SIRE
Senior Member
- Feb 20, 2022
- 127
- 212
Hilo ndilo litakuwa suluhisho la pekee. Watusi na wahutu wawe makabila ya Tanzania na ifanyike assimilation kwa hao watu ijapokuwa inaweza kuchukua kipindi kirefu. Tofauti na hapo mizozo haitokaa iishe.Rwanda inabidi iwe mkoa wa Tanzania