Habari wadau wa biashara, napenda kuwatangazia Kwa wale wanunuzi wa piki piki, Tunazo piki piki za Honda kutoka Quality Motors ltd. Mnaweza kutembelea na kuziona kwenye showroom ya Msasani karibu na Hospitali CCBRT, Msasani. Piki Piki za Honda ni mpya na imara kabisa, na vile vile zina fahamika sana kwa wadau wetu.
Aina za piki piki ambazo tunazo ni kama ifuatavyo;
1. Honda CG 110 - Bei ni mil.1.9 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
2. Honda Ace 125 cbd- Bei ni mil. 2.8 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
3. Honda TUF 125- Bei ni mil.3.4 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
mkuu ungekuwa unaweka kila aina ya pikipiki na picha yake ingependeza sana
matusi ya nini wakati wewe ndo kibua hutulii karaini ukakaangwa,,,bei ndo shida,,mchina rahisi na hazidumu ,nunua Honda original utamwachia motto wa mjukuu wakoWe ndiyo ****** kama siyo tahira wa kutupwa kwa akili za kawaida tu Honda na hizo za kichina zipi ziko barabarani zaidi. Katika pikipiki 1000 utakazoziona road 980 ni mchina why! majibu unayo
ubarikiwe kwa ukarimu na majibu yako mazuri,,,wish ningeweza kununu nikuunge hata moja,,inshallah utapata kwa majibu yakoHabari wadau wa biashara, napenda kuwatangazia Kwa wale wanunuzi wa piki piki, Tunazo piki piki za Honda kutoka Quality Motors ltd. Mnaweza kutembelea na kuziona kwenye showroom ya Msasani karibu na Hospitali CCBRT, Msasani. Piki Piki za Honda ni mpya na imara kabisa, na vile vile zina fahamika sana kwa wadau wetu.
Aina za piki piki ambazo tunazo ni kama ifuatavyo;
1. Honda CG 110 - Bei ni mil.1.9 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
2. Honda Ace 125 cbd- Bei ni mil. 2.8 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
3. Honda TUF 125- Bei ni mil.3.4 pamoja na usajili na warranty ya mwaka mzima.
kwa mawasiliano zaidi fika showroom yetu ya Honda, Eneo la Msasani. Au piga simu 0717 518359. Barua pepe- jonelias6@gmail.com
Honda Spare parts zipo tunauza hapo hapo ofisini. Karibuni wateja wetu.
mi nazifahamu Honda CT110 Ndio zilikuwa zinatumika na mapadri na wachungaji engine yake inapozwa na upepo na clutch yake ni automatic. gia nne. Kwa sasa hizo Honda ct 110 hazipo stock. Tuna spare za honda ct 110 tu.Niliwahi kuona padri mmoja anaendesha pikipiki lenye rejeta,zinapatikana wapi hizi?
Asante mkuu, kama wateja tayari nimeshapokea wapo wanne ambao wamenunua Honda cg 110 ya mil 1.9. hapa hapa kwetu msasani. Tena wapo wa wateja wa spea nao wamekuja kwangu wamenunua sana spea za hondaubarikiwe kwa ukarimu na majibu yako mazuri,,,wish ningeweza kununu nikuunge hata moja,,inshallah utapata kwa majibu yako
amenAsante mkuu, kama wateja tayari nimeshapokea wapo wanne ambao wamenunua Honda cg 110 ya mil 1.9. hapa hapa kwetu msasani. Tena wapo wa wateja wa spea nao wamekuja kwangu wamenunua sana spea za honda
Nasubiri wateja wengine wajitokeze kuja showroom kumalizia stock ya piki piki. Nawashukuru sana wanajamii forums
hiyo cg 110 na boxer 150 ipi iko vizuri kwa uzoefu bila kuangalia brand name,,soryamen
Ipi Bora? mi nitakwambia Honda cg 110 ni bora kuliko boxer150. kwasababu;hiyo cg 110 na boxer 150 ipi iko vizuri kwa uzoefu bila kuangalia brand name,,sory