Putin sasa aomba akutanishwe na Rais Zeleniskyy wa Ukraine ili waingie makubaliano ya kumaliza vita!

Ni jambo jema hata Samia na Mbowe wamekutana na yakaisha
Uharibifu aliofanya fidia atalilpa

No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?

Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa

Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi

Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
 
Uharibifu aliofanya fidia atalilpa

No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?

Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa

Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi

Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
Atatoa wapi hizo hela?


Amesababisha hasara kubwa sana, majeraha aliyoyasababisha hayaponyeki.

Putin amefeli sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Ukraine ndio anapenda raia wake waendelee kupigwa lakini Putin anaonekana mwenye huruma kuanzia mwanzo wa vita hii.
Aliyevamia ni Putin utasemaje Raisi wa ukraine anataka watu wake wapigwe ? Raisi wa Ukraine hajavamia Urusi ila Urusi wamemvamia wakati hajarusha hata jiwe kupiga mtu upande wa russia..Unamvurumishiaje mikombora na mibomu mtu ambaye hajakurushia hata jiwe la manati?

Hii vita Putin lazima akione cha mtema kuni.
 
acha tuuwe kwanza hayo yaku exit sisi hatuyajui
mungekua mnaweza kumroga PUTIN mungekua mushamroga ila mmekua kama wazaramo mnamroga kwamaneno hongereni
PUTIN endelea kupeleka moto
Mauwaji anayofanya huyo mwendawazimu yanakusaidia nini wewe?
 
Uharibifu aliofanya fidia atalilpa

No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?

Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa

Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi

Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
Mimi pia nimesimama na Ukraine mwanzo mwisho,hili li Putin na sura lake kama robot lipuuzi sana.Jitu kubwa akili sifuri,Ulimwengu wa leo hii nani anatumia maguvu kijinga kiasi hiki,mbali ya uharibifu alioufanya Ukraine,anawarudisha Warussi kwenye maisha ya shida sana kutokana na vikwazo Nchi ilivyowekewa.
 
Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.

Source: BBC
Kichwa cha habar nazan hakipo sawa Kama kichwa cha mwandishi , Putin kaomba au kakubali ombi maana toka Jana baada ya kuona kuvu ya hypasonic tu Rais wa UKRAINE aliomba mazungumzo ya haraka yafanyike
 
Uharibifu aliofanya fidia atalilpa

No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?

Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa

Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi

Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
Wewe endelea kunywa ulanzi tuu we nani umpangie Russia conditions?
 
Back
Top Bottom