minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,095
Tatizo mshauri mkuu ni Bashite kila ujinga anaomshsuri anaufanyia kaziRaisi wa nchi anapotumia nguvu nyingi kuzuia ukweli na kuacha mambo ya msingi yanayo wakabili Watanzania. Watanzania tumepatwa na janga la uongozi ambalo ni baya kuliko tsunami, hafu na baa lingine ni uchumi, na ukame mubaya unaolinyemelea nchi yetu