Rais Magufuli, msimamishe Makonda kazi kwa maslahi ya umma!

Siku zote mwenye hatia hutumia nguvu nyingi sana kuonekana msafi hasa pale anapokuwa na mamlaka. Kiongozi mwenye weledi na aliyeenda shule akaelimika hawezi kufanya mambo anayofanya MAKONDA, hapa anazidi kuudhihirishia umma kuwa elimu yake ina walakini. Hivi KUWEKA VYETI hadharani na kuondoa utata bila tabu kama alivyofanya Sonko kule Kenya na kutumia VYOMBO VYA DOLA kushinikiza vyombo vha habari kupigana vita yake binafsi ni kipi kina gharama nafuu? BASHITE ULIFOJI VYETI, wajibika umlinde Boss wako akupe sehemu nyingine tu ya kula huo urais aliupata kwa mbinde mno ukimchafua akaupoteza utakula wapi na elimu HUNA?
 
Informer salute nigga you're so legend in this platform.
PM is going to crucified in Dodoma due this vulture
 
Kapanda bodaboda bila helmet
Dereva hajaanza kuendesha!anasubiri wenzake wamletee hizo helmets
======
Hii ya kuvamia kituo cha radio/tv kama kuna ushahidi usiotiliwa mashaka ashughulikiwe kwa utaratibu tulionao siku hizi.
 
The curse is real jamaa kila anchofanya koba backfire imediately.. Taarfa zake zinavuja kila kona inadhihirisha wengi wamemchoka
 
 
Huyu twinky entertainment value yake must be worth a billion $$$ right now. When he's not pumping iron at Colosseum Gym with with the likes of TID he's busy starring in his own tragicomedy.
 
Wamuache akae kae kidogo tuzidi kuwamwagia matope
 
Najiuliza hivi huyu kirikuu huwa hajiulizi ikiwa uongozi una kikomo kwa mujibu wa katiba Ya Jimu huru? (mf, makamba, Dito, nk(

Huwa hajiulizi uongozi wa kuteuliwa huwa hauna muda maalamu wa kudumu madarakani na wakati wwt huweza kufikia Kikomo (mf mama malecela(

Mahakama na Wanasheria imeanza vizuri kwa kuonesha kujisimamia
Nasubiri nione bunge? Na Kama bunge nalo litakuja na muonekano wa kujisimamia na kutosimamiwa naona Anguko baya la konda

Onyo kwako konda, baba Hana sauti nyumba hizi Mbili za Jiran
1.bunge
2.mahakama
Sasa siku ukikatiza mitaa ile usiniite jina kwa kupaza sauti maana wakati huo nitakuwa nazarau mingi sana
 
Huyu twinky entertainment value yake must be worth a billion $$$ right now. When he's not pumping iron at Colosseum Gym with with the likes of TID he's busy starring in his own tragicomedy.
Mkuu,kiingereza kigumu hiki pale magogoni wataelewa?

Wanaweza kujin'gata ulimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…