Wanakaribia kupoteza pambano 🤣🤣🤣Huu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Kanaijeria hakaWakuu,
Kiongozi wa Mabachelor Tanzania, Juma Jux nae rasmi ameingia ndoani.
Kataa ndoa mmepoteza moja ya makamanda wenu watiifu katika kambi yenu.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio la ndoa yao.
View attachment 3228427
View attachment 3228428View attachment 3228429
Kawaida,babaako mwenyewe alichekwa hivyohivyo,hata baba wa njemba mchekaji alichekwa hivyohivyo1. Wajiona warabu tayari
2. Kama hajabandua magansa ya pipi yeye mwenyewe basi ajue kuna njemba inachekea chooni na kujisemwa anakula makombo
3. Povu ruksa
Yeah ni blogger mkubwa na wa muda mrefu sana Nigeria. Na pesa pia anayo.Nasikia huyo Linda Ikeji ndo kama Millard Ayo wa huko kwa wapopo
Ni kweli mkuu?
Hahahaha, hv Ile nyingine vipi maaana ilikua watangaze uchumba ijumaa hii eeh ?Huu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Hapana kataa ndoa tuko vizuri, Soma list hii.Huu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Ndoa za uji izo ramadhani inakaribia aloo huwa hazidumu hizi ndoa save hii commentHuu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Kila jema liwe kwaoWakuu,
Kiongozi wa Mabachelor Tanzania, Juma Jux nae rasmi ameingia ndoani.
Kataa ndoa mmepoteza moja ya makamanda wenu watiifu katika kambi yenu.
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio la ndoa yao.
View attachment 3228427
View attachment 3228428View attachment 3228429
Kabisa ni swala la mda tuHapana kataa ndoa tuko vizuri, Soma list hii.
.guardiola katalakiana na mkewe.
. Roberto Carlos yuko mahakamani kuachana na mkewe.
. Jessica alba na mumewe cash Warren wame peana talaka.
. Mcheza mieleka Charlotte flair kaachana na Andrade 😂 Hannah
List ni kubwa mno, KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO.
Shiiiiindwaaaaa😆Wataachana tu...☹️
Si nyie kina lukole ndo mnampiga vita?Kuna mlisha matangopori 🥒 wa JF alisema leo Chibu anapeleka posa kwa kina Zuu 😂😂.
Ndiyo, alikuwaga feminist akiwaasa wanawake wasikubali kuzaa nje ya ndoa, wasikubali kuwa ma single mother, ikiwezekana hakuna kufanya ngono mpaka ndoa cha ajabu yeye ndo wa kwanza kukisaliti chama na sasa hivi ni single mother pro max 😄Nasikia huyo Linda Ikeji ndo kama Millard Ayo wa huko kwa wapopo
Ni kweli mkuu?