Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

Mkuu Pasco au mshana au yeyote, kwa kweli leo mmenifumbulia kitu nilichokuwa najiuliza mimi nimeumbwaje. Tatizo langu kubwa ni kwamba karibu watu wengi ninaokaa nao jirani hasa wanawake na baadhi ya wanaume wananiogopa sana kiasi kwamba nikiwa nyumbani wanarudia nje ya geti wakati mimi ni mcheshi na napenda sana kuzungumza na watu pia karibu zaidi ya 90 % ya wanawake ninaowataka lazima niwapate siku hiyohiyo na wengine hunianza wenyewe kwa mfano mwanamke wa kwanza kuduu naye alinianza mwenyewe kwa kutuma mtu na mimi nikaogopa kumkatalia, Pili kwa kadri ya maisha yangu sijawahi kugombea nafasi yoyote ya uongozi nikaikosa, tangu nikiwa mdogo mpaka sasa , pia wale wote niliowajazia fomu za ugombea wote wanafanikiwa. Tatizo linalilonisumbua ambalo ilibidi niombe Mungu anisaidie na nikafaulu ilikuwa ni kuota mambo na nikimwambia mke wangu anabisha lakini yanakuja kutokea vilevile hata kama itachukuwa mda mrefu kutokea kwa hiyo kila nilipokuwa jambo furani la kutisha nilikuwa Napata hofu sana. hii ilinianza baada ya baba kufariki dunia na alikuwa ananitokea mara kwa mara na kunileleza mambo mbalimbali ambayo yatatokea na yanatokea kweli. Kwa mfano kulikuwa na kazi nimeombwa niifanye na taasisi Fulani bila mimi sikutuma maombi ya kazi hiyo, baba alinitokea akasema mawajiri wako wa sasa atakuambia usubili mwezi mmoja lakini baadae hutaifanya kazi hiyo utakuja kuifanya badae, na ndivyo ilivyokuwa kwa MWAJIRI WANGU kukataa kuniruhusu, lakini nilikuja kuajiriwa tena kazi hioyhiyo baada ya miaka ya miaka 7 tangu nilipokuwa nimeombwa kwa mara ya kwanza na pia nilifanya kuteuliwa tu wala sikufanya intavyuu yoyote. Kwa sasa mara kwa mara naota naruka hewani na hata leo nimeota naruka hewani, je hii ni ishara gani?
Naendelea,

Niliishia kwenye ulimwengu wa roho, yaani, spiritual world, huko ndiko kwenye pepo, yaani spirits, maeneo haya yanatajwa kama mbinguni, peponi, ahera, motoni , kuzimuni, toharani etc, huko kwenye ulimwengu wa roho, kuna good spirits, bad spirits na evil spirits!.

Good spirits ni zile powers za kutenda mema kama kupandisha Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha, kuwa na kipawa cha kuponya, kukemea, kufanya miujiza, matumizi yoyote ya hizi inner power kutenda mema ndiko kuliko dhamiriwa na Mungu wakati akituumba.

Bad spirits ni zile power za kutenda maovu, kama ghosts , mizimu elekezi kwa yasiyo mema, claivoyance, mediums, pepo wachafu kama pepo la ngono, pepo la wivu wa kupindukia, pepo la tamaa, wagaga wa kienyeji wasiotumia alternative medicines , majini faida, na vitendo vingine vyovyote vinavyokwenda kinyume.

Na evil spirits zikiongozwa na the devil, mashetani, majini, wachawi na matumizi ya hizi power kufanya maangamizi.

Hilo la kupaa, inaweza kuwa ni ndoto tuu au astra travel.
Pasco
 
Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi, kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri, wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.

Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo huweza kutenda miujiza!.

Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za "Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".

Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo ndani yako!, "the powers from within!".

Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody". Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria, Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu, Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani, Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for powers from within!" to act on you for you!.

"I know I can, be what I wanna be!"

Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga, "wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.

Mods, kama ni kweli ninyi mnazuia hoja za kutaka kufahamu uhalali wa upotoshaji huu, basi jueni kuwa nanyi mmeamua kuushambulia ukristo, naijulikane hivyo kuanzia sasa! Theme ya mleta mada imejificha katika kuwapatia self awareness watu, lakini ukiangalia vema, haya mafundisho yanalenga moja kwa moja kuupinga ukristo kwa kuimshambulia waziwazi mhusika wake m mkuu. Hapo ametukana uweza wa Yesu Kristu, Mungu, Roho Mtakatifu, wahubiri kwa kuwaweka daraja moja na wachawi, sangoma, mlingotini n.k.

Kwamba tofauti ya nguvu za wachawi na wakristu ni aina ya matokeo? Eti yakiwa mema huitwa nguvu za Yesu au Mungu au Roho Mtakatifu? Halafu zikileta maovu huitwa nguvu za giza!!? Halafu mnajidai eti huu uzi na kwa wale wanaotafiti nje ya upeo wa dini. Lord have mercy. Sikubali asilani kuona uzushi kama huu ukitamalaki bila kujibiwa. Vinginevyo namwomba Pasco afanyie editing uzi huu aondoe zile hoja zinazoshambulia imani nyingine, kama anataka afundishe hiyo elimu ya fallen angels kwa amani. Nje ya hapo tutaendelea kudai a-justify huu uzushi dhidi ya Biblia anayoishambulia kwa kutumiwa na roho wachafu.

Heshima kwenu mods na ninaamini mtakuwa fair. Ama mruhusu hoja za msingi zijibiwe (maana zimewekwa kama sehemu ya hii elimu ambayo ipo miaka mingi tu wala haina jipya), ama zifutwe hoja hizo.

Thanks
 
Naendelea,

Niliishia kwenye ulimwengu wa roho, yaani, spiritual world, huko ndiko kwenye pepo, yaani spirits, maeneo haya yanatajwa kama mbinguni, peponi, ahera, motoni , kuzimuni, toharani etc, huko kwenye ulimwengu wa roho, kuna good spirits, bad spirits na evil spirits!.

Good spirits ni zile powers za kutenda mema kama kupandisha Roho Mtakatifu na kunena kwa lugha, kuwa na kipawa cha kuponya, kukemea, kufanya miujiza, matumizi yoyote ya hizi inner power kutenda mema ndiko kuliko dhamiriwa na Mungu wakati akituumba.

Bad spirits ni zile power za kutenda maovu, kama ghosts , mizimu elekezi kwa yasiyo mema, claivoyance, mediums, pepo wachafu kama pepo la ngono, pepo la wivu wa kupindukia, pepo la tamaa, wagaga wa kienyeji wasiotumia alternative medicines , majini faida, na vitendo vingine vyovyote vinavyokwenda kinyume.

Na evil spirits zikiongozwa na the devil, mashetani, majini, wachawi na matumizi ya hizi power kufanya maangamizi.

Hilo la kupaa, inaweza kuwa ni ndoto tuu au astra travel.
Pasco


You will never get away with this! Hii ni dini inayoipinga Biblia Takatifu. Endelea...........!
 
Mods, kama ni kweli ninyi mnazuia hoja za kutaka kufahamu uhalali wa upotoshaji huu, basi jueni kuwa nanyi mmeamua kuushambulia ukristo, naijulikane hivyo kuanzia sasa! Theme ya mleta mada imejificha katika kuwapatia self awareness watu, lakini ukiangalia vema, haya mafundisho yanalenga moja kwa moja kuupinga ukristo kwa kuimshambulia waziwazi mhusika wake m mkuu. Hapo ametukana uweza wa Yesu Kristu, Mungu, Roho Mtakatifu, wahubiri kwa kuwaweka daraja moja na wachawi, sangoma, mlingotini n.k.

Kwamba tofauti ya nguvu za wachawi na wakristu ni aina ya matokeo? Eti yakiwa mema huitwa nguvu za Yesu au Mungu au Roho Mtakatifu? Halafu zikileta maovu huitwa nguvu za giza!!? Halafu mnajidai eti huu uzi na kwa wale wanaotafiti nje ya upeo wa dini. Lord have mercy. Sikubali asilani kuona uzushi kama huu ukitamalaki bila kujibiwa. Vinginevyo namwomba Pasco afanyie editing uzi huu aondoe zile hoja zinazoshambulia imani nyingine, kama anataka afundishe hiyo elimu ya fallen angels kwa amani. Nje ya hapo tutaendelea kudai a-justify huu uzushi dhidi ya Biblia anayoishambulia kwa kutumiwa na roho wachafu.

Heshima kwenu mods na ninaamini mtakuwa fair. Ama mruhusu hoja za msingi zijibiwe (maana zimewekwa kama sehemu ya hii elimu ambayo ipo miaka mingi tu wala haina jipya), ama zifutwe hoja hizo.

Thanks
Mkuu Nyenyere, kiukweli naunga mkono hatua ya mode kuingilia kati kwa sababu ukifika mahali pabaya pa kukashifu dini na imani za Wengine.

Mfano wewe ukiwa Mkiristu unaamini Yesu ni Mungu, its not fair kwa asiyeamini kuwa Yesu ni Mungu aje humu na kusema Yesu sii Mungu!. Kama wewe ni muumini wa imani fulani, itoshe kuishikilia imani yako bila kushambulia imani za wengine!.

Kwenye uzi huu mimi nafundisha watu kuhusu powers from within bila kulazimisha watu wa dini yoyote. Wewe kila ukija humu unanishupalia mimi ni mpinga Kristo, ninacho kueleza wewe na waumini wengine kama wewe, hizi powers zimekuweko tangu kabla ya Ukristu. Hindu wanazifundisha kiaka 300,000 kabla ya Kritu, its not fair kulazimisha hizi powers ni za Kristu pekee aliyekuja miaka 2013 tuu iliyopita!. Kama meditation imekuwepo miaka 300,000 kabla ya Kristu, Kristu nae kaja kaikuta na ukitumia sana tuu, nakuuliza jee unajua Kristu alikuwa wapi na alifanya nini kati ya miaka 12 hadi 30?, hujui unalazimisha kile tuu ukijuacho!. Nimekuwekea vitabu pale juu husomi unang'ang'ana na kitabu kimoja tuu cha Biblia, unakuwa huwatendei haki wengine wote wasioamini katika Kristu.

Nakuhakikishia hizi powers zipo indeoendent ya dini yoyote, zile secret society zote wanazijua ila wanafanya siri ili wafaidike wenyewe pekee!.

Nakushauri stick to unachoamini bila kuwaingilia wengine na kulazimisha unachoamini wewe!.
Please!.
 
You will never get away with this! Hii ni dini inayoipinga Biblia Takatifu. Endelea...........!
Kwako na wengine wote, wajameni ninachofundisha hapa sio dini!. Ninachofundisha humu ni sisi binadamu wote tunazo nguvu za kutenda kila kitu ikiwemo kufanya miujiza bila kutegemea dini yoyote!.

Ili kuyafanya yote, shikilia imani yako hiyo hiyo ulionayo na amini kwa dhati kwamba unaweza kufanya kila kitu, utafanikiwa!.
Pasco
 
Kwako na wengine wote, wajameni ninachofundisha hapa sio dini!. Ninachofundisha humu ni sisi binadamu wote tunazo nguvu za kutenda kila kitu ikiwemo kufanya miujiza bila kutegemea dini yoyote!.

Ili kuyafanya yote, shikilia imani yako hiyo hiyo ulionayo na amini kwa dhati kwamba unaweza kufanya kila kitu, utafanikiwa!.
Pasco

Nadhan amekupata mkuu.. :thumbup:
 
Naomba nijitoe Muhanga kueleza juu ya hii Nguvu. Natumia simu ila naamini nitaeleweka.
Kwanza mimi nina nguvu ya kutambua nadanganywa au la, na huwezi kuniibia. Labda niwe nimesahau. Lkn pia niseme hua ni kama nasikia maelekezo fulani. Siwezi kuamua jambo kwa ghafla sana, kwani naamini kuna madhara au faida. Tumekuwa tukikwaruzana na mke wangu katika hili.
Hata kama nasafiri, nikilazimisha safari huwa yanatokea yanayotokea, ni mengi.
Naona wengi hamjamuelewa Pasco, hasa nahisi wale ambao haijawahi kuwatokea. Binafsi nimekuwa nikiwafundisha watu kutumia nguvu hizi. Sasa iko namna hii, nguvu hizi nilianza kutumia kwa kutaman kuwa wa kwanza darasani, I just tell the world and it hears me. Nilifanikiwa sana. Ila ni kama plan, ukiwa mchanga wa nguvu hizi huwezi amuru na ikatokea papo hapo. Lazma ujipe muda. Waliokomaa ndio wanatamka na mambo yanafanyika.

Niliwahi kutamani kusema ninataka Ajira, Mke,Degree na Gari ndani ya mwaka 1. Vimetimia. Haya yalifanikiwa kwasababu niliamua kutumia nguvu hizi kwa mema tuu.

Mungu na Shetani wote wananguvu. Kikubwa hapa hata biblia imesema "WENYE NGUVU NDIO WATAKAO UONA UFALME WA MBINGUNI" manake nini kila mtu ana nguvu, mbinu za kutumia hizo nguvu ndio hatuna.

Niliwahi kupata ajali mbaya, wkt watu wananikimbilia kuniinua nikamka mwenyewe, nakumbuka nilisimama kishujaa huku pumzi imekata na sisikii viungo vyovyote. Wakasema anakufa huyo mdakeni nilitamka "SIFI NA SIJATIMIZA MIAKA NIITAKAYO". Leo niko hai.

KUOTA KUPAA ANGANI
Hii ndoto ipo, ni nguvu fulani inayokuonesha uko juu ya vyote, nimeiota sana. Tena nilikuwa naamua kuiota, kwa upande mwingine ni uvamizi fulani wa kiroho kama wewe ni mtenda mema. Ila watu watakuwa wanakukimbia na kukuogopa sana, na utakuwa na ukatili fulani kama ukiiendekeza. Shetani hupenda kukupaisha ili uone milki za dunia na kukupa kiburi kwani utakuwa juu ya vyote.

ROHO YA KIBALI
Hii ni nguvu ambayo nimeitumia sana kwa wanawake kama wenzangu mlivyotaja, ni kweli unakutana na msichana mnapeana mikono, unamwomba akusindikize home nae hakatai atajikuta anakulaumu umetembea nae na huwa hawajui wamekubalije kirahisi. Hii ni NEEMA mungu ameigawa kwa watu wachache na ipo mkasome dini. Watu hawa huwa ni viongozi. Wakuu nilipogundua hili, sasa natumia kibali hichi kazini na kote niliposoma.
Baada ya kujigundua niliamini naweza kuingia ktk chama fulani na nikawa kiongozi, bado sijapata fursa ila siku nikiingia najua sitaiangusha Nchi yangu.
Tukasome laws of attraction.
Naona nisiufanye uzi mrefu sana, wachawi wapo na wananguvu. Nilimkamata mchawi na kumuombea akatoa kibuyu chake cha uganga. Ilapale kulikuwa na mkubwa wao ambaye kesho alipotakiwa kuleta wote aliletwa na mkubwa wao. Ktk kundi lile la walokole mimi nilikuwa naonekana kwa maxho bado sijakomaa. Na nilimkabidhi dads yule kwa wakubwa wangu. Nikistukia amekuja na kuchukua mkoba wake na hayuko ytayari kuokoka. Wakubwa wangu wakampa. Mimi ilikuwa bahati ti kumuona. Alichoniabia Mkuu wa anga yule pale ma amekuja kuhakikisha nauchukua.
Kugeuka kuwafata wakuu waliokua wanawaombea waongofu wapya kuwauliza hamjastukia huyu mama sio. Wakaniuliza yupi, kugeuka hakuwepo.
NATAKA KUSEMA NGUVU TUNAZO UJANJA KUZIDIANA MBINU.
 
Kwako na wengine wote, wajameni ninachofundisha hapa sio dini!. Ninachofundisha humu ni sisi binadamu wote tunazo nguvu za kutenda kila kitu ikiwemo kufanya miujiza bila kutegemea dini yoyote!.

Ili kuyafanya yote, shikilia imani yako hiyo hiyo ulionayo na amini kwa dhati kwamba unaweza kufanya kila kitu, utafanikiwa!.
Pasco
Mkuu we achana na watu wa aina hii kwa sababu kila mtu ana imani yake na hapa hujaeleza kuwa kuna watu umbaya kuhusu mtu kumuamini Yesu ila umeelezsa kuwa kuna watu wanatumia jina la Yesu ,Roho mtakatifu ,maria NK na pia kuna watu wanatumia vitu tofauti na yesu , kwa nini hataki kuelewa? Hawa ndo walokole feki wanaofuata mkumbo badala ya kuamini na pia hawawezi kuhoji jambo lolote kwa kuamini ni dhambi kufanya hivyo.
 
Mkuu Nyenyere, kiukweli naunga mkono hatua ya mode kuingilia kati kwa sababu ukifika mahali pabaya pa kukashifu dini na imani za Wengine.

Mfano wewe ukiwa Mkiristu unaamini Yesu ni Mungu, its not fair kwa asiyeamini kuwa Yesu ni Mungu aje humu na kusema Yesu sii Mungu!. Kama wewe ni muumini wa imani fulani, itoshe kuishikilia imani yako bila kushambulia imani za wengine!.

Kwenye uzi huu mimi nafundisha watu kuhusu powers from within bila kulazimisha watu wa dini yoyote. Wewe kila ukija humu unanishupalia mimi ni mpinga Kristo, ninacho kueleza wewe na waumini wengine kama wewe, hizi powers zimekuweko tangu kabla ya Ukristu. Hindu wanazifundisha kiaka 300,000 kabla ya Kritu, its not fair kulazimisha hizi powers ni za Kristu pekee aliyekuja miaka 2013 tuu iliyopita!. Kama meditation imekuwepo miaka 300,000 kabla ya Kristu, Kristu nae kaja kaikuta na ukitumia sana tuu, nakuuliza jee unajua Kristu alikuwa wapi na alifanya nini kati ya miaka 12 hadi 30?, hujui unalazimisha kile tuu ukijuacho!. Nimekuwekea vitabu pale juu husomi unang'ang'ana na kitabu kimoja tuu cha Biblia, unakuwa huwatendei haki wengine wote wasioamini katika Kristu.

Nakuhakikishia hizi powers zipo indeoendent ya dini yoyote, zile secret society zote wanazijua ila wanafanya siri ili wafaidike wenyewe pekee!.

Nakushauri stick to unachoamini bila kuwaingilia wengine na kulazimisha unachoamini wewe!.
Please!.

Swali la msingi kwako: unaposema wachawi na Yesu source ya nguvu yao ni moja, huoni kwamba unachafua ukristu? Kwani huwezi kufundisha huo uchafu bila kuhusisha imani za wengine? Huo upuuzi umeandikwa sana tu kwenye biblia, ndio maana nikakuuliza unajua nini kuhusu nephilims na fallen angels?

Pia nikuhakikishie nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu haya mambo na nina marafiki waliokuwa huko, mimi si mjinga kama unavyodhani. Hata huo uongo unalionao uweke hapa nikuchane wazi wazi kuhusu miaka iliyopotea ya Yesu. Hizo story za kwenda kwenye temple huko India na Tibeti na upuuzi mwingine usio na ushahidi umwage hapa ufahamu ukweli. Huo uzushi wa Nicholas Notovitch usio na kichwa wala miguu si habari ya wewe kujivunia hata kidogo.

Hoja yangu kuu ni kuwa Usifundishe hiyo elimu yako kwa kupotosha ukristu, fata hicho unachokiamini kama unavyotuambia wengine. Kwa namna hiyo you can have your way.

I wish you a good journey into the demonic realm!
 
Nyenyere.. wote tuliopo hapa tunaakili timamu na wala hatuburuzwi na mtu ndugu.. kama unaona ni kero Jf kuna maeneo mengi kutembelea ni vizur uuache huu uzi uende pengine hapa sio sehem yako...

Sizungumzii akili yako timamu, I am defending my faith which is being attacked here. Kama atafundisha tu hizo nguvu mnazozitamani bila kumtaja Kristu kama mfano wake, sina tatizo. Lakini akimhusisha tu, haiwezekani kukaa kimya bila kufichua uongo anaoupika.
 
mkuu nimeipenda haya maelezo yako , swali moja tu hivi hawa waganga wa kienyeji na majini yao wanapowatabiria watu ni kweli au si kweli na je kama wao waganga wanatumia majini sisi tunaweza kuona vitu vijavyo kweli? , kama uchawi n.k au havipo ni wasi wasi wetu?
Mkuu Uvingizi, hawa waganga wachofanya ni kweli, wanatumia nguvu hizi kuifungua milango ya imani yako, kinachokutibu ni nguvu zako mwenyewe zilizo ndani yako ambazo zimefunguka kutokana na kumuamini huyo mganga!. Yale manyanga, zile dawa zote ni zuga tuu kinachokuponya ni nguvu zako mwenyewe zilizo ndani yako!.

Hata wale watenda miujiza, wanachofanya ni just opening the power doors na windows kwa powers from within yourself, ndizo zinazokuponya na sio nguvu za huyo mhubiri !. Vivyo hivyo kwa kile kikombe cha Babu, ile dawa Babu aliooteshwa ni kichocheo tuu cha kuzifungua nguvu za uponyaji zilizoko ndani ya mgonjwa mwenyewe, kitendo cha kunywa kikombe kilifanya ukiamini, Kyle kuamini ndiko kulikofungua power doors zako mwenyewe zilizo ndani yako ambazo zimefunguka kutokana kukiamini kikombe kilifanya, zikakuponya.

Kwa kufanya mazoezi ya self discipline, sio tuu utajiponya maradhi yote, bali utayazuia maradhi yoyote yasikupate, na unaweza kupata mafanikio makubwa kwa kupata kila unachokitaka, kazi nzuri, pesa nzuri, gari zuri, mwanamke mzuri maisha mazuri etc etc etc, sire nikuamini tuu, that you can!.

La msingi sana la kuzingatia ni kuwa nguvu za Kweli ambazo ni za Mungu, zipo, na nguvu za giza ambazo ni za Shetani, pia zipo, the dividing line between nguvu za Mungu na nguvu za giza za shetani ni very thin!. Nguvu za Mungu, tumepewa freely, unconditional na kuzitumia pia ni freely bila conditions zozote , ila kwa nguvu za giza, kuna conditions kibao!.
Pasco.
 
Mkuu Uvingizi, hawa waganga wachofanya ni kweli, wanatumia nguvu hizi kuifungua milango ya imani yako, kinachokutibu ni nguvu zako mwenyewe zilizo ndani yako ambazo zimefunguka kutokana na kumuamini huyo mganga!. Yale manyanga, zile dawa zote ni zuga tuu kinachokuponya ni nguvu zako mwenyewe zilizo ndani yako!.

Hata wale watenda miujiza, wanachofanya ni just opening the power doors na windows kwa powers from within yourself, ndizo zinazokuponya na sio nguvu za huyo mhubiri !. Vivyo hivyo kwa kile kikombe cha Babu, ile dawa Babu aliooteshwa ni kichocheo tuu cha kuzifungua nguvu za uponyaji zilizoko ndani ya mgonjwa mwenyewe, kitendo cha kunywa kikombe kilifanya ukiamini, Kyle kuamini ndiko kulikofungua power doors zako mwenyewe zilizo ndani yako ambazo zimefunguka kutokana kukiamini kikombe kilifanya, zikakuponya.

Kwa kufanya mazoezi ya self discipline, sio tuu utajiponya maradhi yote, bali utayazuia maradhi yoyote yasikupate, na unaweza kupata mafanikio makubwa kwa kupata kila unachokitaka, kazi nzuri, pesa nzuri, gari zuri, mwanamke mzuri maisha mazuri etc etc etc, sire nikuamini tuu, that you can!.

La msingi sana la kuzingatia ni kuwa nguvu za Kweli ambazo ni za Mungu, zipo, na nguvu za giza ambazo ni za Shetani, pia zipo, the dividing line between nguvu za Mungu na nguvu za giza za shetani ni very thin!. Nguvu za Mungu, tumepewa freely, unconditional na kuzitumia pia ni freely bila conditions zozote , ila kwa nguvu za giza, kuna conditions kibao!.
Pasco.


Ntajuaje kama nina hizo nguvu?? Nifanyaje kuzifungua/kuzipata?? Kuna dawa ya kunywa kisha nazipata?? Sijakuelewa bado..
 
Mkuu we achana na watu wa aina hii kwa sababu kila mtu ana imani yake na hapa hujaeleza kuwa kuna watu umbaya kuhusu mtu kumuamini Yesu ila umeelezsa kuwa kuna watu wanatumia jina la Yesu ,Roho mtakatifu ,maria NK na pia kuna watu wanatumia vitu tofauti na yesu , kwa nini hataki kuelewa? Hawa ndo walokole feki wanaofuata mkumbo badala ya kuamini na pia hawawezi kuhoji jambo lolote kwa kuamini ni dhambi kufanya hivyo.


Hujui ulisemalo ndugu. Endeleeni na huo ujinga mkidhani ni "elimu mpya." Safari njema katika kundalini awakening. I have been there brother. Nakutakia mafanikio.
 
nininaunajuaunajuanawandniya
Swali la msingi kwako: unaposema wachawi na Yesu source ya nguvu yao ni moja, huoni kwamba unachafua ukristu? Kwani huwezi kufundisha huo uchafu bila kuhusisha imani za wengine? Huo upuuzi umeandikwa sana tu kwenye biblia, ndio maana nikakuuliza unajua nini kuhusu nephilims na fallen angels?

Pia nikuhakikishie nimesoma vitabu vya kutosha kuhusu haya mambo na nina marafiki waliokuwa huko, mimi si mjinga kama unavyodhani. Hata huo uongo unalionao uweke hapa nikuchane wazi wazi kuhusu miaka iliyopotea ya Yesu. Hizo story za kwenda kwenye temple huko India na Tibeti na upuuzi mwingine usio na ushahidi umwage hapa ufahamu ukweli. Huo uzushi wa Nicholas Notovitch usio na kichwa wala miguu si habari ya wewe kujivunia hata kidogo.

Hoja yangu kuu ni kuwa Usifundishe hiyo elimu yako kwa kupotosha ukristu, fata hicho unachokiamini kama unavyotuambia wengine. Kwa namna hiyo you can have your way.

I wish you a good journey into the demonic realm!

Shetani kabla ya kuwa shetani alikuwa malaika mkuu 2nd in commands baada ya Mungu Baba akiitwa Lusiferi, Alipoasi ndipo akawa shetani, Mungu Baba akamteua Malaika Gabrieli kuwa Malaika Mkuu kushika nafasi ya Lusiferi. Jee unajua ni kwa nini Mungu Baba hakumuangamiza shetani?!. Jee unajua kuwa shetani aliondolewa tuu position na sio powers?.

Na baada ya uasi ule , Mungu akasema na tuumbe binadamu kwa mfano wetu kiumbe ambacho kitatutii, shetani akamshauri Mungu, ili kuupima utii wa kiumbe chako, lazima pawepo kipimo cha temptations, Mungu akakubali kumruhusu shetani kuweka temptations na die aliyeuweka ule mti wa katikati!.

Baada ya Mungu kuwaumba Adam na Eva/Hawa akawaonya kuhusu mti wa katika kati (huu sio mti Kweli, bali vile viungo!). Akaweka malaika wawili wenye upanga wa moto kumzuia shetani asiingie sustaining Adeni kwenda kuwashawishi viumbe wa Mungu. Shetani akajigeuza nyoka, akapenya getini!. Jee unajua ni kwa nini Mungu hakumzuia shetani hadi kumfikia Eva?!.

Akiwa Bustanini, alimlaza Adam usingizi mzito, na akajigeuza umbo la kijana HB na kumtokea Eva!. Akamuuliza, hivyo viungo ni vya kufanyia nini?!. Eva akamjibu, tumekatazwa kuvitumia, kwa nini?!. Akamjibu ill tusijue mema na mabaya!. Shetani akamwambia Eva, Mungu amewadanganya, mkivitumia sio tuu mtapata raha ya ajabu, bali pia mtakuwa na uwezo wa uumbaji kama wa Mungu, na mtajiumbia viumbe wenu wenyewe!, kama huamini hebu njoo nikuonjeshe!. Tunda likamegwa, Eva akafaidi, akamuonjesha na Adamu ndipo wakajistukia wako uchi!. For the sake of procreation, Mungu angweza kufanya conception ifanyike kwa hand shake only au hata kwa polination, unajua ni kwa nini Mungu hakufanya hivyo?!.

Inahisiwa product ya kwanza ya Eva, Cain, alifanana na baba yake, mtoto wa kwanza wa Adam, ni Abeli !.

Jee unajua kuwa binadamu wote wanazaliwa na dhambi ya asili ambayo huondolewa kwa ubatizo?!. Jee unaijua hii dhambi ya asili ni nini?!.
Jee waujua ili kutegeneza mtoto ile dhambi ya asili ni lazima itendeke !. Mtu pekee aliekingiwa dhambi ya asili ni Bikira Maria baada ya kupata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu!,

Jee unajua ni kwa nini shetani yupo mpaka kesho?.

Kwa maswali kuhusu dini , Mungu na shetani , naomba tukutane kule jukwa la dini tukamalizane kule, hapa ni mambo ya powers tuu ambazo zimekuwepo kabla ya dini!.
Pasco
 
Sizungumzii akili yako timamu, I am defending my faith which is being attacked here. Kama atafundisha tu hizo nguvu mnazozitamani bila kumtaja Kristu kama mfano wake, sina tatizo. Lakini akimhusisha tu, haiwezekani kukaa kimya bila kufichua uongo anaoupika.

We kristo anakujua??

Kristo eeeee kristo aaaa!

Domo reeeefu na kujifanya myahudi!

We mdengereko kristo akujue wapi??
Au ni ile misaada ya kanisa ndio inakufanya urukwe na akili!
Mnfnsssssssss!

Andiko linasema.


Yesu akaondoka huko, akaenda kando pande za Tiro na Sidoni. Na tazama, mwanamke Mkananayo wa mipaka ile akatokea, akampazia sauti akisema, Unirehemu, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu amepagawa sana na pepo.-Wala yeye hakumjibu neno. Nao wanafunzi wake wakamwendea, wakamwomba, wakisema, Mwache aende zake; kwa maana anapiga kelele nyuma yetu. Akajibu, akisema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. Naye akaja akamsujudia, akisema, Bwana, unisaidie. akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani za bwana zao. Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile.Mathayo 15.21-28.


Yesu halikataa kuwatupia mbwa na nguruwe chakula!.
 
Ntajuaje kama nina hizo nguvu?? Nifanyaje kuzifungua/kuzipata?? Kuna dawa ya kunywa kisha nazipata?? Sijakuelewa bado..
Mkuu Baiskeli , kila mtu anazo!, tatizo ni kujitambua kuzifungua na kuzitumia kujiletea maendeleo.
Hakuna dawa yoyote wala huitaji kutumia hata senti moja kuzifungua, unachohitaji ni kuendelea kuufuatilia uzi huu baada ya kukoma haya malumbano, liafuatia darasa !.
Pasco.

data
 
Mkuu Baiskeli , kila mtu anazo!, tatizo ni kujitambua kuzifungua na kuzitumia kujiletea maendeleo.
Hakuna dawa yoyote wala huitaji kutumia hata senti moja kuzifungua, unachohitaji ni kuendelea kuufuatilia uzi huu baada ya kukoma haya malumbano, liafuatia darasa !.
Pasco.

data

Ok mkuu pasco nalisubiri hilo darasa.. kwa nini usilianzishe tu leooo??
 
Unajua nguvu hizi source yake ni mungu. Unajua kwamba hakuna binadamu anayeishi bila ya kusali sababu binadamu ameubwa Kwa umbo la kufanya ibada. Kama sio Kwa mungu ni Kwa shetani sasa hizi nguvu tunazo toka tulipo zaliwa ila tu nashindwa kuzitumia Kwa kutojua.
 
Back
Top Bottom