Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Wanajukwaa habari za muda huu.
Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF .
Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na hata ukishakamilisha wanafanya malipo wanavyotaka.
Hivi inakuwaje mtu anajaza taarifa zinachukua zaidi ya siku 30?
Kunakuwa na uswahili, ubabe, ukorofi na roho mbaya.
Mambo hayo yanakuwa kero kubwa kwa wanufaika wa mfuko.
Ninavyoiona PSSSF hawafai kuwa kimbilio kwani ni wasumbufu sana.
Nimewaza kama yanatengenezwa mazingira ya rushwa ila nikasema hapana bali ni roho mbaya tu mlizonazo watumishi wa mfuko hapo Dodoma.
Acheni usumbufu lipeni hela haraka huo sio msaada ni haki za watumishi.
Badilikeni.
Majibu ya PSSSF soma hapa ~ PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi
Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF .
Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na hata ukishakamilisha wanafanya malipo wanavyotaka.
Hivi inakuwaje mtu anajaza taarifa zinachukua zaidi ya siku 30?
Kunakuwa na uswahili, ubabe, ukorofi na roho mbaya.
Mambo hayo yanakuwa kero kubwa kwa wanufaika wa mfuko.
Ninavyoiona PSSSF hawafai kuwa kimbilio kwani ni wasumbufu sana.
Nimewaza kama yanatengenezwa mazingira ya rushwa ila nikasema hapana bali ni roho mbaya tu mlizonazo watumishi wa mfuko hapo Dodoma.
Acheni usumbufu lipeni hela haraka huo sio msaada ni haki za watumishi.
Badilikeni.
Majibu ya PSSSF soma hapa ~ PSSSF yampa pole Mdau aliyelalamikia huduma yao, yatoa ufafanuzi na kusisitiza inazingatia Maadili, Uaminifu, Weledi na Uwazi