Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Nyumba(NHC), Blandina Nyoni na bodi yake yote

Mimi kama mtumishi wa umma pamoja na kushiriki ile survey ya uhitaji wa Nyumba kwa watumishi sijaona faida ya NHC kwa mtumishi wa kawaida wa UMMA.

Viwanja vinapimwa na priority haiendi kwa watumishi wa UMMA badala yake wanaishia kukopeshwa kwa riba za kutupa na mabenki wakati shirika linalotumia kodi yao haliwasaidii.

Shirika lilikuwa linahudumia mafisadi badala ya wanyonge...Hongera Rais Magufuli kwa kufumua huu uozo.
 
bongo kila mtu mwizi.. nashauri tuwaajiri wazungu tu waongoze hayo mashirika kama enzi za net group solution tanesco.. japo nao wataiba ila hawatawazidi watanzania kwa wizi na maendeleo yataonekana..
 
na ukimchunguza sana siyo yeye tu pia

kuna watu wazito ambao walimpofua macho

anawekwa ndani au akimbie nchi
 
Hawa viongozi wa board za mashirika ya UMMA ama ni majinga au njaa zinawasumbua.

Ni ngumu sana kumsimamia mtu ambaye madaraka husika kapewa na Rais.
 
Mimi kama mtumishi wa umma pamoja na kushiriki ile survey ya uhitaji wa Nyumba kwa watumishi sijaona faida ya NHC kwa mtumishi wa kawaida wa UMMA.

Viwanja vinapimwa na priority haiendi kwa watumishi wa UMMA badala yake wanaishia kukopeshwa kwa riba za kutupa na mabenki wakati shirika linalotumia kodi yao haliwasaidii.

Shirika lilikuwa linahudumia mafisadi badala ya wanyonge...Hongera Rais Magufuli kwa kufumua huu uozo.
Kwani NHC ni kwa ajili ya watumishi wa umma? Mchechu na wenzie kama kuna madudu walifanya wapate stahiki yao kwa mujibu wa sheria ila sio sahihi kunyamazia post za kupotosha kama hii ya kwako.
 
Hawana jeuri ya kumfunga hayo mambo siyomepesi kama wanavyoweza kurahisisha maana hata wao ni wachafu zaidi ya huyo mchechu na washirika wake lkn pia ziko issue nyingi mno ambazo tumeona wanashia juu juu hata hii nayo itaishia juu juu tu, ila kwa kua WADANGANYIKA ndo hivyo kudanganywa kila cku na kushangilia then hakuna chochote kinafanyika
 
Uwezo wake na ufanisi wake hauna mashaka!Ila hapo kama alitumia kiti chake kujinufaisha amwekwendaaa!
In fact ile dhana ya "kushushwa ili kuishi kama mashetani" ilitokana na huyu bwana; ilimlenga yeye kimsingi. Mtu unalipwa 35+ na marupurupu na stahiki nyingine kedekede lakini bado binadamu hutosheki; wizi wizi wizi. Inakera sana.
 
Mimi kama mtumishi wa umma pamoja na kushiriki ile survey ya uhitaji wa Nyumba kwa watumishi sijaona faida ya NHC kwa mtumishi wa kawaida wa UMMA.

Viwanja vinapimwa na priority haiendi kwa watumishi wa UMMA badala yake wanaishia kukopeshwa kwa riba za kutupa na mabenki wakati shirika linalotumia kodi yao haliwasaidii.

Shirika lilikuwa linahudumia mafisadi badala ya wanyonge...Hongera Rais Magufuli kwa kufumua huu uozo.
Ndo Uadilifu tuliovuna chini ya Uongozi wa ccm, Rejea na mengine Kama ESCROW, MEREMETA, RICHMONG, EPA, IPTL, TTCL

Usiwasahau wale walioutuingiza kwenye mikataba mibovu ya madini..

Haya matatizo mliyetengeza wenyewe na mnayatatua wenyewe kwa gharama za Watanzania
 
Unaweza kuta kosa pekee la Nehemiah ni kushindwa kupeleka miradi kwenye maeneo mapya strategic.
 
Hawa viongozi wa board za mashirika ya UMMA ama ni majinga au njaa zinawasumbua.

Ni ngumu sana kumsimamia mtu ambaye madaraka husika kapewa na Rais.
Tunarudi pale pale square one! Mfumo, mfumo, mfumo.
 
Ndo Uadilifu tuliovuna chini ya Uongozi wa ccm, Rejea na mengine Kama ESCROW, MEREMETA, RICHMONG, EPA, IPTL, TTCL

Usiwasahau wale walioutuingiza kwenye mikataba mibovu ya madini..
Ya, huyu Nehemiah alikuwa ni mfano wa uongozi makini wa kibiashara ktk serikali ya ccm ya awamu ya nne.
Haya matatizo mliyetengeza wenyewe na mnayatatua wenyewe kwa gharama za Watanzania
 
bongo kila mtu mwizi.. nashauri tuwaajiri wazungu tu waongoze hayo mashirika kama enzi za net group solution tanesco.. japo nao wataiba ila hawatawazidi watanzania kwa wizi na maendeleo yataonekana..
Jitu lolote likishakuwa na ule mkadi wa nyundo na jembe ni alama kwamba ni jizi Mkuu wala huhitaji ushahidi mwingine.
 
Back
Top Bottom