Ripoti zote za CAG, siuoni ufisadi wa Lowassa

Tunawangoja viongozi wetu wa CHADEMA watuambie kuwa ule uzushi wa kusema Lowasa fisadi waliutoa wapi......

Na ule ushahidi waliosema kuwa wanao juu ya ufisadi wa Lowasa umeyeyukia wapi.....??

Au waitishe mkutano wa waandishi wa habari wakiri kuwa walimsingizia mzee wa watu....na wamuombe msamaha kwa kumchafulia jina lake.......
Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakani
 
Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakani
Well said mkuu.
Mkuu umegundua ndani ya ccm kuna watu wengi sana wenye IQ ndogo sana. Ndio maana mpaka leo magu hana anachofanya zaidi ya kutumbua majipu yao. Manake kimelea watu wasiofikiri kwa miaka 50. Mpaka leo magu anatumbu majipu ya CCM. Sijaona ya upinzani.

CCM ilishakua cancer. Akili zao bado ni za ukijani kijani tu.

Kuna maswali ya msingi kama haya hawajiulizi kabisa.
 
Mungu anakuona ujue! Haya lakini. Nyie sio wa kulaumiwa coz hamjui mlitendalo. Zidumu fikra za familia ya Mtei!

Lumumba mnashangaza sana mkiona chama kinapata ufuasi na kuwa tishio kwenu lazima mtafute sababu kama za Ukanda, Ukabila, Udini, Uasili nk . Kwa sababu tu mnajua watoto wengi mmewakomeshea shule za misingi na zaidi sana shule za kata hawawezi kuchanganua juu ya propaganda zenu(poor Tz)
Kwaiyo unataka kuniambia hukumu ya lowassa ni kwasababu ya uzushi wa chadema mbona leo ccm nao wanaimba lowassa mwizi tena ndo wale waliokataa kipindi kile sasa kwakua wao ndo wenye serikali tunaomba waende mahakani mana walisema kesi ya jinai hua aiishi mda wowote inarudi mahakani

Hawawezi kuthubutu Lowassa aliwaambia live ktk hamashauri kuwa m/kiti nini usichokijua mpaka wamuache huyo mtoto (nape) azunguke nchi nzima akimtukana. M/kiti kimyaaaaaa sana wathubutu wachokonoe mambo msoga
 
mmeishiwa hoja nyie.....jaribuni tena wakati mwingine,na ule utawala wa makosa mliokuwa mnautegemea sasa mtatafuta kwa tochi hayo makosa,mlitafuta udhaifu wa lowassa mkaupata mkafanya mwimbo wa taifa na mkapata kiki kweli kwa ngoma yenu ile,leo mnatuambia aliye na ushahidi ampeleke mahakamani.yani kusema mseme nyie,nyie ndo mliotutangazia kuwa huyu jamaa yupo hivi leo hii nyie ndo mtuambie tena tupeleke ushahidi sisi mashabiki??
shame on you,bora natumiwa kama kondom atleast napunguza kuzaliwa vizazi vibovu vya kisiasa kama vya chadema.......vizazi vya kinafiki na uongo,
Blah blah blah .
 
Elimu, Elimu, Elimu....
Wewe umeulizwa mbona ufisadi wa Lowassa hauonekani kwenye ripoti za CAG? unajibu pumba
Lowassa alishawaambia kama mna ushahidi mpelekeni mahakamani otherwise mpige kimya badala ya kuendelea kuandika upumbavu humu.
Mamlaka mnayo,kila kitu mnacho mnashindwaje kumfunga mwizi?
Naona ni wakati sasa wa kuacha kuongea maneno yasiyo na proof

Niliyemjibu kanielewa so sina haja ya kuendelea kulumbana na mamwela.

Kama hujaelewa potezea.
 
Wanaodai wapelekwe mahakamani hawapelekwi na wanaopelekwa kwa utakatishaji wanabadilishiwa mashitaka. Ngoja mahakama ya mafisadi ianze. Haiwezekani mdeni wetu tumuache anatamba barabarani na huku tunadai alituibia.
 
Sina shaka na maelezo yote hayo. Lakini swali langu ni je, Lowassa angebaki CCM na kueleza aliyoeleza, mngemuelewa?!
To be honest asingeeleweka kabisa.

Mazingira yanaonyesha hivyo.

Pia, kwa mtazamo wangu Mpaka EL akawa na guts ya kujitoa CCM. Ni wazi alijipanga vizuri kwa lolote lile. i.e. Hakukurupuka..

Kwani hata wana ccm vilevile hawakutaka aondoke chamani.

Na ukichukulia mazoea kua ukihama ccm unaadhirika kama mrema nk.

Ile Hotuba yake ya kuhama CCM, ma kuja chadema, iliandaliwa kwa ufundi sana
 
Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na malumbano ya kisiasa huku jina la Lowassa likitumika kama mtu fisadi na aliyehujumu sana uchumi wa nchi hii.
Kauli hizi zimetumika sana sio kwa wapiga debe na mavuvuzela tuu bali hata viongozi wa vyama na serikali. Lakini wakati Lowassa akiomba kujiunga na CHADEMA alijieleza kuhusu kashfa zake anazopewa ikiwemo ya Richmond na mwisho alijitoa muhanga kwa kusema yuko radhi kwa yeyote au taasisi yeyote yenye ushahidi impeleke mahakamani. Huo ni ushujaa.

Sasa tuwaombe na wengine ambao kwa bahati mbaya wanalindwa na sheria yakinga kwa vile wanatajwa kwa makosa ya jinai wajitokeze nao watake kuwa kama kuna ushahidi kinga zao ziondolewe na washtakiwe ili kusafisha majina yao. Maana kama hakuna wa kukushtaki basi wewe ni safi na hayo maneno ni majungu na fitina tuu kama ilivyojidhihirisha kwa Lowassa kuwa ni maneno tuu ya kisiasa kwani DP, PCCB, Time ya maadili hata CAG hawajawahi kumgusa.
Tuwaombe JK, Ben, hata aliyepo wajitokeze kwa nia njema waombe kinga ziwekwe kando kama ilivyo nchi nyingi tuondoe haya maneno maneno
nilimsikiliza Mh lowassa kwenye kamati kuu baada ya kuletwa na Dr Slaa , hakika nimeamini huyu mzee hahusiki na Richmond , ushahidi wa wazi ni kwamba baada ya yeye kutoka , ile Richmond bado inaishi , inafadhili viwanja vya michezo ( gerezani - kariakoo ) kwa jina la symbion na bado inatamba pale ubungo .
 
And apart from hiyo Richmond ambayo they always make noise about everyday lakini hawana ushahidi wa kumpeleka kokote mpaka imekua wimbo sasa, is there any allegations zinazo muhusu EL ukiachana na hiyo Richmond...???!!!!!Mbona kuna watu kila siku wanatajwa kwenye kila Sakata la Ufisadi na Rushwa lakini all you keep hearing is LOWASSA LOWASSA kila kukicha....What has this man done to THEM??!!!Guys we need to change way of thinking kama vijana wa kizazi kipya tuendane na DUNIA ya leo tusibaki nyuma for the better of us all.It's time they should think of more productive things than sticking to one same STORY everyday...Let us all try and be REAL to ourselves Ukweli unajulikana ila tunajifanya Vipofu tu!
Umeona ee?! inashangaza sana watu wazima wanashindwa ku reason just because wamelishwa maneno, hovyo kabisa.
 
Unajua sababu za kutimuliwa kwake na Mwl Nyerere, asigombee urais mwaka 1995? Je unajua alitimuliwa kazi ya uwaziri wa ardhi enzi za Mwinyi?

Umdogo sana kwenye siasa
KUsema tu haisaidii kwani Nyerere yeye ni malaik? au unafikiri nyota ya Lowasa Nyerer hakuiona? Nyerere alikuwa hataki mtu awe juu yake kiuongozi ndio maana alikuwa anazima ndoto za wengi wanao chipukia, if Nyerere said must be ok? Be serious!
 
KUsema tu haisaidii kwani Nyerere yeye ni malaik? au unafikiri nyota ya Lowasa Nyerer hakuiona? Nyerere alikuwa hataki mtu awe juu yake kiuongozi ndio maana alikuwa anazima ndoto za wengi wanao chipukia, if Nyerere said must be ok? Be serious!
Na hiyo kubalaswa uwaziri wa ardhi?

Mbona nyie mnamtetea tu Luwassa kwa mdomo kisha mwataka tuwakubalie?
 
Na hiyo kubalaswa uwaziri wa ardhi?

Mbona nyie mnamtetea tu Luwassa kwa mdomo kisha mwataka tuwakubalie?
Kwa sababu na Nyerere ni binadamu lazima anafanya kosa, kumtoa baraza la ardhi bila kusema kosa alilofanya huko ni muendelezo wa utumiaji mbovu wa madaraka kuongea bila fact, kwa sababu kasema nyerere au mwakyembe ndio iwe sawa? Nyerere mwenyewe alisha kiri alifanya mengi ya kipuuzi na hilo likiwa moja wapo.
 
Tunawangoja viongozi wetu wa CHADEMA watuambie kuwa ule uzushi wa kusema Lowasa fisadi waliutoa wapi......

Na ule ushahidi waliosema kuwa wanao juu ya ufisadi wa Lowasa umeyeyukia wapi.....??

Au waitishe mkutano wa waandishi wa habari wakiri kuwa walimsingizia mzee wa watu....na wamuombe msamaha kwa kumchafulia jina lake.......
Hapo umenena bossi
 
Kwa sababu na Nyerere ni binadamu lazima anafanya kosa, kumtoa baraza la ardhi bila kusema kosa alilofanya huko ni muendelezo wa utumiaji mbovu wa madaraka kuongea bila fact, kwa sababu kasema nyerere au mwakyembe ndio iwe sawa? Nyerere mwenyewe alisha kiri alifanya mengi ya kipuuzi na hilo likiwa moja wapo.
Alikuwa Mwinyi aliyembalasa, na sababu zilikuwa ufisadi huu huu unaozungumzwa leo
 
Back
Top Bottom