Paul Makonda, nakutabiria Urais au Uwaziri Mkuu huko mbele ya safari

wewe kama hutaki si ulipe kwani kakulazimisha??unadhani hilo la posho hakuliona,yeye hana mamlaka hayo ya kugawa posho na kama wewe mwalimu napata wasiwasi kwa kutolifahamu hili......yeye katafuta njia mbadala iliyo ndani ya uwezo wake....
yaani ... uwezowake wooote wa kufikiria ndo kafikiria sie walimu tupande bure afu watoto wetu wapande walipe nauli yani huu ndo uwezo wake wa kufikiria ulipofikia mwisho wake. afu na wewe ndorobo unakurupuka kumshadadia KONDA wako nakushauri mwambie aweke madaladala yake ndo tupande bure.
ushauri mkuu: mwambie we tarishi wake aongee na aliyemtuza cheo kipya kwambaa... WALIMU WAONGEZEWE MISHAHARA MIPYA NA POSHO afu aone kazi tutakayo mfanyia.
sio unaongeaongea hapa kama umeinamishwa.
 
yaani ... uwezowake wooote wa kufikiria ndo kafikiria sie walimu tupande bure afu watoto wetu wapande walipe nauli yani huu ndo uwezo wake wa kufikiria ulipofikia mwisho wake. afu na wewe ndorobo unakurupuka kumshadadia KONDA wako nakushauri mwambie aweke madaladala yake ndo tupande bure.
ushauri mkuu: mwambie we tarishi wake aongee na aliyemtuza cheo kipya kwambaa... WALIMU WAONGEZEWE MISHAHARA MIPYA NA POSHO afu aone kazi tutakayo mfanyia.
sio unaongeaongea hapa kama umeinamishwa.

Kuna wenzenu huko TRA na TPA wanalipwa mishahara zaidi ya mara kumi yenu ila hawafanyi chochote zaidi ya wizi tu! Kuna tatizo nchi hii zaidi ya mishahara.
 
yaani ... uwezowake wooote wa kufikiria ndo kafikiria sie walimu tupande bure afu watoto wetu wapande walipe nauli yani huu ndo uwezo wake wa kufikiria ulipofikia mwisho wake. afu na wewe ndorobo unakurupuka kumshadadia KONDA wako nakushauri mwambie aweke madaladala yake ndo tupande bure.
ushauri mkuu: mwambie we tarishi wake aongee na aliyemtuza cheo kipya kwambaa... WALIMU WAONGEZEWE MISHAHARA MIPYA NA POSHO afu aone kazi tutakayo mfanyia.
sio unaongeaongea hapa kama umeinamishwa.
swali linakuja kwani umelazimishwa kutokulipa??we si ulipe kama unaona haudeserve kupanda bure shida ipo wapi??ujue kuna tofauti kubwa kati yako wewe na wanawafunzi,wanafunzi wapo wengi tofauti na nyie waalimu ukisema na wao wapande bure haitawezekana na ndomana wao wanalipa nusu ya nauli ya mtu mzima,sasa wewe ndugu ukiona mh.mkuu wetu wa mkoa kakosea basi wewe endelea kulipa tu
 
Kuna wenzenu huko TRA na TPA wanalipwa mishahara zaidi ya mara kumi yenu ila hawafanyi chochote zaidi ya wizi tu! Kuna tatizo nchi hii zaidi ya mishahara.
usijitapikie we ndorobo... WE MWAMBIE MAGU WAKO ATULIPE MAMBO SAFI AFU UONE tukiharibu si unapiga chini anaeharibu. unapiga miharisho ya nini
 
swali linakuja kwani umelazimishwa kutokulipa??we si ulipe kama unaona haudeserve kupanda bure shida ipo wapi??ujue kuna tofauti kubwa kati yako wewe na wanawafunzi,wanafunzi wapo wengi tofauti na nyie waalimu ukisema na wao wapande bure haitawezekana na ndomana wao wanalipa nusu ya nauli ya mtu mzima,sasa wewe ndugu ukiona mh.mkuu wetu wa mkoa kakosea basi wewe endelea kulipa tu
ndo mana nimekujibu kuwa UWEZO WAKO WEWE NA KONDA WAKO NI KAMA MKIA WA MEEEE.... napata shida kukuelewa
 
usijitapikie we ndorobo... WE MWAMBIE MAGU WAKO ATULIPE MAMBO SAFI AFU UONE tukiharibu si unapiga chini anaeharibu. unapiga miharisho ya nini
Kati ya mimi na wewe anaetapika nani?! Muharibu mara ngapi? Fanya kazi kwanza ndio ulipwe vizuri, unapata unachostahili.
 
Kati ya mimi na wewe anaetapika nani?! Muharibu mara ngapi? Fanya kazi kwanza ndio ulipwe vizuri, unapata unachostahili.
NYAMMBAFFFF.... kwendraaaaaa .. ingekuwa naongea na anaeweza kunilipa ningeendelea lkn we mburula huna lolote la maana kwangu
 
ndo mana nimekujibu kuwa UWEZO WAKO WEWE NA KONDA WAKO NI KAMA MKIA WA MEEEE.... napata shida kukuelewa
wewe si unaona hustahili kupanda bure,lipa baba shida nini naona tunashindana kitu kidogo sana.....pili kama hamtaki hilo jambo kwanini msikae nae mliongelee hili???hauoni kama mkiii kaa kwa pamoja hilo mnalolihitaji mf.kupata mabis binafsi ya waalimu linaweza likafanikiwa?? kuliongelea huku na kulalamika halitatatua hilo unalolitaka,yeye kafanya kama yeye,kwa uwezo wake
 
Makonda anafaa, kiongozi ni yule anaetafutia ufumbuzi matatizo ya wananchi, na hilo analifanya is a good futute leader na Mungu amkuze katika uongozi.
 
wapinzani wa tanzania siku zote wanataka jambo walitoe wao,walifanye wao wakifanya wengine au mtu mwingine huyo mtu ataonekana ni mbaya tuu,kama jinsi wapinzani wengi wanavyomchukia mh.mkuu wa mkoa wa jiji Makonda,kwa jinsi anavyojaribu kutafuta njia mbadala za kutatua matatizo ya jamii...big up bro,waache waseme Mungu ndo anajua na wazalendo wapenda maendeleo tupo nawe
 
Nashauri Bange iendelee kupigwa marufuku kabisa Nchini kwani wanaovuta wanakuwa WEHU bila wao kujua wamekuwa hivyo.
 
I would'nt care if he was a minister. It is only here where you misbehave and get awarded.
 
Vp,ww mwenyewe umejitabiria nn juu ya hatma yako kimaisha mkuu..nauliza tu lkn
 
naunga mkono mada,ukimfatilia makonda akiongea utagundua kuwa ana leadership skills na anajua ku inspire watu
 
una elimu gani ndugu yangu? maana hata katika masuala ya elimu tunafundishwa kuheshimu michago ya watu..he is an example and i have something to learn from him
Endelea kuaminia watu badala ya kuanza kujithamini ww baadae utakuwa wapi, fanya kazi acha umbea na kushobokea kijinga.
 
Back
Top Bottom