Putin sasa aomba akutanishwe na Rais Zeleniskyy wa Ukraine ili waingie makubaliano ya kumaliza vita!

Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.

Source: BBC
Putin hawezi kufanya hivyo...anayeomba Kila siku kwa kulialia ili akutane na Putin anafahamika
 
Kichwa cha habar nazan hakipo sawa Kama kichwa cha mwandishi , Putin kaomba au kakubali ombi maana toka Jana baada ya kuona kuvu ya hypasonic tu Rais wa UKRAINE aliomba mazungumzo ya haraka yafanyike
Putin kaomba kukutanishwa na Zelenesky.

Uwe unaelewa bwashee.
 
Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.

Source: BBC
BBC sijui inakuwaje, Putin amesema Ukraine hakuna vita ile ni operation ya kijeshi sio vita; je amebadilisha kauli yake au nyie BBC ndio mnamsemea Putin ?.
 
Uharibifu aliofanya fidia atalilpa

No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?

Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa

Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi

Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
Kwani ccm imemlipa fidia Mbowe?
 
Rais wa Ukraine ndio anapenda raia wake waendelee kupigwa lakini Putin anaonekana mwenye huruma kuanzia mwanzo wa vita hii.
unamjua putin ww unamsikia ukitoa kiduku weka pitin ana roho ngumu na hapo kaombq poo sababu ameona anguko lake nyumq yq hii vita **** USA na MATO wako upande wa ukraine russia anawezq kushimdwa vita mchana kweupe ila ni ngumu russia kufitika duniqn kwa ukubwa wa nchi yao never ever
 
Tajiri wake aliyekuwa anamtegemea kazingua, so imebidi tu akimbilie kwenye meza ya mazungumzo kabla hajazalilika zaidi.
Screenshot_2022-03-21-09-18-44-10.jpg
 
Hii ni mpya... Putin anasogezwa taratibuu kwenye kona.. baada ya kuanza kutumia makombona yenye kasi kubwa. (hypersonic)

US President Joe Biden is going to have to “think harder” about what sort of support the West can provide to Ukraine, says ASPI’s Executive Director Peter Jennings.

“Because so far, they’ve (the Ukrainians) fought the Russians to a standstill, they’ve done brilliantly - better than anyone expected,” Mr Jennings said.

“I think they are going to continue to stop Russia from being able to take Kyiv, the capital, and really limit Russia to doing things like using these hypersonic weapons.”
 
Back
Top Bottom