Yes mnatoa tu. Wala si tatizo atafurahiHivi sisi madalali na mawinga na sisi tunaruhusiwa kutoa tunzo??
Nadhani hawakukumbushwa hili pia lilikuwa wazo zuri sanaHivi trace hawajatambua tu mchango wake wa sanaa?
Champion of Comedy. Ni Bingwa wa Comedy. Period. Haina maana nyingine.Nyie ni wafanyabiashara, nishawahi kuwa winga baadae dalali wa simu na magari, ni mfanyabiashara.
Alafu kumjibu mtoa mada. Hiyo tuzo iliitwa Champion of comedy unaweza usijue kwa kiswahili, kwa muktadha wake tunamuita mlezi au mwanaharakati wa ucheshu. Amechampion amewezesha tuzo hizo kuwepo. Ila si ulivyosema umeamua kuwa sarcast.
Mimi namuunga mkono RAIS Samia kwa Moyo wangu wote na kwa upendo woote. Nipo tayari kuwa Ngao ya Rais Samia katika Mapambano ya Aina yoyote ile.Lucas Mwashambwa ndiye mwenyekiti wa Chawa wa Mama
bingwa wa comedy unakua umepatia saaaana, kuliko ulivyosema kwenye thread, muktadha uliokuwepo, unakua umepatia, vizuri sana kuelewa., haina maana nyingine. PeriodChampion of Comedy. Ni Bingwa wa Comedy. Period. Haina maana nyingine.
So tumekubaliana rais ni Bingwa wa Comedy.bingwa wa comedy unakua umepatia saaaana, kuliko ulivyosema kwenye thread, muktadha uliokuwepo, unakua umepatia, vizuri sana kuelewa., haina maana nyingine. Period
Ndio alipokea tuzo ya ubingwa kwenye comedy.So tumekubaliana rais ni Bingwa wa Comedy.
Wewe hata ukisikia tyre ya gari ikipasuka unajiharishia mavi debe , wewe ni chawa tu unayeishi kwa matumaini ya kuteuliwa siku moja.Mimi namuunga mkono RAIS Samia kwa Moyo wangu wote na kwa upendo woote. Nipo tayari kuwa Ngao ya Rais Samia katika Mapambano ya Aina yoyote ile.
safi kwa hiyo ni mbora katika wafanya comedy TZNdio alipokea tuzo ya ubingwa kwenye comedy.
Unafosi kuelewa sasa,wakati ulishaelewa unachofosi sicho. Ulikua sahihi kwa neno lako lakulisema mwenyewe😂😂😂. Rejea nyuma kidogo😂😂safi kwa hiyo ni mbora katika wafanya comedy TZ
Samia ni bingwa wa comedyUnafosi kuelewa sasa,wakati ulishaelewa unachofosi sicho. Ulikua sahihi kwa neno lako lakulisema mwenyewe😂😂😂. Rejea nyuma kidogo😂😂