Panic ya Rais Samia inasabaishwa na nini?

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
7,041
9,603
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
 
Kapata password, anawasikia hadi wakienda huko vilingeni kutaka kufanya mapinduzi
Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Haja panick, ni careful planned move
 
Inawezekana kuna mpango walifanya wale jamaa wawili ambao ulikuwa unaelekea kuharibu interest za Samia.

Nikikumbuka wakati ule Samia anawapunguza watendaji wa JPM na kuwapa nafasi kina Makamba, ni wazi alikuwa anajitengenezea ngome yake, azungukwe na anaowaamini ili ajiskie salama.

Sasa kwa hii move ya kuwaondoa watendaji wake ambao aliwaamini zaidi, ni wazi kuna sehemu kina Nape waligusa ambapo hawakutakiwa kufanya hivyo.
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Alipotolewa JANUARY MAKAMBA na Team yake ya wapigaji wenye akili ndogo na ujuaji wa kwenda New York , London na Masaki unasema rais kapanik. V alipotolewa Kabudi na Lukuvi?
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Sababu kajua kuwa yeye ni mjalaana
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Number 2 inahusika zaidi.
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Uislamu umemzuia mwanamke kuwa juu ya mwanaume. nadhani waislamu wenzake kuna kitu wamemsomea. If it were me, I would have relinquished power and not contest the second term!
 
Raisi Samia ameonyesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Amefanya jambo gn mpaka unasema ame-panic?
 
Yaani hii nchi ukiteuliwa ukawa boss and ofisini kuwa mpole tu
Maana hata ukifanya kazi nzuri unaweza kuondolewa
 
Inawezekana kuna mpango walifanya wale jamaa wawili ambao ulikuwa unaelekea kuharibu interest za Samia.

Nikikumbuka wakati ule Samia anawapunguza watendaji wa JPM na kuwapa nafasi kina Makamba, ni wazi alikuwa anajitengenezea ngome yake, azungukwe na anaowaamini ili ajiskie salama.

Sasa kwa hii move ya kuwaondoa watendaji wake ambao aliwaamini zaidi, ni wazi kuna sehemu kina Nape waligusa ambapo hawakutakiwa kufanya hivyo.
Inawezekana
 
Bac tu ni kwakua vijana wa nchi hii hatuna confidence ya kupambania nchi hii acha iende hivi Hivi
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Hamkani si shwari tena huko.
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Upwirufobia
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!

ALL OF THE ABOVE
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Simple. Viatu VINAPWAYA!
Hata atandaze mikeka milioni!
Hawezi wasimamia hao wateule. RIP MAGU...
 
Rais Samia ameonesha panic ya hali ya juu hivi karibuni. Je ni sababu zipi hasa zimeleta hii hali

1. Je ni ushindani ndani ya chama
2. Je ni mikutano ya wapinzani ambayo imeweka wazi mikataba ya siri hasa kwa nchi za kiarabu.
3. Je ni hali ya ruhswa kuzidi nchini
4. Je ni matatizo ya pesa kwa serikali
5. Je ni mikutano ya vijana Kenya na Uganda

Au ni hayo yote!
Anayajua mwenyewe na washirika wake
 
Back
Top Bottom