

Kwa level ya sayansi na teknolojia ilivyo ongezeka, ilitakiwa dunia kwa sasa tuwe tumesha ondokana na utegemezi kwenye mafuta kama tulivyo ondokana na makaa ya mawe..! Ni aibu sana kama miaka 50 iliyopita tatizo kama hili lilijitokeza na leo hii lije lijirudie tena 50 years later, ina maana dunia bado iko palepale tunategemea aina ile ile ya fuel tangu 1970s! Ni wakati sasa tuwaachie waarabu mafuta yao na mavita yao sisi tusonge mbele na mambo mengine.
Sio rahisi kuachana na nishada hiyo. Kuna kitabu kimoja nilisoma(nimekisahau jina), mwandishi anasema inaweza hata kuchukua miaka 100 zaidi ndipo tuweze kuachana kabisa na nishati hii.

Hivyo bado tunayo sana.
 
Sio rahisi kuachana na nishada hiyo. Kuna kitabu kimoja nilisoma(nimekisahau jina), mwandishi anasema inaweza hata kuchukua miaka 100 zaidi ndipo tuweze kuachana kabisa na nishati hii.

Hivyo bado tunayo sana.
Ni rahisi kuachana nayo kama watu wakidhamiria, hasa nchi zilizoendelea. We sema tatizo mafuta yanawanufaisha wengi ndio maana watu bado wanayang'ang'ania. Teknolojia imekua sana watu waingie chimbo watafute source nyingine hata artificial za energy bana.
 
Bei ya mafuta ilianza kupanda kabla ya Palestina kuishambulia Israel hivi karibuni, na mafuta yataendelea kupanda. Siioni serikali ikifanya chochote - bali tutaendelea kuumia tu.
 
Ni rahisi kuachana nayo kama watu wakidhamiria, hasa nchi zilizoendelea. We sema tatizo mafuta yanawanufaisha wengi ndio maana watu bado wanayang'ang'ania. Teknolojia imekua sana watu waingie chimbo watafute source nyingine hata artificial za energy bana.
Sio rahisi.

Nishati mbadala ukiachilia nyuklia, kwa sasa bado nyingi hazina uwezo w kuendesha mitambo mikubwa. Na ndio maana nakwabia itachukua muda . Bado sana tutaendelea kutegemea mafuta.
 
Sio rahisi kuachana na nishada hiyo. Kuna kitabu kimoja nilisoma(nimekisahau jina), mwandishi anasema inaweza hata kuchukua miaka 100 zaidi ndipo tuweze kuachana kabisa na nishati hii.

Hivyo bado tunayo sana.
Utasikia ni tatizo la dunia nzima sisi hatuchimbi mafuta, kama walivyosema dollar sio pesa yetu na hatuzalishi dollar
 
Back
Top Bottom