Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakaniTunawangoja viongozi wetu wa CHADEMA watuambie kuwa ule uzushi wa kusema Lowasa fisadi waliutoa wapi......
Na ule ushahidi waliosema kuwa wanao juu ya ufisadi wa Lowasa umeyeyukia wapi.....??
Au waitishe mkutano wa waandishi wa habari wakiri kuwa walimsingizia mzee wa watu....na wamuombe msamaha kwa kumchafulia jina lake.......
Well said mkuu.Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakani
Mungu anakuona ujue! Haya lakini. Nyie sio wa kulaumiwa coz hamjui mlitendalo. Zidumu fikra za familia ya Mtei!
Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakani
Blah blah blahmmeishiwa hoja nyie.....jaribuni tena wakati mwingine,na ule utawala wa makosa mliokuwa mnautegemea sasa mtatafuta kwa tochi hayo makosa,mlitafuta udhaifu wa lowassa mkaupata mkafanya mwimbo wa taifa na mkapata kiki kweli kwa ngoma yenu ile,leo mnatuambia aliye na ushahidi ampeleke mahakamani.yani kusema mseme nyie,nyie ndo mliotutangazia kuwa huyu jamaa yupo hivi leo hii nyie ndo mtuambie tena tupeleke ushahidi sisi mashabiki??
shame on you,bora natumiwa kama kondom atleast napunguza kuzaliwa vizazi vibovu vya kisiasa kama vya chadema.......vizazi vya kinafiki na uongo,
Elimu, Elimu, Elimu....
Wewe umeulizwa mbona ufisadi wa Lowassa hauonekani kwenye ripoti za CAG? unajibu pumba
Lowassa alishawaambia kama mna ushahidi mpelekeni mahakamani otherwise mpige kimya badala ya kuendelea kuandika upumbavu humu.
Mamlaka mnayo,kila kitu mnacho mnashindwaje kumfunga mwizi?
Naona ni wakati sasa wa kuacha kuongea maneno yasiyo na proof
duuuu umekoment kwa kupaniki utazani unaushahidi wa ufisadi wakeLowasa ashughulikiwe kama mafisadi wengine. Asiogopwe
To be honest asingeeleweka kabisa.Sina shaka na maelezo yote hayo. Lakini swali langu ni je, Lowassa angebaki CCM na kueleza aliyoeleza, mngemuelewa?!
Wakina Kinanana na NapeKwani waliosema Lowasa fisadi ni kina nani?
nilimsikiliza Mh lowassa kwenye kamati kuu baada ya kuletwa na Dr Slaa , hakika nimeamini huyu mzee hahusiki na Richmond , ushahidi wa wazi ni kwamba baada ya yeye kutoka , ile Richmond bado inaishi , inafadhili viwanja vya michezo ( gerezani - kariakoo ) kwa jina la symbion na bado inatamba pale ubungo .Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malumbano ya kisiasa huku jina la Lowassa likitumika kama mtu fisadi na aliyehujumu sana uchumi wa nchi hii.
Kauli hizi zimetumika sana sio kwa wapiga debe na mavuvuzela tuu bali hata viongozi wa vyama na serikali. Lakini wakati Lowassa akiomba kujiunga na CHADEMA alijieleza kuhusu kashfa zake anazopewa ikiwemo ya Richmond na mwisho alijitoa muhanga kwa kusema yuko radhi kwa yeyote au taasisi yeyote yenye ushahidi impeleke mahakamani. Huo ni ushujaa.
Sasa tuwaombe na wengine ambao kwa bahati mbaya wanalindwa na sheria yakinga kwa vile wanatajwa kwa makosa ya jinai wajitokeze nao watake kuwa kama kuna ushahidi kinga zao ziondolewe na washtakiwe ili kusafisha majina yao. Maana kama hakuna wa kukushtaki basi wewe ni safi na hayo maneno ni majungu na fitina tuu kama ilivyojidhihirisha kwa Lowassa kuwa ni maneno tuu ya kisiasa kwani DP, PCCB, Time ya maadili hata CAG hawajawahi kumgusa.
Tuwaombe JK, Ben, hata aliyepo wajitokeze kwa nia njema waombe kinga ziwekwe kando kama ilivyo nchi nyingi tuondoe haya maneno maneno
Umeona ee?! inashangaza sana watu wazima wanashindwa ku reason just because wamelishwa maneno, hovyo kabisa.And apart from hiyo Richmond ambayo they always make noise about everyday lakini hawana ushahidi wa kumpeleka kokote mpaka imekua wimbo sasa, is there any allegations zinazo muhusu EL ukiachana na hiyo Richmond...???!!!!!Mbona kuna watu kila siku wanatajwa kwenye kila Sakata la Ufisadi na Rushwa lakini all you keep hearing is LOWASSA LOWASSA kila kukicha....What has this man done to THEM??!!!Guys we need to change way of thinking kama vijana wa kizazi kipya tuendane na DUNIA ya leo tusibaki nyuma for the better of us all.It's time they should think of more productive things than sticking to one same STORY everyday...Let us all try and be REAL to ourselves Ukweli unajulikana ila tunajifanya Vipofu tu!
KUsema tu haisaidii kwani Nyerere yeye ni malaik? au unafikiri nyota ya Lowasa Nyerer hakuiona? Nyerere alikuwa hataki mtu awe juu yake kiuongozi ndio maana alikuwa anazima ndoto za wengi wanao chipukia, if Nyerere said must be ok? Be serious!Unajua sababu za kutimuliwa kwake na Mwl Nyerere, asigombee urais mwaka 1995? Je unajua alitimuliwa kazi ya uwaziri wa ardhi enzi za Mwinyi?
Umdogo sana kwenye siasa
Na hiyo kubalaswa uwaziri wa ardhi?KUsema tu haisaidii kwani Nyerere yeye ni malaik? au unafikiri nyota ya Lowasa Nyerer hakuiona? Nyerere alikuwa hataki mtu awe juu yake kiuongozi ndio maana alikuwa anazima ndoto za wengi wanao chipukia, if Nyerere said must be ok? Be serious!
Kwa sababu na Nyerere ni binadamu lazima anafanya kosa, kumtoa baraza la ardhi bila kusema kosa alilofanya huko ni muendelezo wa utumiaji mbovu wa madaraka kuongea bila fact, kwa sababu kasema nyerere au mwakyembe ndio iwe sawa? Nyerere mwenyewe alisha kiri alifanya mengi ya kipuuzi na hilo likiwa moja wapo.Na hiyo kubalaswa uwaziri wa ardhi?
Mbona nyie mnamtetea tu Luwassa kwa mdomo kisha mwataka tuwakubalie?
Hapo umenena bossiTunawangoja viongozi wetu wa CHADEMA watuambie kuwa ule uzushi wa kusema Lowasa fisadi waliutoa wapi......
Na ule ushahidi waliosema kuwa wanao juu ya ufisadi wa Lowasa umeyeyukia wapi.....??
Au waitishe mkutano wa waandishi wa habari wakiri kuwa walimsingizia mzee wa watu....na wamuombe msamaha kwa kumchafulia jina lake.......
Alikuwa Mwinyi aliyembalasa, na sababu zilikuwa ufisadi huu huu unaozungumzwa leoKwa sababu na Nyerere ni binadamu lazima anafanya kosa, kumtoa baraza la ardhi bila kusema kosa alilofanya huko ni muendelezo wa utumiaji mbovu wa madaraka kuongea bila fact, kwa sababu kasema nyerere au mwakyembe ndio iwe sawa? Nyerere mwenyewe alisha kiri alifanya mengi ya kipuuzi na hilo likiwa moja wapo.
Ebu ficha huo unafiki wako weweNa hiyo kubalaswa uwaziri wa ardhi?
Mbona nyie mnamtetea tu Luwassa kwa mdomo kisha mwataka tuwakubalie?
ImekuingiaEbu ficha huo unafiki wako wewe