Rare footage: Foreign Minister Kambona speaks of The Nation's future

Nimependa na kufurahi kukuta uzi huu, imenisukuma ni mgoogle kumsoma tena sio vile vya shuleni enzi hizo.

Kaka endelea kutushushia mengine na ya wengine.
 
Nimependa na kufurahi kukuta uzi huu, imenisukuma ni mgoogle kumsoma tena sio vile vya shuleni enzi hizo.

Kaka endelea kutushushia mengine na ya wengine.
Historia kama hizi...za video...zinafundisha vizuri zaidi kuliko za maandishi tu.

Kwenye video unamwona mtu jinsi alivyo...unaiona lugha yake ya mwili...unaisikia sauti yake, na kadhalika.

Nasikitika tu enzi hizo hatukuwa na stesheni za televisheni kuweza kurekodi haya matukio ya kihistoria kwa ajili ya vizazi vijavyo.
 
Historia kama hizi...za video...zinafundisha vizuri zaidi kuliko za maandishi tu.

Kwenye video unamwona mtu jinsi alivyo...unaiona lugha yake ya mwili...unaisikia sauti yake, na kadhalika.

Nasikitika tu enzi hizo hatukuwa na stesheni za televisheni kuweza kurekodi hata matukio ya kihistoria kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Kweli kabisa, umenena.
 
Nahisi kama vile Nyerere hakupenda kuwa outshined/ upstaged....
Nyerere aliona jamaa watatamani kiti katika muda mfupi. Hao jamaa nao walikuwa na vision tofauti kuhusu nchi

Zaidi, kuzimwa kwa maasi inaonekana ni jitihada zao jambo lililowajengea 'kibri'

Akina Kambona walikuwa na 'exposure', haikuwa rahisi kuwa loyal kama akina Kawawa
 
Historia kama hizi...za video...zinafundisha vizuri zaidi kuliko za maandishi tu.

Kwenye video unamwona mtu jinsi alivyo...unaiona lugha yake ya mwili...unaisikia sauti yake, na kadhalika.

Nasikitika tu enzi hizo hatukuwa na stesheni za televisheni kuweza kurekodi hata matukio ya kihistoria kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Composed, reflects intelligence, smarter than the boss; now I understand why Kawawa came onto!!

This guy looked intelligent; and intellectual

But without seeing this video today I couldn't erase my bias against that propagation out of my minds of that stigma out of CCM & Tanu.
 
Nyerere aliona jamaa watatamani kiti katika muda mfupi. Hao jamaa nao walikuwa na vision tofauti kuhusu nchi

Zaidi, kuzimwa kwa maasi inaonekana ni jitihada zao jambo lililowajengea 'kibri'

Akina Kambona walikuwa na 'exposure', haikuwa rahisi kuwa loyal kama akina Kawawa
Unajua huwa najiuliza sana ni kivipi Nyerere ange-fare kwenye hizi siasa za vyama vingi na anuai na uhuru wa vyombo vya habari kama ilivyo hivi sasa...

Manake baada ya yeye kupiga marufuku demokrasia, karibu kila kitu kilikuwa state-controlled...hence mambo ya 'zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM' na BS nyingine kama hizo.

Je, leo hii Nyerere angekuwa yuko revered kama ilivyo sasa hivi au?

We will never know......
 
Unajua huwa najiuliza sana ni kivipi Nyerere ange-fare kwenye hizi siasa za vyama vingi na anuai na uhuru wa vyombo vya habari kama ilivyo hivi sasa...

Manake baada ya yeye kupiga marufuku demokrasia, karibu kila kitu kilikuwa state-controlled...hence mambo ya 'zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM' na BS nyingine kama hizo.

Je, leo hii Nyerere angekuwa yuko revered kama ilivyo sasa hivi au?

We will never know......
Kuwa 'revered' si kwasababu ya ku dominate media
Watu wanafanya reference kwa mambo aliyofanya na aliyoyaona na ku admire

Leo wanazungumzia viwanda, yeye aliona hilo miaka 50 iliyopita
Alikuwa na vision kubwa akiwa ni orator na communication nzuri sana

Katika mfumo wa sasa jamaa ange survive na kushangaza wengi.
Influence yake inaonekana katika siasa za dunia, asingeshindwa ushindani wa ndani

Alikuwa na ushawishi mkubwa sana.Hata baada ya vyama vingi na uhuru wa habari, walimshambulia sana mwanzoni mwishowe wakagundua alikuwa ''sahihi'' kila kona

Kwa kiasi fulani, Taifa la makabila 120 na dini tofauti kukiwa na machifu , watemi n.k. kuliunganisha ilihitaji nguvu ya ziada.

Na kumbuka ilikuwa baada ya uhuru na ulimbukeni ulikuwepo sana. Pengine tungeishia kama Nigeria ambayo baada ya mapinduzi mengine wamegundua haikuwa sahihi

Nigeria walianza na vyama vingi nyakati za akina Nandi Azikiwe, Tawafala Balewa, Ironsi n.k. Mwisho wakaingia akina Gowon, Murtala, Obasanjo orodha inaendelea
Wame achieve nini kama Taifa mwanachama wa OPEC? ngumu kusema

Nigeria imebaki kugawanyika kwa misingi ya ukanda na ukabila.

Ghana wanaangalia nyuma na kukiri kosa la kumuondoa Nkrumah kwa vision aliyokuwa nayo
 
Nyerere hakuwapenda wasomi, NA kambona was the biggest threat he had.
kambona alipinga sera ya ujamaa na kujitegemea,akapewa wizara itakayoshughulikia hilo,akaona udwanzi,akatorokea kenya akitumia land rover ya mwingereza
 
Oscar Kambona akihojiwa baada ya uasi wa jeshi wa mwaka 1964.....



Ama kweli waswahili hawakukosea waliposema: "Jambo usilo lijua ni kama usiku wa kiza"!! Kwa mawazo hasi niliyojazwa kwenye masomo ya siasa & historia kuhusu "Kambona", hakika sikutegemea kuwa alikuwa na "personality, vision, boldness, command of language etc" kiasi hiki! Asante mkuu kwa hii "rare footage"!!!
 
Back
Top Bottom