Rais Magufuli, msimamishe Makonda kazi kwa maslahi ya umma!

Siku zote mwenye hatia hutumia nguvu nyingi sana kuonekana msafi hasa pale anapokuwa na mamlaka. Kiongozi mwenye weledi na aliyeenda shule akaelimika hawezi kufanya mambo anayofanya MAKONDA, hapa anazidi kuudhihirishia umma kuwa elimu yake ina walakini. Hivi KUWEKA VYETI hadharani na kuondoa utata bila tabu kama alivyofanya Sonko kule Kenya na kutumia VYOMBO VYA DOLA kushinikiza vyombo vha habari kupigana vita yake binafsi ni kipi kina gharama nafuu? BASHITE ULIFOJI VYETI, wajibika umlinde Boss wako akupe sehemu nyingine tu ya kula huo urais aliupata kwa mbinde mno ukimchafua akaupoteza utakula wapi na elimu HUNA?
 
Informer salute nigga you're so legend in this platform.
PM is going to crucified in Dodoma due this vulture
 
Kapanda bodaboda bila helmet
Dereva hajaanza kuendesha!anasubiri wenzake wamletee hizo helmets
======
Hii ya kuvamia kituo cha radio/tv kama kuna ushahidi usiotiliwa mashaka ashughulikiwe kwa utaratibu tulionao siku hizi.
 
The curse is real jamaa kila anchofanya koba backfire imediately.. Taarfa zake zinavuja kila kona inadhihirisha wengi wamemchoka
 
Ninaamini Mhe. Kitwanga hakuondolewa kwenye uwaziri kwa sababu ya ile "ulevi bungeni" hata kama alikunywa kweli! Ikumbukwe siku zile kashfa ya LUGUMI ilikuwa kwenye "burning hell", hivyo ni mtazamo wangu kuwa, ili kunusuru wengi, ilibidi Mhe. Kitwanga aondolewe kwa njia mbadala! "ulevi"!

Likewise, kashfa ya kughushi vyeti inayomkabili Makonda, endapo ikichukuliwa" seriously " ni wazi inaenda na wengi! Rais akimtumbua Makonda kwa kosa la vyeti bandia inabidi serikali yote ya mkoa wa Dar (hasa subordinates wa RC) ifumuliwe upya (ifahamike ma DC huapishwa na RC).

Hivyo, ili kuiepusha aibu hiyo dhidi ya MTEUZI na WANA USALAMA waliofanya "vetting" ya uteuzi, ni wazi sasa, aidha ni mbinu ya KITENGO au MTEUZI kumfanya MAKONDA afanye makosa mapya au kituko chochote ili aondolewe nayo, nje ya makosa ya vyeti!

Mfano:
1. kusafiri hovyo nje ya nchi,
2. kufanya jubilei ya gharama kutimiza mwaka kazini,
3. Kuvamia kituo cha redio usiku akiwa na "MAKUMANDOO" yenye silaha

Hayo ni baadhi ya matukio yanayolenga kumuondoa huyo jamaa bila kuhusisha kosa la vyeti bandia!

NB: nitamsifu Rais endapo Makonda atawajibishwa kwa suala la vyeti na si kosa lingine kwanza!

Nimewasilisha.

By the way, Wenye mapovu, leo weekend, mkafulie nguo zenu!
tapatalk_1489740281952.jpeg
 
Huyu twinky entertainment value yake must be worth a billion $$$ right now. When he's not pumping iron at Colosseum Gym with with the likes of TID he's busy starring in his own tragicomedy.
 
Me natamani amuache ache kwanza tuzidi kushuhudia mengi.

Utawala huu una vitu vingi vinavyofanywa sawa au zaidi ya utawala uliopita halafu wanajidai wamechaguliwa na Mungu.

Me nachoona ni magenge mawili ya kuuza madawa ya kulenya yapo kwenye vita ila lenye nguvu lipo karibu zaidi na serikali na daraja lao ni bashite
Wamuache akae kae kidogo tuzidi kuwamwagia matope
 
Najiuliza hivi huyu kirikuu huwa hajiulizi ikiwa uongozi una kikomo kwa mujibu wa katiba Ya Jimu huru? (mf, makamba, Dito, nk(

Huwa hajiulizi uongozi wa kuteuliwa huwa hauna muda maalamu wa kudumu madarakani na wakati wwt huweza kufikia Kikomo (mf mama malecela(

Mahakama na Wanasheria imeanza vizuri kwa kuonesha kujisimamia
Nasubiri nione bunge? Na Kama bunge nalo litakuja na muonekano wa kujisimamia na kutosimamiwa naona Anguko baya la konda

Onyo kwako konda, baba Hana sauti nyumba hizi Mbili za Jiran
1.bunge
2.mahakama
Sasa siku ukikatiza mitaa ile usiniite jina kwa kupaza sauti maana wakati huo nitakuwa nazarau mingi sana
 
Huyu twinky entertainment value yake must be worth a billion $$$ right now. When he's not pumping iron at Colosseum Gym with with the likes of TID he's busy starring in his own tragicomedy.
Mkuu,kiingereza kigumu hiki pale magogoni wataelewa?

Wanaweza kujin'gata ulimi
 
Back
Top Bottom