Rais Samia kuwa kama Hayati Magufuli, achana na maridhiano na wasiotaka, watakupotezea muda

Nadhani tunahitaji kujadili siasa za nchi yetu kwa uhalisia zaidi kuliko kwa kujipa moyo au kwa wishful thinking

Uhalisia upo hivi, Rais Samia Suluhu ndio Rais ambaye amejaribu kuwa fair zaidi kwa Chadema kuliko Rais yeyote, na sidhani kama atatokea Rais mwingine akawa fair kwao kama Samia.

Chadema kwa miaka zaidi ya 5 walikuwa treated kama 'kikundi cha waasi ama wahalifu, na haki zao nyingi kuporwa na hakuna walichoweza kufanya zaidi ya kukimbia nchi na kuomba msaada kwa wazungu.

Walimtishia sana Rais Magufuli kwa maandamano na migomo, Magufuli akawatilia ngumu mwanzo mpaka mwisho, walipoona huyu mtu hatishiki wakaona waombe kukutana naye, hata hivyo Magufuli akawapuuza na kuwaweka ndani, na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu wote mnajua kilichofanyika.

Chadema pamoja na vitisho vyote hawakuweza kufanya kitu zaidi ya kukimbilia nje ya nchi, Rais Samia alipoingia kitu cha kwanza kufanya ni waliomba wakutane naye, Rais Samia kwa ubinadamu wake akawakubalia kwa sababu ni watanzania wenzetu, waliokimbilia nje akawaruhusu warudi nyumbani na kuwahakikishia usalama.

Pia akawaruhusu kufanya mikutano waliyokuwa wamezuiwa kuifanya kwa miaka mitano, sasa katika CCM, kama vyama vingi duniani, kuna makundi mawili, kuna kundi la hardliners na kundi lingine la moderates

Hili kundi la moderates, ni lile kundi linaloamini kuwa CCM ni chama ambacho kinafaa kukosolewa na vyama vya upinzani, na vyama vya upinzani vinatakiwa kupewa nafasi ya kuikosoa CCM na kupewa nafasi katika uwanja wa kisiasa

Hili kundi la Hardliners ni lile kundi linaloamini CCM ni chama kinachotakiwa kutumia nguvu zozote kukandamiza upinzani, na upinzani hawapaswi kupewa upenyo kabisa wa kuitikisa CCM.

Hili kundi ndio kubwa ndani ya CCM na ndio lililokuwa linashika hatamu katika awamu ya 5

Samia alipokutana na Wapinzani na hata kuwapa nafasi ya kufanya mikutano, alikutana na upinzani mwingi kutoka katika kundi hili, lakini kwa kuwa anaamini wapinzani wana mchango pia katika siasa za nchi hii, alienda against nao na kuwapa upinzani haki nyingi ambazo walikuwa hawana kabla ya Samia kuingia.

Sasa wanachokifanya Chadema, kutumia lugha ambazo ni very provocative kwenye mikutano yao, kususia vikao vyenye kujenga utaifa, nao wanakua ni hardliners, au misimamo mikali, na wanawa prove right au kuwa 'vindicate' lile kundi la hardliners ndani ya CCM ambalo lilikuwa linamtahadharisha Samia kuwa asiwape upenyo wapinzani maana atakuja kujutia.

Sasa kitakachoweza kutokea ni either Samia ataendelea kuwa mvumilivu au atawasikiliza hardliners wa CCM

Akiwasikiliza hardiliners ni kuwa tunarudi kwenye Magufulism 2.0

Je, Chadema wataweza kukabiliana na wahafidhina wa CCM?
Magufuli aliweza kufanya vile kwa sababu Wananchi walimwelewa kwa jinsi alivyokuwa akiwashughulikia hata wenzie ndani ya Ccm na ndani ya Serikali !!

Hata sasa akija hardliner mwingine akafanya vile vile mpaka watu wakubwa wakanywea hakik Wananchi watamwelewa sana !!

Je mnataka muanze kutumbuliwa hata mikutanoni ??!!
Naona labda majipu yameshaiva 😅😅😅🙏🙏🙏🔥
 
Magufuli aliweza kufanya vile kwa sababu Wananchi walimwelewa kwa jinsi alivyokuwa akiwashughulikia hata wenzie ndani ya Ccm na ndani ya Serikali !!

Hata sasa akija hardliner mwingine akafanya vile vile mpaka watu wakubwa wakanywea hakik Wananchi watamwelewa sana !!

Je mnataka muanze kutumbuliwa hata mikutanoni ??!!
Naona labda majipu yameshaiva


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani tunahitaji kujadili siasa za nchi yetu kwa uhalisia zaidi kuliko kwa kujipa moyo au kwa wishful thinking

Uhalisia upo hivi, Rais Samia Suluhu ndio Rais ambaye amejaribu kuwa fair zaidi kwa Chadema kuliko Rais yeyote, na sidhani kama atatokea Rais mwingine akawa fair kwao kama Samia.

Chadema kwa miaka zaidi ya 5 walikuwa treated kama 'kikundi cha waasi ama wahalifu, na haki zao nyingi kuporwa na hakuna walichoweza kufanya zaidi ya kukimbia nchi na kuomba msaada kwa wazungu.

Walimtishia sana Rais Magufuli kwa maandamano na migomo, Magufuli akawatilia ngumu mwanzo mpaka mwisho, walipoona huyu mtu hatishiki wakaona waombe kukutana naye, hata hivyo Magufuli akawapuuza na kuwaweka ndani, na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu wote mnajua kilichofanyika.

Chadema pamoja na vitisho vyote hawakuweza kufanya kitu zaidi ya kukimbilia nje ya nchi, Rais Samia alipoingia kitu cha kwanza kufanya ni waliomba wakutane naye, Rais Samia kwa ubinadamu wake akawakubalia kwa sababu ni watanzania wenzetu, waliokimbilia nje akawaruhusu warudi nyumbani na kuwahakikishia usalama.

Pia akawaruhusu kufanya mikutano waliyokuwa wamezuiwa kuifanya kwa miaka mitano, sasa katika CCM, kama vyama vingi duniani, kuna makundi mawili, kuna kundi la hardliners na kundi lingine la moderates

Hili kundi la moderates, ni lile kundi linaloamini kuwa CCM ni chama ambacho kinafaa kukosolewa na vyama vya upinzani, na vyama vya upinzani vinatakiwa kupewa nafasi ya kuikosoa CCM na kupewa nafasi katika uwanja wa kisiasa

Hili kundi la Hardliners ni lile kundi linaloamini CCM ni chama kinachotakiwa kutumia nguvu zozote kukandamiza upinzani, na upinzani hawapaswi kupewa upenyo kabisa wa kuitikisa CCM.

Hili kundi ndio kubwa ndani ya CCM na ndio lililokuwa linashika hatamu katika awamu ya 5

Samia alipokutana na Wapinzani na hata kuwapa nafasi ya kufanya mikutano, alikutana na upinzani mwingi kutoka katika kundi hili, lakini kwa kuwa anaamini wapinzani wana mchango pia katika siasa za nchi hii, alienda against nao na kuwapa upinzani haki nyingi ambazo walikuwa hawana kabla ya Samia kuingia.

Sasa wanachokifanya Chadema, kutumia lugha ambazo ni very provocative kwenye mikutano yao, kususia vikao vyenye kujenga utaifa, nao wanakua ni hardliners, au misimamo mikali, na wanawa prove right au kuwa 'vindicate' lile kundi la hardliners ndani ya CCM ambalo lilikuwa linamtahadharisha Samia kuwa asiwape upenyo wapinzani maana atakuja kujutia.

Sasa kitakachoweza kutokea ni either Samia ataendelea kuwa mvumilivu au atawasikiliza hardliners wa CCM

Akiwasikiliza hardiliners ni kuwa tunarudi kwenye Magufulism 2.0

Je, Chadema wataweza kukabiliana na wahafidhina wa CCM?
Wapinzani na watz sio wakuwaonea huruma kabisa
 
Acha bigotry masta kiraka....hata nafsi yako inahitaji ifurahie chakula cha mapenzi na utu na yasiyo ya ubaguzi wowote ule

Back to the table.....

Mh.Tundu Lissu yuko mapumzikoni Ulaya na Marekani....amepokea mäbilioni kutoka Singida ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukweli ni lazima usemwe ukipenda vya dezo dezo vina masharti yake mkuu
 
Hamna cha mazingira, Tanzania ilikuwa inaendelea vizuri tu bila hivi vyama uchwara
Tanzania haijawahi kuendelea vizuri, sema CCM mmefaidika na uoga na ujinga wa watanzania wengi, hivyo kunapotokea mabadiliko mnapata shida maana hamko tayari kuendana na mabadiliko. Hata huyo Magufuli unayemsimfia, humsifii kwa ubora wa uongozi bali kwa kiburi cha madaraka. Mtu mjinga tu ndio huona kiburi cha madaraka ndio uongozi.

Iko hivi, sio Magufuli, sio mama Samia au kiongozi yeyote wa CCM atakayeweza kuwaburuza tena watu, maana hiki ni kizazi kingine. Ufahamu kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo mabavu yenu lazima yafikie mwisho. Nikushauri tu, muda wa CCM kuendelea kukaa madarakani kwa ridhaa ya umma ulishapita, na haya magumu unayoona inakutana nayo ni kwa sababu ya mabadiliko hayo ya kizazi, huku yenyewe ikiwa haikubaliani na ukweli huo.

CDM sio chama cha kuendelea kuwa chini kwa ghiliba za CCM, hiyo mbinu ya kujifanya mnawasikiliza kisha hakuna utekelezaji wowote, hiyo ni kupotezeana muda. Mnaruhusiwa kumshurutisha mama Samia kutawala kama alivyotawala dhalimu Magufuli, lakini mabadiliko ya kuitoa CCM hayataisha hadi itoke madarakani kwa heri au kwa shari.
 
emoji15.png
emoji15.png

Kwa nini mkuu wangu ?!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Samia muungwana,lkn cha ajabu wanamtukana,mdogo wangu aliporwa mamilion na jiwe kwenye burea de change,samia Kaja kawarudishia

Kwa nini mkuu wangu ?!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndio tunataka dikteta mwingine kama Magufuli wa kufutilia mbali hizi takataka zinazotukana hovyo, hapo ndio Samia kaniangusha basi
Si dictator kama Magufuli, mngempata hata iddi Amini kabisa, kizazi cha CCM kilishapita. Msilazimishe kutawala watu kwa wizi wa kura wakati hakuna anayewataka. Na haya matamanio yenu ya kutaka kuendelea kutawala nchi hii kwa shuruti yatafikia mwisho.

Nenda huko Mbarali kuna kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge, kwakuwa CDM haishiriki uchaguzi umepoa ile mbaya, hiyo ni ishara kuwa CCM mko madarakani kwa wizi wa kura, lakini walio wengi hawawataki.
 
Tanzania ni nchi huru, hakuna cha beberu wala nani atakayetutishia kwenye maamuzi yetu...Kama mikutano imejaa matusi na uchochezi inafungiwa tu, tunachapa kazi... Hatutaki kuwa kama DRC nyingine
DRC haiwez letwa na upinzani wala hakuna mpinzani wa kuleta machafuko hakuna, bali mienendo ya watawala na dhiki za watanzania while kuna rasilimali za kila aina ndio itayofanya wananchi wachoke!! NB: Hamna ubav wa kupingana na MABEBERU mshakubal kua ombaomba imagine hata budget ya serikali mnategemea msaada wa MABEBERU! Ukishakubali kuolewa hakika nakwambia huez lala na chupi!!
 
Nadhani tunahitaji kujadili siasa za nchi yetu kwa uhalisia zaidi kuliko kwa kujipa moyo au kwa wishful thinking

Uhalisia upo hivi, Rais Samia Suluhu ndio Rais ambaye amejaribu kuwa fair zaidi kwa Chadema kuliko Rais yeyote, na sidhani kama atatokea Rais mwingine akawa fair kwao kama Samia.

Chadema kwa miaka zaidi ya 5 walikuwa treated kama 'kikundi cha waasi ama wahalifu, na haki zao nyingi kuporwa na hakuna walichoweza kufanya zaidi ya kukimbia nchi na kuomba msaada kwa wazungu.

Walimtishia sana Rais Magufuli kwa maandamano na migomo, Magufuli akawatilia ngumu mwanzo mpaka mwisho, walipoona huyu mtu hatishiki wakaona waombe kukutana naye, hata hivyo Magufuli akawapuuza na kuwaweka ndani, na kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na Uchaguzi mkuu wote mnajua kilichofanyika.

Chadema pamoja na vitisho vyote hawakuweza kufanya kitu zaidi ya kukimbilia nje ya nchi, Rais Samia alipoingia kitu cha kwanza kufanya ni waliomba wakutane naye, Rais Samia kwa ubinadamu wake akawakubalia kwa sababu ni watanzania wenzetu, waliokimbilia nje akawaruhusu warudi nyumbani na kuwahakikishia usalama.

Pia akawaruhusu kufanya mikutano waliyokuwa wamezuiwa kuifanya kwa miaka mitano, sasa katika CCM, kama vyama vingi duniani, kuna makundi mawili, kuna kundi la hardliners na kundi lingine la moderates

Hili kundi la moderates, ni lile kundi linaloamini kuwa CCM ni chama ambacho kinafaa kukosolewa na vyama vya upinzani, na vyama vya upinzani vinatakiwa kupewa nafasi ya kuikosoa CCM na kupewa nafasi katika uwanja wa kisiasa

Hili kundi la Hardliners ni lile kundi linaloamini CCM ni chama kinachotakiwa kutumia nguvu zozote kukandamiza upinzani, na upinzani hawapaswi kupewa upenyo kabisa wa kuitikisa CCM.

Hili kundi ndio kubwa ndani ya CCM na ndio lililokuwa linashika hatamu katika awamu ya 5

Samia alipokutana na Wapinzani na hata kuwapa nafasi ya kufanya mikutano, alikutana na upinzani mwingi kutoka katika kundi hili, lakini kwa kuwa anaamini wapinzani wana mchango pia katika siasa za nchi hii, alienda against nao na kuwapa upinzani haki nyingi ambazo walikuwa hawana kabla ya Samia kuingia.

Sasa wanachokifanya Chadema, kutumia lugha ambazo ni very provocative kwenye mikutano yao, kususia vikao vyenye kujenga utaifa, nao wanakua ni hardliners, au misimamo mikali, na wanawa prove right au kuwa 'vindicate' lile kundi la hardliners ndani ya CCM ambalo lilikuwa linamtahadharisha Samia kuwa asiwape upenyo wapinzani maana atakuja kujutia.

Sasa kitakachoweza kutokea ni either Samia ataendelea kuwa mvumilivu au atawasikiliza hardliners wa CCM

Akiwasikiliza hardiliners ni kuwa tunarudi kwenye Magufulism 2.0

Je, Chadema wataweza kukabiliana na wahafidhina wa CCM?
Kufanya hivyo awe tayari kuishia hivyo hivyo na Makamu wake kushika nafasi, maana mwenyezi Mungu ataamua kesi atakapoendelea kuikanyagia chini Katiba.
 
Mleta mada kumbuka hii nchi sio ya ccm wala mama yake na CCM BALI ni ya watanzania wote!
Msijilimikishe nchi nyie viumbe!
 
Hamna cha mazingira, Tanzania ilikuwa inaendelea vizuri tu bila hivi vyama uchwara

Sasa si katiba ingewekwa chama kimoja tu. Hakuna chama uchwara kama katiba inavitambua na ruzuku wanapewa.
Hautaki katiba itambue cha kimoja vingine vifutwe
 
Magufuli aliwashugulikia mafisadi wote bila kuangalia sura zao. Suala la Bandari pekee limemuweka mbali sana na mtangulizi wake. Uzuri wananchi ni waelewa na wanajua ni wapi watafanya maamuzi.
 
Wengine tulijua honeymoon ikiisha,maigizo yote yataisha pia!

Kila awamu huanza kwa mbwembwe za kutaka kujitofautisha na mtangulizi ila ni wale hardcores tu akina JPM ndiyo hudumu kwenye huo utofauti.

Angalia hata Ruto tu alivyoanza na alivyo sasa baada ya kujua strength ya Raila.
 
Umeme wa uhakika umeshinda.

Huduma ya maji ya uhakika imemshinda.

Wezi waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ameshindwa kuwafunga.

Magufuli huko alipo ana yale mabunduki na jamming devices zilizokuwa zinamzunguka na je zilimsaidia vipi asiondoke?

Ndio leo mnamdanganya apambane na wanaomkosoa?
 
Tanzania haijawahi kuendelea vizuri, sema CCM mmefaidika na uoga na ujinga wa watanzania wengi, hivyo kunapotokea mabadiliko mnapata shida maana hamko tayari kuendana na mabadiliko. Hata huyo Magufuli unayemsimfia, humsifii kwa ubora wa uongozi bali kwa kiburi cha madaraka. Mtu mjinga tu ndio huona kiburi cha madaraka ndio uongozi.

Iko hivi, sio Magufuli, sio mama Samia au kiongozi yeyote wa CCM atakayeweza kuwaburuza tena watu, maana hiki ni kizazi kingine. Ufahamu kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo mabavu yenu lazima yafikie mwisho. Nikushauri tu, muda wa CCM kuendelea kukaa madarakani kwa ridhaa ya umma ulishapita, na haya magumu unayoona inakutana nayo ni kwa sababu ya mabadiliko hayo ya kizazi, huku yenyewe ikiwa haikubaliani na ukweli huo.

CDM sio chama cha kuendelea kuwa chini kwa ghiliba za CCM, hiyo mbinu ya kujifanya mnawasikiliza kisha hakuna utekelezaji wowote, hiyo ni kupotezeana muda. Mnaruhusiwa kumshurutisha mama Samia kutawala kama alivyotawala dhalimu Magufuli, lakini mabadiliko ya kuitoa CCM hayataisha hadi itoke madarakani kwa heri au kwa shari.
Nyie matapeli kama mlishindwa kuitoa CCM pamoja na kumchukua yule fisadi 2015, hamtakaa muitoe tena, maana watanzania ndio waliona sura zenu halisi
 
Back
Top Bottom