Petro naomba nirudie tena ushauri ambao nimekuwa nautoa mara kwa mara. Kwanza kukasirika kwa Rais pekee haitoshi kumaliza tatizo kama hakuna mikakati, atakasirika mzee wa watu hadi apasuke lakini huko field ni business as usual.Rais kulaani jambo fulani si jambo la kawaida wala la kubeza. Baada ya kutolewa taarifa kuwa kuna mauwaji yamefanyika,ya Bwana Roger,yakiwahusisha majangili Rais ameguswa na kukasirishwa. Rais Magufuli na Serikali yake wapo katika vita vya ujangili,hasa wa tembo,nchini.
Kuuwawa kwa mshikadau wa vita ya ujangili ni jambo lililomgusa Mhe. Rais Magufuli. Rais ameagiza wahusika wasakwe na kuchukuliwa hatua. Agizo la Rais si la mchezo. Majangili wakae mkao wa maumivu makali. Kutamba kwao kunafikia mwisho tena kwa haraka.
Majangili wasisahau pia kuwa Katibu Mkuu,mtendaji mkuu wa Wizara,Wizara ya Maliasili na Utalii ni Meja Jenerali Millanzi. Naye wamembeep,wasubiri awapigie akilenga kulinda heshima na kuaminiwa kwake.
Twiga gani walipanda ndege....ushahidi tafadhariHasira zake ziwafikie wote waliopandisha twiga ndege, Na zimfikie pia jangili mkuu wa tembo
Umenena point kabisa mkuuu wakizingatia mkakati huo halkika ushirikiano utakuwa mkubwa mnoPetro naomba nirudie tena ushauri ambao nimekuwa nautoa mara kwa mara. Kwanza kukasirika kwa Rais pekee haitoshi kumaliza tatizo kama hakuna mikakati, atakasirika mzee wa watu hadi apasuke lakini huko field ni business as usual.
Nilishauri serikali ijitahidi kurudisha mahusiano mazuri kati ya askari wanyamapori na wananchi wanao ishi pembezeni mwa hifadhi zetu ili kuweza kupata taarifa za majangili. Askari wetu wanaona fahari kuwa nyanyasa wenyeji wa maeneo hayo kwa makosa hata ya kina mama wanaojikuta wamevuka mipaka na kuokota kuni za kutumia tuu. Wakina mama wanapigwa mpaka wanavuliwa nguo na kudhalilishwa na vijana wadogo kisa wanaokota kuni hifadhini.
Malalamiko hayo ndiyo yana wafanya watu wawachukie askari na kushindwa kuwapa ushirikiano pale waonapo mienendo ya majangili kama mwendelezo wa kukomoa. Huwezi kuwashirikisha watu kwenye ulinzi wakati unawafanyia vitendo visivyo vya kibinadamu, hiyo ni hulka ya watu waliokasirika.
ije operation tokomeza ingineNgoja tusubiri
Majangili yanafichwa na wanakijiji
Ila mtandao au tuseme wanaoenda kuwauzia wapo dsm wanakula bata naskia wengine ni makatibu wakuu wa vyama
Kwa hio hapo inakuwa ishu kidogo
Hapana kwa kweli madhara waliyopata wananchi kwa ile ya kwanza yanatoshaije operation tokomeza ingine
kinana au?Hasira zake ziwafikie wote waliopandisha twiga ndege, Na zimfikie pia jangili mkuu wa tembo
Chakaza ushauri murwaa, hili ni jipu kwani askari pori hawana uhusiano mzur na wananchi jiran na hifadh hata kidogoPetro naomba nirudie tena ushauri ambao nimekuwa nautoa mara kwa mara. Kwanza kukasirika kwa Rais pekee haitoshi kumaliza tatizo kama hakuna mikakati, atakasirika mzee wa watu hadi apasuke lakini huko field ni business as usual.
Nilishauri serikali ijitahidi kurudisha mahusiano mazuri kati ya askari wanyamapori na wananchi wanao ishi pembezeni mwa hifadhi zetu ili kuweza kupata taarifa za majangili. Askari wetu wanaona fahari kuwa nyanyasa wenyeji wa maeneo hayo kwa makosa hata ya kina mama wanaojikuta wamevuka mipaka na kuokota kuni za kutumia tuu. Wakina mama wanapigwa mpaka wanavuliwa nguo na kudhalilishwa na vijana wadogo kisa wanaokota kuni hifadhini.
Malalamiko hayo ndiyo yana wafanya watu wawachukie askari na kushindwa kuwapa ushirikiano pale waonapo mienendo ya majangili kama mwendelezo wa kukomoa. Huwezi kuwashirikisha watu kwenye ulinzi wakati unawafanyia vitendo visivyo vya kibinadamu, hiyo ni hulka ya watu waliokasirika.
lakini wananchi nao wana matatizo kwann wana ficha wahalifuHapana kwa kweli madhara waliyopata wananchi kwa ile ya kwanza yanatosha
Ujue hapo ni kazi ndogo tu
Ni ku deal na wale vigogo basi unakuwa umemaliza kazi serikali haina utayari
Jilo jipu limekaa pabaya; linahitaji dactari mpasuaji. Sidhani kama jpjm ana ujasiri huo. Wacha aendelee kubinya vipele na vichunusi kwanza apate uzoefu!Si kweli, kama yupo serious aanze na Kinana.
Nasikia majangili wana mahusiano ya karibu na magaidi,sitashangaa nikisikia kuna mtandao mkubwa wa wanasiasa na viongozi wa serikali wakihusika na ujangili.Ngoja Scotland Yard waanze kazi.