Kwani wewe mwenzetu ujaona bado US Aid hadi mabango ya ofisi huko marekani Elon Musk keshayatoa.
Sasa hivi US itatumia soft powers zipi Tanzania. IMF and WB hazipo directly chini ya serikali zao.
CDM ijifunze kupambana vita yake sio kukimbilia viongozi wa dini, mabalozi, kulaumu Simba na Yanga etc.
Sasa sijasema mahakamani Lissu asitendewe haki.
..CCM nao wajifunze kupambana vita vyao wenyewe na sio kukimbilia kwa jeshi la Polisi, na kuzitumia vibaya mahakama.