Picha: Juma Jux ameiaga rasmi kampeni ya kataa ndoa. Afunga ndoa na mchumba wake Priscilla

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
1,717
4,458
Wakuu,

Kiongozi wa Mabachelor Tanzania, Juma Jux nae rasmi ameingia ndoani.

Kataa ndoa mmepoteza moja ya makamanda wenu watiifu katika kambi yenu.

Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye tukio la ndoa yao.


IMG_0427.jpeg



IMG_0426.jpeg
IMG_0424.jpeg
 
Back
Top Bottom