matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 8,131
- 19,681
Dr vitu vyake vingi ni kama vya wakina Ndodi. Sidhani kama vina shahidi za kimaabara na za kisayansi.
WHO wajilidhishe vizuri kabla hawajampa chaka. Na kama nadharia na ushauri wake anaotupa wabongo unafaa kwa dunia nzima
WHO wajilidhishe vizuri kabla hawajampa chaka. Na kama nadharia na ushauri wake anaotupa wabongo unafaa kwa dunia nzima