Musachawenyu
Senior Member
- Aug 6, 2020
- 109
- 161
Sema kazi ya upolisi ni ya kipuuzi sana. Hata wao hawapendi ila wanapelekeshwa tu kijinga.Ila watawala wa nchi hii πππ
Sahihi kabisaMkuu wameshajua wamechokwa wananchi wanahasira bila kujihami hivyoo ni sekunde kinanuka.
Kabisa, kazi ya kimasikini hiyo, yaani hata mawinga wa kariakoo wanawazidi mafanikio, wenyewe kutwa kuwapambania watawala.Sema kazi ya upolisi ni ya kipuuzi sana. Hata wao hawapendi ila wanapelekeshwa tu kijinga.
Km ulikuwa na mpango wa kufanya uhalifu umekwama we bwege. Badala ufurahie ulinzi umeimarishwa unakuja kulalamika humu? Kenge kwl! Halafu we nyau huo upumbavu unaouwaza hautatokea kamweNimepatwa na mshangao kwa kukuta kila sehemu ya makutano na taa katikati ya jiji la Dar es Salaam ikiwa na magari mawili hadi matatu ya Jeshi la Polisi ambayo yamewasha double hazard na askari wakiwa na silaha wamesimama pembeni ya gari hizo.
Hii haina tafsiri zaidi ya hofu dhidi ya Chadema waliotangaza kwenda mahakama ya Kisutu kuhudhria kesi ya Makamu Mwenyekiti TAL.
Uoga huu na matumizi haya mabaya ya rasilimali za Polisi yanatupeleka wapi kama Taifa?
Huu mzaha mzaha mnaoujenga utatumbua usaha uliovunda soon.
Kenya wana nini mbn walipgwa, kuuawa na wameomba poo, acha kuhamasisha upuuzi, jitokeze km we mwanaume. Nyie mambwa koko mnatumiwa kutuharibia nchi yetu mtavunjwa viuno hivyo vyenye kihereherePolisi washukuru hii sio Kenya
Ni kazi ya heshima we ndio mpuuzi, mnapanga uhalifu muachwe? Mburula utavunjwa au kupotezwa kabisaSema kazi ya upolisi ni ya kipuuzi sana. Hata wao hawapendi ila wanapelekeshwa tu kijinga.
pumbavu wewe, nani anapanga uhalifu? kwani ni jinai kwenda kuskiliza kesi ya mpendwa wako? nyoooNi kazi ya heshima we ndio mpuuzi, mnapanga uhalifu muachwe? Mburula utavunjwa au kupotezwa kabisa
Kazi ya Vyombo vya Dola ni kuhakikisha nchi ina amani na hicho ndicho vinachofanya. Ninyi kama mnahisi mna haki na mnaonewa pambaneni nao!Nimepatwa na mshangao kwa kukuta kila sehemu ya makutano na taa katikati ya jiji la Dar es Salaam ikiwa na magari mawili hadi matatu ya Jeshi la Polisi ambayo yamewasha double hazard na askari wakiwa na silaha wamesimama pembeni ya gari hizo.
Hii haina tafsiri zaidi ya hofu dhidi ya Chadema waliotangaza kwenda mahakama ya Kisutu kuhudhria kesi ya Makamu Mwenyekiti TAL.
Uoga huu na matumizi haya mabaya ya rasilimali za Polisi yanatupeleka wapi kama Taifa?
Huu mzaha mzaha mnaoujenga utatumbua usaha uliovunda soon.
Dogo hakuna chama kitakuwa madarakani bila kulindwa na Vyombo vya Dola. Ni mtu mjinga anayeweza kuamini Serikali itakuwepo bila Vyombo vya Dola vya kuhakikisha peace and tranquility inakuwepo.Mkuu wameshajua wamechokwa wananchi wanahasira bila kujihami hivyoo ni sekunde kinanuka.
Ni kama wamevurugwa to the maximumππIla watawala wa nchi hii πππ
Lisu hawezi kukanyaga Ikulu hata siku moja.Natamani the Day Lissu ataingia ikulu atembeze calculator kwa mafisadi kama Jiwe alivyofanya kwa b'nessmans.
Wangekuja na wazee wa magwanda at least ingeleta uzito soon polisi watachokwa na wazalendo haita kua na matokeo Mazuri, Leo ni mwanzo/mwendelezo let's see mbio za sakafuni
No Reform No Election, Simple.