Sera za Kitaifa za uwekezaji zimepitwa na wakati

OlaryMoleli

New Member
Nov 8, 2023
2
0
Kwa kutazama kwangu SERA za uwekezaji zimepitwa na wakati kwa sababu uhai wake hauonekani katika jamii ya Watanzania HASA wazawa.

Aidha wananchi hawana uelewa wowote kuhusu Mambo ya uwekezaji kwani haziko CLEAR kwa wananchi ama haziendani na uhalisia wa TAIFA
 
Back
Top Bottom