mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,086
- 4,206
Fedha za serikali za kaunti zipo, tatizo lipo pale seneti maseneta wameshindwa kukubaliana ni mfumo upi utatumika kuzigawia kaunti fedha kwahivyo kuchelewesha mgao huo..ata hivyo serikali za kaunti zimekua zikijitosheleza kwa makusanyo ya ndani ndo maana hujaskia madaktari wote nchini wanatishia kugoma. Nairobi haina madaktari 300 pekeeSerikali za kaunti zinawalips hela kwa pesa toka wapi?