Prof Janabi awekwa mtu kati

Watakunja ngumi mpaka wachoke tu. Janabi mwenyewe inasemekana wala siyo daktari bingwa kaunga unga tu. Sasa amekomaa na mambo ya lishe wakati wala siyo uwanja wake wa kitaaluma. Ndo maana anaishia kushushuliwa kwa kutulisha matango pori 😂😂😂

View attachment 3309869
Kama kale ka stela manyanya,eti enjinia kumbe fundi nchundo,🤣🤣🤣
 
UDSM, SUA, UDOM, CUHAS kuna wabobezi kwenye biochemistry si waje wamsaidie Prof. Janabi! Mbona anataka kudhalilishwa na akina kifula mbute hapa! Prof. Max, Prof. Mutayoba, Prof. Balthazar na Dr. Mushi pale SUA wako wapi wafafanue hii kitu!
 
UDSM, SUA, UDOM, CUHAS kuna wabobezi kwenye biochemistry si waje wamsaidie Prof. Janabi! Mbona anataka kudhalilishwa na akina kifula mbute hapa! Prof. Max, Prof. Mutayoba, Prof. Balthazar na Dr. Mushi pale SUA wako wapi wafafanue hii kitu!
Wafafanue kipi ambacho hujaelewa na huwezi kuelewa?

Mzungu kazungumza Kiswahili, hujui Kiswahili?
 
UDSM, SUA, UDOM, CUHAS kuna wabobezi kwenye biochemistry si waje wamsaidie Prof. Janabi! Mbona anataka kudhalilishwa na akina kifula mbute hapa! Prof. Max, Prof. Mutayoba, Prof. Balthazar na Dr. Mushi pale SUA wako wapi wafafanue hii kitu!
Kwan wao unafikiri hawajui huo uongo amaousema janabi?? Jiulize kwann hao watu hawajulikani sana kama Janabi.. ni siasa. Utaalam wa mchomgo daily kwemye media wakat hao unaowataja wako busy field
 
Kwan wao unafikiri hawajui huo uongo amaousema janabi?? Jiulize kwann hao watu hawajulikani sana kama Janabi.. ni siasa. Utaalam wa mchomgo daily kwemye media wakat hao unaowataja wako busy field

Daktari bingwa wa moyo (wa mchongo) na mambo ya lishe wapi na wapi?

Hili lizungu lichovu hapa linasema kwamba hakuna research yo yote kutoka kwenye reputable peer-reviewed journal inayoonyesha kwamba kuchanganya matunda ni hatari. Anayepinga aweke hiyo research hapa ili akate mzizi wa fitina.

Eti nisichanganye tango, parachichi na papai kisa?
 
Kajichanganya mwenyewe Na kiukweli Yote Aliyosema Kaenda Chaka 😀🤣🤣🤣
Ndio maana mimi huwa nina wasiwasi sana na hawa MADOKTA UCHWARA.

Mtu kama huyu anayedandia dandia degree za sayansi unakuta ndio mshauri wako wa MACHANJO YA CORONA.

Majasusi ya BIO-WEAPONS yakiamua kuliangamiza taifa tutaangamia dakika zero, maana gate-keepers wa Taifa ndio hawa akina FRUCTOSE na GLUCOSE.

HILI NALO MKALITAZAME.

Cc: Dkt. Gwajima D Nyani Ngabu Lamomy NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Lucas Mwashambwa Extrovert Tlaatlaah ChoiceVariable chiembe
 
Back
Top Bottom