BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,160
Tulisema sisi humu kwamba huu ununuzi wa ndege kwa zaidi ya trilioni moja ($487 million) bila pesa hizo kuidhinishwa na Bunge na kufuata taratibu za manunuzi za Serikali umegubikwa na ufisadi. Sasa yamekuwa kweli! Yule mpiga madili maarufu nchini kishafanya yake! Eti unalipa cash kwanza halafu ubora wa bidhaa husika unaufanya miezi chungu nzima baadaye kwa kuwatumia watu ambao hawana uzoefu wowote wa kukagua ubora wa ndege!
Wameanza kukiri kuumbuka.