Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,656
Wamenunua bank Congo.
Daktari wa maradhi ya kupumua afariki kutokana na Covid-19Acha masihara wewe, madaktari wanadunda kitaani na bado wazima tu..
Unaleta link za nini, nikikuletea za bongo utazikubali..
Wajinga ninyi, kwa hiyo kwasababu Corona inalikumba Jimbo la California Trump hausiki kulaumiwa?, hayo mambo yenu ya utawala ni ndani ya nchi yenu, nje ya nchi hayana maana yoyote anayejulikana ni Uhuru na serikali yake.Hajielewi huyo
Life is not fairPesa za Corona kuna wahuni watazipigaa hasaa...!! Hayo mabilioni yatatafunwaaa vilivyooo.. Ndo maana watu wanaacha kazi za maana kama Udaktari wanakuwa Wanasiasa sio mafalaa... Dr wanapambana na corona face to face wanasiasa kazi yao kutumbua mishahara ya wanaofanya kazi
Uhuru wa habari Kenya upo juuUnaleta link za nini, nikikuletea za bongo utazikubali..
Watu wanachapa kazi acheni kupumbazwa
Carlifonia mi sijui inajiendeshaje, kwhyo usiniletee upuuzi wa vitu ambavyo hta havinihusu maishani..Wajinga ninyi, kwa hiyo kwasababu Corona inalikumba Jimbo la California Trump hausiki kulaumiwa?, hayo mambo yenu ya utawala ni ndani ya nchi yenu, nje ya nchi hayana maana yoyote anayejulikana ni Uhuru na serikali yake.
Si ndio manake unaona hayo mambo yoteUhuru wa habari Kenya upo juu
Sisi tunajua Kenya tu, ushuzi wa Nairobi, Turkana au Kibera huo hautuhusu, yote hiyo ni Kenya chini ya Uhuruto na Jubilee, yaani (Failed state)Carlifonia mi sijui inajiendeshaje, kwhyo usiniletee upuuzi wa vitu ambavyo hta havinihusu maishani..
Tumalizane kwnza na nairobi, lkn usionee haya kubadilisha mada
Tuone au tusione haizuii madaktari na wakenya kufa kwa wingi, muhimu ni kuzuia vifo na maambukizi, sio kuacha kushughulika na kupunguza vifo na maambukizi badala yake mkaweka umuhimu katika kutanga vifo na maambukizi na mkajisifia ktk hilo, mkiendelea na ujinga huu kamwe hamtoweza kutoka katika kundi la "Failed states"Si ndio manake unaona hayo mambo yote
Kwn unafikiria ingelikua hakuna ungeliona kitu kweli..yangekua yale yale ukifia shauri yako
Tanzania ni middle income country, matatizo ya kulipana mishahara tushayasahu tangu utawala wa Ben Mkapa ulipoingia madarakaniIngekuwa Tanzania citizen TV ingefungiwa Kwa uchochezi na uhujumu uchumi
Tatizo pachiko lako haliendani na ulichokiandila..Sisi tunajua Kenya tu, ushuzi wa Nairobi, Turkana au Kibera huo hautuhusu, yote hiyo ni Kenya chini ya Uhuruto na Jubilee, yaani (Failed state)
Miaka kumi unafanya kazi huongezewi hata buku kw payslip..Tanzania ni middle income country, matatizo ya kulipana mishahara tushayasahu tangu utawala wa Ben Mkapa ulipoingia madarakani
Wajinga ninyi, kwa hiyo kwasababu Corona inalikumba Jimbo la California Trump hausiki kulaumiwa?, hayo mambo yenu ya utawala ni ndani ya nchi yenu, nje ya nchi hayana maana yoyote anayejulikana ni Uhuru na serikali yake.
😂😂😂😂😂 Na usisahau mafao ya wazee waliostaafu bado kulipwa miaka 3 Sasa na pia Wakulima wa Koroshow 😉Tanzania ni middle income country, matatizo ya kulipana mishahara tushayasahu tangu utawala wa Ben Mkapa ulipoingia madarakani
MY TAKE: Corona inatusaidia kujua uhalisia wa nchi ya Kenya, yaani Failed state
Tunaongolea Kunyaland na wewe ni nyang'ao??😂😂😂😂😂 Na usisahau mafao ya wazee waliostaafu bado kulipwa miaka 3 Sasa na pia Wakulima wa Koroshow 😉
Wachumi mnisaidie: Fedha iliyookolewa kwa kutoongeza mishahara , vyeo na marupurupu watumishi kwa miaka 5 inaweza kulipia miradi mikubwa mingapi?
Serikali za kaunti zinawalips hela kwa pesa toka wapi?mibongolala hata haifahamu madaktari wanalipwa na serikali za kaunti si serikali ya kitafa kawaida kwao ni umbea tu bila kujifahamisha kwanza