Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,306
- 25,929
Wazazi waeleze kwanza maana ya 'mazingira ya kutatanisha' ili tujue pa kuanzia. Lakini, Mungu atajaalia na mtoto wao atapatikana
Watot malaya wengi huwa hivyo
Ana umri ganiPole kwa mzazi, tuombe huyu mtoto asijekupatwa na mabaya, kama kuna kijana kamtorosha na kumweka kinyumba alaaniwe huyo kijana, binti bado mdogo kabisa huyu.
Truekuna mateso anayapata nayaona kwenye mboni za macho yake.
Ohoooo!!!Huyo yupo ghetoni kwa mshikaji analamba koni tu kwa raha zake
Too old kutoroshwaPole kwa mzazi, tuombe huyu mtoto asijekupatwa na mabaya, kama kuna kijana kamtorosha na kumweka kinyumba alaaniwe huyo kijana, binti bado mdogo kabisa huyu.
Mbona sie vijana mnatuonea sanaPole kwa mzazi, tuombe huyu mtoto asijekupatwa na mabaya, kama kuna kijana kamtorosha na kumweka kinyumba alaaniwe huyo kijana, binti bado mdogo kabisa huyu.
Asa na hizi Mvua eti uambiwe na huyo Bi. Mdashi kapotea....!We ulimwona huyu hayu ambae nilikuwa nae ukachanganya rangi ya nguo
![]()
Mkuu una mtoto!?!maumbile ya mtu na tabia wapi na wapi!hebu jiweke kwenye viatu vya huyo mzazi anayemtafuta mwanae!daaah comment za humu kama za walevi wa mataputapu aiseeeWatot malaya wengi huwa hivyo
Mpipi a.k.a pipipole kwa wazazi,
Lakini watoto wa siku hizi sijui wavulana wanawapaga nini. anaweza akaacha hata kwenda shule ila akawa kwa kibwana chake.
Mkuu una mtoto!?!maumbile ya mtu na tabia wapi na wapi!hebu jiweke kwenye viatu vya huyo mzazi anayemtafuta mwanae!daaah comment za humu kama za walevi wa mataputapu aiseee