Rais Magufuli ajadiliwa tena DW, kufungia magazeti mawili kunaweza kusababisha vikwazo nchini

Raisi wa nchi anapotumia nguvu nyingi kuzuia ukweli na kuacha mambo ya msingi yanayo wakabili Watanzania. Watanzania tumepatwa na janga la uongozi ambalo ni baya kuliko tsunami, hafu na baa lingine ni uchumi, na ukame mubaya unaolinyemelea nchi yetu
Ukame mubaya ? Nyoosha kiswahili.
 
Kwan yeye huonyesha heshima kwa wapinzani wake? Au unakuwaga usingizini akiwa majukwaan anahutubia? Jaribu kurudia hotuba zake utajua ni nani ana dharau zaidi...

Mkuu;
Usishindane na mkuu wako. Kumbuka ni yeye kasika mpini. Si wamwona Lema, tangu November hadi leo. Nitakuonea huruma kilio kikikujia.
 
Rais hana mamlaka ya kufungia magazeti.....

Mwenye mamlaka ni waziri wa habari......

Lazima tujifunze separation of power.......

Kitendo tu cha kusimama na kutoa amri ni ushahidi kuwa Serikali yake ni ya one man show na rais anaonekana anaingilia majukumu ya kila mtu nchi hii bila kujari anavunja sheria au la .......

Sasa ukiingila Bunge unapanga budget.....

Mahakamani unawapangia jinsi ya kuhukumu.......

Na magazeti uyapangie cha kuzungumza?........

Ningekuwa Mimi ni kiongozi wa vyombo vya habari vyote Tanzania ningeviamlisha viache kuandika habari zozote za viongozi wa serikali.....

Wabaki na uhuru,Habari Leo,Daily news na mzalendo tuone kama kutakalika.....
Naunga hoja mkono
 
Rais hana mamlaka ya kufungia magazeti.....

Mwenye mamlaka ni waziri wa habari......

Lazima tujifunze separation of power.......

Kitendo tu cha kusimama na kutoa amri ni ushahidi kuwa Serikali yake ni ya one man show na rais anaonekana anaingilia majukumu ya kila mtu nchi hii bila kujari anavunja sheria au la .......

Sasa ukiingila Bunge unapanga budget.....

Mahakamani unawapangia jinsi ya kuhukumu.......

Na magazeti uyapangie cha kuzungumza?........

Ningekuwa Mimi ni kiongozi wa vyombo vya habari vyote Tanzania ningeviamlisha viache kuandika habari zozote za viongozi wa serikali.....

Wabaki na uhuru,Habari Leo,Daily news na mzalendo tuone kama kutakalika.....

Mkuu ulipotelea wapi chief,,,waliku -ROMA nini
 
Tujaribu kuangalia mlolongo wakiutendaji hamna namna ambavyo hawa viongozi wa juu wasihusike ama mmoja kwa mmoja au kwa kutoa ushahidi kuwa hawa wanaotuhumiwa walitumia waledi wao vibaya katika kishauri viongozi wa juu bila kuzingatia maslahi ya Taifa...
 
Kwenye taarifa ya habari ya DW ya jioni leo, rais Magufuli amejadiliwa kama kiongozi anayefuata mkondo mbaya sana kiuongozi. Aidha katika uchambuzi huo ambao ulijikita kwenye taarifa yake ya kuyaonya magazeti mawili, inaonyesha kuwa huenda Tanzania ikapelekea moja kwa moja kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Jumuiya ya Ulaya.

Aidha Jukwaa la wahariri tayari wamekutana kwa dharura na wameiarifu DW kuwa wanapanga kuchukua hatua kutokana na dalili mbaya zinazojionyesha dhidi ya vyombo vya habari nchini.
Tumeshazoea hizi stori, fungia Mawio hata maisha! Na lile gazeti lingine la nanilii linafuata.
 
Hatuwezi kupigwa Sanction sababu bado Tanzania kuna mali za wazungu nyingi za kutuibia hadi watakapo zimaliza ndiyo mtapigwa sanction
 
Ww huna akili
Kwenye taarifa ya habari ya DW ya jioni leo, rais Magufuli amejadiliwa kama kiongozi anayefuata mkondo mbaya sana kiuongozi. Aidha katika uchambuzi huo ambao ulijikita kwenye taarifa yake ya kuyaonya magazeti mawili, inaonyesha kuwa huenda Tanzania ikapelekea moja kwa moja kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Jumuiya ya Ulaya.

Aidha Jukwaa la wahariri tayari wamekutana kwa dharura na wameiarifu DW kuwa wanapanga kuchukua hatua kutokana na dalili mbaya zinazojionyesha dhidi ya vyombo vya habari nchini.
Ww huna akili ww kabisa dunia hii ina solo huria hao watakao tuwekea vikwazo ndo kwanza wanatuhitaji kwa Asilimia kubwa sana.. Dunia ya sasa sio km ya zamani pumbavu ww wakiweka vikwazo tunaenda China Korea Kaskazin hatuna shida cc
 
Raisi wa nchi anapotumia nguvu nyingi kuzuia ukweli na kuacha mambo ya msingi yanayo wakabili Watanzania. Watanzania tumepatwa na janga la uongozi ambalo ni baya kuliko tsunami, hafu na baa lingine ni uchumi, na ukame mubaya unaolinyemelea nchi yetu
Huna akili
 
Ila mi sijawahi kisikia nchi ikifungia magazeti inanyimwa misaada, sijui labda safari hii. Maana Mwanahalisi lilifungiwa wakati wa Kikwete na Tanzania ikaendelea kupata misaada Ulaya
Hawa wanaoongelea vikwazo kisa magazeti kufungiwa sio watu wazuri wanapotosha kila kitu sijui raia wa wapi hawa...Nchi ipi ilishafungia gazeti Kwa kushindwa kutimiza mashart ikanyimwa msaada? Hata hivo muda sio mrefu tutakuwa tunatoa misaada sisi
 
Back
Top Bottom