Kwa wanaotarijia kustaafu niwatahadharishe mjiwekee pesa akiba ya angalau mishahara ya mwaka mmoja au miwili kabla ya kustaafu.
Najua ni ngumu lakini inawezekana.
ps
Hakikisha una nyaraka zote. Kama hujaambatanisha nyaraka zote 7 zinazotakiwa, kusoteshwa miezi 6 au 12 kabla ya kupata mafao yako ni kawaida kwa hao wababe wa psssf.