Putin hawezi kufanya hivyo...anayeomba Kila siku kwa kulialia ili akutane na Putin anafahamikaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Putin hawezi kufanya hivyo...anayeomba Kila siku kwa kulialia ili akutane na Putin anafahamikaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Russia kashindwa na vitoto vidogo,,taifa kama Russia kutumia hypersonic kupambana na Ukraine ni kushindwa vita. Maarifa yakizidi huzaa ujinga!Putin hawezi kufanya hivyo...anayeomba Kila siku kwa kulialia ili akutane na Putin anafahamika
Putin kaomba kukutanishwa na Zelenesky.Kichwa cha habar nazan hakipo sawa Kama kichwa cha mwandishi , Putin kaomba au kakubali ombi maana toka Jana baada ya kuona kuvu ya hypasonic tu Rais wa UKRAINE aliomba mazungumzo ya haraka yafanyike
Endelea kukariri!Putin hawezi kufanya hivyo...anayeomba Kila siku kwa kulialia ili akutane na Putin anafahamika
Ni kinyume chake wacha propaganda kijanaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Endelea kubisha!Sio kweli,
Vinginevyo weka link ya source ,
Kafeli wapi!!Atatoa wapi hizo hela?
Amesababisha hasara kubwa sana, majeraha aliyoyasababisha hayaponyeki.
Putin amefeli sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifurahisha.Ni kinyume chake wacha propaganda kijana
Akili za kibavichaRais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Endelea kujipa moyo hapo Kongwa!
BBC sijui inakuwaje, Putin amesema Ukraine hakuna vita ile ni operation ya kijeshi sio vita; je amebadilisha kauli yake au nyie BBC ndio mnamsemea Putin ?.Rais Putin wa Russia ameomba akutanishwe uso kwa uso na Rais Zelenisky wa Ukraine ili waweze kuingia makubaliano ya kumaliza vita.
Source: BBC
Maji yamezidi unga.BBC sijui inakuwaje, Putin amesema Ukraine hakuna vita ile ni operation ya kijeshi sio vita; je amebadilisha kauli yake au nyie BBC ndio mnamsemea Putin ?.
Kwani ccm imemlipa fidia Mbowe?Uharibifu aliofanya fidia atalilpa
No fidia no discussion kaua biashara kuanzia mavyuo yaliyokuwa na mamilioni ya wanavyuo wanaingiza bilions of dollars kwa mwezi wameondoka hawarudi,mijumba walikaa hostel kabomoa,bussiness kabomoa ikiwemo kuua ajra za watu kampuni zilikuwa ukraine atalipa ?
Fidia kwa watu ameua ,vilema ,wakimbixi wengine ndio walikuwa bread winners atalipa mshenzi mkubwa
Miundo mbinu kabomoa nk kuna issues nyingi is he ready to pay the Price kwa vita aliyoanzisha yeye bila ukraine kuianzisha kwa kurushia russia hata ngumi
Mimi nilisimama na ukraine toka day one sikuyumba nataka kujua atalipa hasara katia ukraine ?
unamjua putin ww unamsikia ukitoa kiduku weka pitin ana roho ngumu na hapo kaombq poo sababu ameona anguko lake nyumq yq hii vita **** USA na MATO wako upande wa ukraine russia anawezq kushimdwa vita mchana kweupe ila ni ngumu russia kufitika duniqn kwa ukubwa wa nchi yao never everRais wa Ukraine ndio anapenda raia wake waendelee kupigwa lakini Putin anaonekana mwenye huruma kuanzia mwanzo wa vita hii.
UgoroKwani ccm imemlipa fidia Mbowe?
KimbaUgoro
BBC / Skynews inakupa live coverage, sasa kwenye live coverage kuna uongo hapo ndugu ?BBC nayo ni source