Kuna mlisha matangopori 🥒 wa JF alisema leo Chibu anapeleka posa kwa kina Zuu 😂😂.Tunasubiri ya Chibudenga sasa na yule Zuhura
Sijui itakuwa mwaka huu
Bado yangu dada,kumbuka hilo,maandalizi tayari bado mke tuHuu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!
Kunywa maji mengi, upunguze makasiriko kwenye mapenzi ya watu1. Wajiona warabu tayari
2. Kama hajabandua magansa ya pipi yeye mwenyewe basi ajue kuna njemba inachekea chooni na kujisemwa anakula makombo
3. Povu ruksa
Vip ya mtoto wa tandale lini mkuu??Huu mwaka kataa ndoa wameuanza vibaya, ni ndoa kila kona.
Kheri tele katika ndoa yao, MaashAllah!