Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,919
Mtu Amesha Jiwekeza Vya Kutosha Hata Akiondoka Hapungukiwi Na Kitu
Nikweli hizo siyo loophole Bali nimpango maususi uliosukwa ndani ya sheria na katiba na hao mafisadi kwa muda mrefu hivyo sheria na katiba inawalinda mafisadi ukizitumia utowaweza utasikia fisadi waziri aliye kwapua mabilioni kaukumiwa adhabu ya kuvusha Watoto barabarani au kufadia hospitali kwa mwezi mmojaKweli kabisa nakubaliana na wewe mkuu.
Sometime ukifuata sheria kuna vitu vingine haviendi kabisa. Na wengi wanafanya ufisadi maana wanajua loophole kwenye sheria zetu. Tupo pamoja mkuu.
Aisee kweli huyu maza kiboko. Hakuna ufisadi kakosekana ilikua ukichimba sana unakutana nae kwenye kila dili, Kapiga Sana. JPM kachelewa kumtumbuaUkiona mfanyakazi wa serikali anatembelea gari plate number ni jina lake hapo kuna walakini sana. Kama sijakosea huyu mama ni mmojawao.
Nawasiwasi mkulu hawa watu huwa anawateua kutoka mfukoni na sio vetting kama tunavyoamainishwa.Leo ndiyo kakumbuka kuwa huyo mama ni fisadi tangu miaka mingi
Kabisa mkuu.Nikweli hizo siyo loophole Bali nimpango maususi uliosukwa ndani ya sheria na katiba na hao mafisadi kwa muda mrefu hivyo sheria na katiba inawalinda mafisadi ukizitumia utowaweza utasikia fisadi waziri aliye kwapua mabilioni kaukumiwa adhabu ya kuvusha Watoto barabarani au kufadia hospitali kwa mwezi mmoja
Nakumbuka enzi za JK kulikuwa na club fulani ya wanawake ma-VIP akiwemo akina Mama Salma, Zakhia, Blandina, na wengineo wa aina hiyo; siikumbuki listi nzima ila ndio hivyo walikuwa na ka himaya fulani; distinguished females. Watu walipiga sana chini ya mwamvuli wa chama.Aisee kweli huyu maza kiboko. Hakuna ufisadi kakosekana ilikua ukichimba sana unakutana nae kwenye kila dili, Kapiga Sana. JPM kachelewa kumtumbua
Kikulacho ki ngoni mwako na Mwisho wa Ubaya ni Aibu kubwaTetesi ambazo hazijathibitishwa: Blandina Nyoni ndiye aliye choma utambi na mazingira ya Mkurugenzi wa NHC kusimamishwa.
Baada ya uchunguzi huyu mama akaonekana ana madudu mazito zaidi.
Cha kusikitisha, Nehemia na Blandina wanasali pamoja Mbezi Beah.
Pesa za maisha bora kwa kila Mtanzania ilipigwa na hao wahenga kipindi cha JK huyo mama kaanza kushiba siku nyingi.Nakumbuka enzi za JK kulikuwa na club fulani ya wanawake ma-VIP akiwemo akina Mama Salma, Zakhia, Blandina, na wengineo wa aina hiyo; siikumbuki listi nzima ila ndio hivyo walikuwa na ka himaya fulani; distinguished females. Watu walipiga sana chini ya mwamvuli wa chama.
Bora waoane tujue moja kuwa wapiga Dili ni mke na mmeHuyu mama kama Chenge yupo kwenye kila ubadhirifu
Tusubiri Mwenyekiti mpya wa Bodi kutoka Chakitoo!View attachment 721030
Kupitia taarifa ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, ndugu Msigwa, Rais Magufuli kuanzia leo March 21 ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Shirika la Nyumba Bi. Blandina Nyoni.
Hii imetokea asubuhi hii hata kabla mama wa watu hajakunywa chai.
=====
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing Corporation - NHC) Bi. Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi, 2018.
Pia Mhe. Rais Magufuli ameivunja Bodi ya NHC kuanzia leo.
Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam
21 Machi, 2018
--------
Bi. Nyoni aliteuliwa kuiongoza Bodi hiyo Februari 25, 2017 baada ya Zakia Meghji kumaliza muda wake.
View attachment 721021
Mijadala yenye kuwa na mambo fikirishi kuhusu Bi. Blandina Nyoni:
Blandina Nyoni; You are tired, you deserve to be fired!
Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!
Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini
Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki
Katibu mkuu wa Wizara ya Afya lawamani (Blandina Nyoni)
Basi hamia Mogadishu,Kila siku uteuzi na utenguzi cha maana hakuna
Katiba inamruhusu...si lazima kuwe na kosaKosa ni nini jamani
View attachment 721030
Kupitia taarifa ya mkurugenzi wa mawasiliano Ikulu, ndugu Msigwa, Rais Magufuli kuanzia leo March 21 ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Shirika la Nyumba Bi. Blandina Nyoni.
Hii imetokea asubuhi hii hata kabla mama wa watu hajakunywa chai.
=====
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (National Housing Corporation - NHC) Bi. Blandina Nyoni kuanzia leo tarehe 21 Machi, 2018.
Pia Mhe. Rais Magufuli ameivunja Bodi ya NHC kuanzia leo.
Uteuzi wa Mwenyekiti na bodi nyingine utafanyika baadaye.
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam
21 Machi, 2018
--------
Bi. Nyoni aliteuliwa kuiongoza Bodi hiyo Februari 25, 2017 baada ya Zakia Meghji kumaliza muda wake.
View attachment 721021
Mijadala yenye kuwa na mambo fikirishi kuhusu Bi. Blandina Nyoni:
Blandina Nyoni; You are tired, you deserve to be fired!
Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!
Kampuni za Blandina Nyoni zinavyofanya ufisadi serikalini
Blandina Nyoni na uhamisho wa uonevu, na kupendelea kabila lake, marafiki
Katibu mkuu wa Wizara ya Afya lawamani (Blandina Nyoni)
raisi Naye pia ajiuzulu ameshindwa kuongozaUnataka mtu anaburunda aendelee kuachwa kisa kuepuka uteuzi wa kila siku?
Ninyi hao hao ndio wa kwanza kukimbilia mitandaoni kuandika madudu yakitokea na kuilaumu dola. Sasa leo rais anawawahi na kutumbua imekuwa kero kwenu. Ama kwa vile anawakosesha vya kuandika mtandaoni.
Huu ujinga sijui utaisha lini na ni bora tu kumbe anavyodhibit vidomo domo watu waelekeze akili kwenye kazi maana ukiachia akili hizi mtabaki kujibu ujinga tu.
Kipindi kile JK anasafir sana nje ya nchi watu tukalalamika kweli. JPM anasafir sana kwenda nyumban kwake napo tunalalama. JPM anatumbua watumishi sana tunalalama. JK hakutumbua tunalalama kuwa mpole sana.
Sasa JPM anajua anachokifanya na ukiropoka na wewe anakufuata.
wamepata haki yao baada ya kumfukuza Mbowe kwenye Jengo.Na wote ni walokole. Kama alikua snitch kapata anachostahili