Pikipiki za honda zinauzwa

Honda TUF 125 mkuu, ickstarter. kwa Piki piki ya Honda yenye engine ya 125 cc inauwezo wa kutembea mpaka KM 160 au mpaka KM 220 bila kupumzika. zaidi ya hapo utachemsha na kuunguza engine . Honda za engine kubwa kama 200cc mpaka 250 cc hizo zinaweza kutembea umbali mrefu zaidi ya hapo.
Dar mpaka Songea ni umbali wa KM 1000. kwa piki piki ya 125 cc haitaweza safari hio. ni bora upakize piki piki kwenye lori usafirishe ipelekwe huko. Sidhani kama kuna dereva ambaye atakubali kuendesha umbali mrefu wa KM 1000 na piki piki.
kama picha nilizotuma hujaziona basi nipe namba yako ya whatsapp nikutumie. Asante.
Umejieleza vizuri sana na inafaa sana kwa hiyo kazi ya marketing mkuu, unawajibu wadau vizuri na pia kuwaelekeza kwa washindani wako wa kichina, safi Sanaa.
 
Hizo xl za kijapani nazifahamu ni fake ( I mean hazimalizi safari ) yaani ukitembea km 200 zinataka upumzike masaa 3! Ivyo ni tofauti na hizo za kichina ambazo zenyewe in mwendo mdumbo no kupumzika
Duh kweli wewe kanjanja ulieathirika na vitu fake vya Kichina,hivi unamjua Mjapani kwenye Piki Piki au unamsikia?Honda ndio kampuni inayoongoza kwa mauzo ya Piki Piki Duniani.
 
Jokielias Pamoja na kwamba unafanya biashara kwa maana ya kutafuta wateja una lugha nzuri ya kuweza kushawishi na pia mtu anakuuliza swali ya nje ya kile ulichoandika na unamjibu vizuri bila tatizo....salute kwako bro, kuna mtu anaitwa Munawar angekuwa ni yeye na uzi wake ungekuta maneno ya khanga kibao ndo majibu yake.
 
We ndiyo ****** kama siyo tahira wa kutupwa kwa akili za kawaida tu Honda na hizo za kichina zipi ziko barabarani zaidi. Katika pikipiki 1000 utakazoziona road 980 ni mchina why! majibu unayo
kweli wewe division5,kwa akili yako ya kamasi unaona wingi wa bidhaa fulani ndio ubora wake,hivi simu ya techno na iPhone ipi ni simu bora zaidi?
 
We ndiyo ****** kama siyo tahira wa kutupwa kwa akili za kawaida tu Honda na hizo za kichina zipi ziko barabarani zaidi. Katika pikipiki 1000 utakazoziona road 980 ni mchina why! majibu unayo

nimecheka lakini pia nimesikitika sana kusoma hii post ..... yaani ina maana nyumba nyingi za tembe na udongo zisizo na hata choo ambazo ndizo nyingi Tanzania ndiyo ubora Wa maisha? .....

teh teh teh ... kazi kweli kweli
 
Mkuu sijajua Honda ipi unauulizia, ila tuna Honda Dream scooter 110 isiyo na clutch ambayo bei yake ni Million 3.1 au kama una maanisha Honda CT 110 hizo tunazo zipo chache kwenye stock bei ni million 7.3.
Mkuu mi ninayo Honda CT 110,nahitaji spears zake kama carburator,oil filters,plugs etc naweza kuzipata hapo ofisini kwenu?
Ni hii hapa namaanisha
37303_honda_ct110_thumb-4b77aa8124c86-750x400.jpg
 
Honda TUF 125 ni kickstarter. kwa Piki piki ya Honda yenye engine ya 125 cc inauwezo wa kutembea mpaka KM 160 au mpaka KM 220 bila kupumzika. zaidi ya hapo utachemsha na kuunguza engine . Honda za engine kubwa kama 200cc mpaka 250 cc hizo zinaweza kutembea umbali mrefu zaidi ya hapo.
Dar mpaka Songea ni umbali wa KM 1000. kwa piki piki ya 125 cc haitaweza safari hio. ni bora upakize piki piki kwenye lori usafirishe ipelekwe huko. Sidhani kama kuna dereva ambaye atakubali kuendesha umbali mrefu wa KM 1000 na piki piki.
kama picha nilizotuma hujaziona basi nipe namba yako ya whatsapp nikutumie. Asante.
Nimetoka Mwanza mpaka Sirari km 360 bila kupumzika hiyo Honda inakuwaje
 
Back
Top Bottom