Panic ya Rais Samia inasabaishwa na nini?

Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Nyamaza
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Uongozi Mtamu ,yote analinda asitolewe madarakani.
 
Inawezekana kuna mpango walifanya wale jamaa wawili ambao ulikuwa unaelekea kuharibu interest za Samia.

Nikikumbuka wakati ule Samia anawapunguza watendaji wa JPM na kuwapa nafasi kina Makamba, ni wazi alikuwa anajitengenezea ngome yake, azungukwe na anaowaamini ili ajiskie salama.

Sasa kwa hii move ya kuwaondoa watendaji wake ambao aliwaamini zaidi, ni wazi kuna sehemu kina Nape waligusa ambapo hawakutakiwa kufanya hivyo.
Wacha iendelee kunyesha tuone panapovuja !
Bado wengine !
Haiwezekani walikuwa ni wao pekee kwenye huo mpango !
Huenda na mwenye Tai ya bendera yumo 😳!
 
Back
Top Bottom