Hahaha, nimecheka kinoma aiseee. Mwamba kaweka factsProf.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Wanatumia tu kodi zetu bure, warudi nyumbani tuendelee kula mihogo.....hapati hiyo nafasiNa kikwete Bado anazurula naye ikulu za watu huko
Watakunja ngumi mpaka wachoke tu. Janabi mwenyewe inasemekana wala siyo daktari bingwa wa moyo kaunga unga tu kozi wala hazieleweki. Sasa amekomaa na mambo ya lishe wakati wala siyo uwanja wake wa kitaaluma. Ndo maana anaishia kushushuliwa kwa kutulisha matango pori 😂😂😂Na kikwete Bado anazurula naye ikulu za watu huko
Kanatumia Kodi zetu Boss! Na kalivyo kakavu sasa mpaka WHO inaweza kuogopa!😁😁😄Ningetamani sana kama Janabi angejibu uongo wake kwa maelezo kama hayo ya huyo jamaa.
Mi najiuliza kwanini wana mnadi Afrika nzima? Akishinda tunapata faida gani, kuna upigaji au kujipendelea ?
Na gharama za kumzungusha Afrika nzima zinatoka mfuko gani nchi hii? ni zake binafsi au za umaa?
CAG atueleze mwakani tulitumia Bilioni ngapi kumnadi Janabi Afrika na tumepata faida gani au hasara kiasi gani.