Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,762
- 40,977
Masatu don't be so sure...
Masatu don't be so sure...
Please do not make me puke!! Si kwa sababu ya imani za watu ila kwa kitendo cha serikali kuwa ndumilakuwili!!!!
Does anyone remember the Ukraine students when they were stranded and were asking for help and the government disowned them??? The act of the government stepping in to lease a plane for stranded pilgrims is contradictory. Why did the government disown Tanzania students stranded in Ukraine and then feels obligated to pilgrims??? These pilgrims made their own arrangements as did the Tanzanian students why not disown them too?? Is it because of the fact that they share the same faith as our leader?? Not wanting to sound atheist which am actually not, but I feel the gains that the Tanzanian students would have gotten from the support would be measurable than those that the pilgrims have gotten that are merely individual and vary depending on the depth of affinity of each pilgrim to their God. Faith is a personal property but education can be owned by a wider population.
Sijasoma maelezo mengi ya waliotangulia I hope sijawatoa katika mtirirko wa mjadala au nimekuwa redundant ila I just read a piece kuhusiana na ndege kukodishwa kwa ajili ya hao mahujaji. The government makes me sick!! I hope the Kenya saga opens up their eyes!
Nyie msiharibu taratibu za NCHI kwa kumkoma NYANI..taratibu za nchi ziachwe..HUu WIZI wa barua ni sawa na wizi mwingine...watu kama nyinyi MCHONGA alikuwa anawapoteza kabisa ktk Jamii..ila JK naona yupo COOL na watoaji wa siri za IKULU...
Usituchefue na habari za Mwizi Mkapa na NET GROUP je??; NA TTCL??
Hii issue ni simple!Lakini kila siku utaona Serikali na hata Lowasa anashindwa kulala kisa kuna Mahujaji .Je ni kazi ya Serikali kuwahudumia watu wa aina hii ?