My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
 
Hayo mapato yamekusanywa na TPA au ni gawio kutoka kwa mwekezaji DP World? Kama ni kutoka kwa mwekezaji DP World, kwa nini ameipongeza TPA? Kama ni makusanyo ya TPA, kwa nini aseme ni matokeo ya kuuza bandari?
 
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Kea hiyo a me kiri kwamba Bandar I kauza.
 
My Take
Mlisema Samia ameuza Bandari Kuna bango lenu hili hapa, ni spana tuu Kwa kwenda mbele.

Tafuteni hoja nyingine 👇👇


======


“TPA (Mamlaka ya Bandari Tanzania) mwaka jana (2023) nina hakika kiwango chenu hakikuwa hiki, lakini kwa mageuzi yaliyotokea bandarini mmeweza kufikia kiwango hiki na mwakani tunatarajia kiwango kikubwa zaidi pengine mara mbili yake ya hiki mlicholeta leo, hakuna sababu kama mtaendesha bandari na sekta iliyopo pale na pale kuna watu wawili ambao tumeshawaruhusu.

Mmeomba maombi zaidi lakini hata wale wawili mwakani mnaweza kuleta mara mbili ya hiki kiwango na huko ndiko tulikuwa tunaelekea ndugu zangu . Wale waliopiga kelele mama kauza bahari sijui mama kauza bandari mama kauza nini mama kauza..mauzo yale faida yake ni hii hapa leo, na huu ni mwanzo tutatarajia kutapata faida kubwa zaidi kwa bandari zetu zote kubwa ambazo zipo ndani ya nchi”- Dkt. Samia.
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Mh wetu mkuu, Mama yetu amesema hayo maneno. Sijataka hata kufungua hii clip, nimesoma tu andiko ili nisiendelee kusikitika na kuhuzunika.

Hivi unahitaji PhD kutohusisha gawio hili na kuboresheka,kuongezeka kwa efficiency na kuongezeka kwa faida (profits) kwa institution hizi za Serikali. Sitaongelea suala la gawio la mashirika ya umma .e.g TTCL miaka ya mwendazake , kesho yake tukaambiwa wanatemblea makuti karibu na mfilisi kwa deni kubwa la mabillioni, mara zaidi ya tano ya gawio; maana yake hata gawio walilolitoa wametoa kama sehemu ya deni ili kushow-off their contribution (nyie watu wa uhasibu mnajua sijui walitoa kwenye debt account nafikiri inatakiwa gawio litoke kwenye credit)

Sasa mama yetu Watanzania wameamka, sio watu wa zamani, na watanzania wengi sio watu wa Pwani,tunapoingiza Uswahili na vijembe kwenye mambo makubwa of national interest ndipo tunashindwa kuelewa aina ya kiongozi tuliyenaye.

Juzijuzi tu tumeona andiko la kupanda mara zaidi ya 340% kwa kodi bandarini na halikuwahi kupingwa na chombo chochote serikalini kwa hiyo ni kweli soon tunakiona cha moto. Kumbuka ongezeko hili lukuki ni kodi ambayo inakwenda kumuumiza mwananchi wa kawaida moja kwa moja.

Sasa leo tukiona hizi divident (gawio kubwa kubwa ) ni ukweli husiopingika hii ni sanaa, sasa basi snaa hii ingepakwa angalau mafuta, ni sanaa inachezwa kavukavu bila aibu. Jamani nchi yangu Tanzania tunaelekea wapi Jamani? Hivi hakuna wataalamu wa propaganda na high level community hypnotizers ndani ya chama wa kuwashauri nini cha kufanya, nini cha kutofanya au kifanyike vipi? Hii ni kututia aibu Watanzania kutuchukulia woooooote ni mazezeta.
 
Kwani DP World wameanza kazi lini? Je tangu waanze kazi ndo wamechangia hilo ongezeko? Maigizo kama kawaida yetu #BongoM*vi
 
Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Mh wetu mkuu, Mama yetu amesema hayo maneno. Sijataka hata kufungua hii clip, nimesoma tu andiko ili nisiendelee kusikitika na kuhuzunika.

Hivi unahitaji PhD kutohusisha gawio hili na kuboresheka,kuongezeka kwa efficiency na kuongezeka kwa faida (profits) kwa institution hizi za Serikali. Sitaongelea suala la gawio la mashirika ya umma .e.g TTCL miaka ya mwendazake , kesho yake tukaambiwa wanatemblea makuti karibu na mfilisi kwa deni kubwa la mabillioni, mara zaidi ya tano ya gawio; maana yake hata gawio walilolitoa wametoa kama sehemu ya deni ili kushow-off their contribution (nyie watu wa uhasibu mnajua sijui walitoa kwenye debt account nafikiri inatakiwa gawio litoke kwenye credit)

Sasa mama yetu Watanzania wameamka, sio watu wa zamani, na watanzania wengi sio watu wa Pwani,tunapoingiza Uswahili na vijembe kwenye mambo makubwa of national interest ndipo tunashindwa kuelewa aina ya kiongozi tuliyenaye.

Juzijuzi tu tumeona andiko la kupanda mara zaidi ya 340% kwa kodi bandarini na halikuwahi kupingwa na chombo chochote serikalini kwa hiyo ni kweli soon tunakiona cha moto. Kumbuka ongezeko hili lukuki ni kodi ambayo inakwenda kumuumiza mwananchi wa kawaida moja kwa moja.

Sasa leo tukiona hizi divident (gawio kubwa kubwa ) ni ukweli husiopingika hii ni sanaa, sasa basi snaa hii ingepakwa angalau mafuta, ni sanaa inachezwa kavukavu bila aibu. Jamani nchi yangu Tanzania tunaelekea wapi Jamani? Hivi hakuna wataalamu wa propaganda na high level community hypnotizers ndani ya chama wa kuwashauri nini cha kufanya, nini cha kutofanya au kifanyike vipi? Hii ni kututia aibu Watanzania kutuchukulia woooooote ni mazezeta.
Waulize vyura wa Chadema kama amesema au hajasema 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C8EyloDMEyk/?igsh=MXFlY3ltMnA0dm85eQ==
 
Back
Top Bottom